Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita kazini vijana 1,453 kati ya 2,100 baada ya kupata kibali cha Rais Samia

Hello tupe hints basi mkuu we ulisoma wapi na wapi tupitie na sisi huko tuchomoke?
Omba ile Tax Management ile soma tu Tax Usiingia deep sana ukajizonga na kikubwa angalia ile site ya TRA inasiri sana ile site soma kimoja baada ya chengine maswali yanakuja pale la mwisho ni Job Description uzijue maswali yanatokea pale pia mfano moja ya majukumu ya Tax kupambana na magendo linaweza likaja swali likauliza sababu za Walipaji kupelekea kufanya magendo, hasara na suluhisho la magendo so zipitie pitie hizo duties.
 
Basi labda alinipanga maana hakuwa mmoja yanj walikuwa kakikundi ka watu tunapiga story. Huenda na chumvi zilihusika humo
Kwa uzoefu wangu mishahara ya maafisa waandamizi walioajiriwa ktk mashirika haya ukimuondoa country director peke yake (Tshs. 30M ~ 40M - kulingana na seniority yake) wanaofutia wote mishahara hucheza kuanzia Tshs. 10M ~ 25M hakuna anayevuka hapo.
 
Kwa uzoefu wangu mishahara ya maafisa waandamizi walioajiriwa ktk mashirika haya ukimuondoa country director peke yake (Tshs. 30M ~ 40M - kulingana na seniority yake) wanaofutia wote mishahara hucheza kuanzia Tshs. 10M ~ 25M hakuna anayevuka hapo.
Ila hizi NGOS nyingi zinakuwa permanent au
 
Back
Top Bottom