EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 8,558
- 12,683
Nakushukuru sana kwa mawazo yako japo nimeshanga sana kuja kunianika jf nilifikiri tumeishia pale mkurungwa
Hakika.Ni kweli kabisa mkuu sio salama, lakini kukwepa hiyo ishu ni ngumu sana.
Kwanza muda, hapo unaposema jamaa azioshe kwa uzuri hizo bakuli na wateja wanamsubiri ni ishu sana mzee, kuna wateja watachoka kusubiri atawapoteza.
Pili mkuu ni hasara kutumia izo stick hovyo hovyo namna hiyo na kwa njia hiyo atachafua vyombo vingi na muda wa kuosha hana achilia mbali kununua hizo stick mara kwa mara.
Jamaa yako huyo atajirekebisha kwa mambo machache tu mengi utakuta kama yalivyo.
Unaendeleaje kijana?Mwiguluiza Madelu Nchembazimana yule wa Kuongeza Tozoimana na Kama hatutaki tuhamie Kwa Bujumbura!
Mkuu, kama ni wizara basi weye wafaa kusimamia biashara ndogondogo.Leo muda wa jioni nilikuwa maeneo ya Mbezi ya Kimara nilikuwa nimesimama namsubiri rafiki yangu pembeni kwa mbele kulikuwa na mtu anauza supu ya pweza na vipande vyake na ngisi na kachori.Nikiwa pale walikuja watu kadhaa kununua nilichokiona.
Mteja alikuwa anachukua kijiti cha kuchomea anatoboa mmoja anachovya kwenye pilipili kisha anaweka mdomoni hii ilikuwa ni inajirudia mwingine akawa akishaweka mdomoni anatoboa na kijiti chake kile kile kipande cha pweza anaona sio kikubwa anavyotaka anakisogeza anatafuta kitakachomvutia, kwa kijiti kile kile ambacho tayari alikuwa anakitoa mdomoni, Ilibidi kuongezea umakini wangu eneo lile nikiwaza mimi pia nakulaga vitu hivi akaja mtu akawekewa supu akamaliza akarejesha kibakuli muuzaji akakirusha kwenye ndoo ndogo pembeni uliyokuwa na maji nusu, wakaja watu kadhaa inaonekana tayari alikuwa ni mtu mwenye wateja wake vizuri, baada ya vibakuli kadhaa kujumuika kwenye ndoo akavichovya chovya kwa kuzungusha kwenye ndoo akavikumuta akaweka mezani, walikuja watu wa rika zote pale na jinsia tofauti, niliumia moyoni maana niliwaza afya zao nilisubiri watu wapungue kisha nikamfwata akiwa mwenyewe Muuzaji anangoja wateja nikamweleza Kuna mapungufu nayaona mkuu alipoona nazungumza naye kirafiki alinisikiliza.
Mwishowe nikampa mambo ya kuzingatia
1.Vyombo unavyotumia vioshe na sabuni kisha visuuze vyema na uweke maji ya moto ukiweza nilimwonyesha vyombo alivyoviweka mezani kutumika vikiwa na mafuta mafuta.
2. Nikamweleza unapoweka mtu kuchoma waambie ukitoboa ukaweka mdomoni kitupe hicho uchukue kijiti kingine.
3. Kuepuka suala la mtu kuchovya kwenye pilipili kuweka mdomoni kisha kutumia kijiti hicho anachovya tena kwenye pilipili wawekee visahani mtu ajichukulie pweza wake na kachori au ngisi wake kisha mimina pilipili yake atumie kuepuka mwingiliano sana na contamination.
Alinishukuru maana sikuonesha kumkaripia wala kuonyesha hisia zangu nilivyoumizwa na jamaa akaniambia ww umenishauri vyema.
Wito wangu kwa ndugu tunaokula vitu barabarani wapo wengine wanaenda kununua mahindi ya kuchoma analishika hili analiacha analishika tena lingine wewe ukija unaweka mdomoni tu bila kuzingatia afya yako na lingine linakuwa pembeni lishapoa muuzaji analipasha kishkaji anakupa, yakupasa kuwa makini usijekupata minyoo Njiani, au kuhara au kuumwa tumbo au Hata uviko-19 kirahisi kupitia kula sehemu ambazo hawazingatii usafi na afya pia wauzaji wa vitu hivi nawasihi kuongeza usafi na ustarabu.
Niishie hapo natumaini wengi watabadilika kama brother niliyemshauri leo, Mbezi ya kimara.
Nawatakia biashara njema katika kujitafutia kipato.
Mimi nikikuta muuza chakula ana toothpick mdomoni naghairi kula hata niwe na njaa kali kiasi ganiLeo muda wa jioni nilikuwa maeneo ya Mbezi ya Kimara nilikuwa nimesimama namsubiri rafiki yangu pembeni kwa mbele kulikuwa na mtu anauza supu ya pweza na vipande vyake na ngisi na kachori.Nikiwa pale walikuja watu kadhaa kununua nilichokiona.
Mteja alikuwa anachukua kijiti cha kuchomea anatoboa mmoja anachovya kwenye pilipili kisha anaweka mdomoni hii ilikuwa ni inajirudia mwingine akawa akishaweka mdomoni anatoboa na kijiti chake kile kile kipande cha pweza anaona sio kikubwa anavyotaka anakisogeza anatafuta kitakachomvutia, kwa kijiti kile kile ambacho tayari alikuwa anakitoa mdomoni, Ilibidi kuongezea umakini wangu eneo lile nikiwaza mimi pia nakulaga vitu hivi akaja mtu akawekewa supu akamaliza akarejesha kibakuli muuzaji akakirusha kwenye ndoo ndogo pembeni uliyokuwa na maji nusu, wakaja watu kadhaa inaonekana tayari alikuwa ni mtu mwenye wateja wake vizuri, baada ya vibakuli kadhaa kujumuika kwenye ndoo akavichovya chovya kwa kuzungusha kwenye ndoo akavikumuta akaweka mezani, walikuja watu wa rika zote pale na jinsia tofauti, niliumia moyoni maana niliwaza afya zao nilisubiri watu wapungue kisha nikamfwata akiwa mwenyewe Muuzaji anangoja wateja nikamweleza Kuna mapungufu nayaona mkuu alipoona nazungumza naye kirafiki alinisikiliza.
Mwishowe nikampa mambo ya kuzingatia
1.Vyombo unavyotumia vioshe na sabuni kisha visuuze vyema na uweke maji ya moto ukiweza nilimwonyesha vyombo alivyoviweka mezani kutumika vikiwa na mafuta mafuta.
2. Nikamweleza unapoweka mtu kuchoma waambie ukitoboa ukaweka mdomoni kitupe hicho uchukue kijiti kingine.
3. Kuepuka suala la mtu kuchovya kwenye pilipili kuweka mdomoni kisha kutumia kijiti hicho anachovya tena kwenye pilipili wawekee visahani mtu ajichukulie pweza wake na kachori au ngisi wake kisha mimina pilipili yake atumie kuepuka mwingiliano sana na contamination.
Alinishukuru maana sikuonesha kumkaripia wala kuonyesha hisia zangu nilivyoumizwa na jamaa akaniambia ww umenishauri vyema.
Wito wangu kwa ndugu tunaokula vitu barabarani wapo wengine wanaenda kununua mahindi ya kuchoma analishika hili analiacha analishika tena lingine wewe ukija unaweka mdomoni tu bila kuzingatia afya yako na lingine linakuwa pembeni lishapoa muuzaji analipasha kishkaji anakupa, yakupasa kuwa makini usijekupata minyoo Njiani, au kuhara au kuumwa tumbo au Hata uviko-19 kirahisi kupitia kula sehemu ambazo hawazingatii usafi na afya pia wauzaji wa vitu hivi nawasihi kuongeza usafi na ustarabu.
Niishie hapo natumaini wengi watabadilika kama brother niliyemshauri leo, Mbezi ya kimara.
Nawatakia biashara njema katika kujitafutia kipato.
Mkuu huko five star ndio watu wanakula vibovu kabisaUnapata huduma kwa kadri unacholipia, ukitaka usafi inabidi uende huko kwenye migahawa na hoteli kubwa nunua sea food platter...hizi za mtaani huwezi kukwepa mapungufu madogo madogo kama hayo
Angalizo zuri. Watu wengi wanaambukizana magonjwa ikiwemo ugonjwa wa homa ya ini kwa njia kama hizi. Tuchukue tahadhariLeo muda wa jioni nilikuwa maeneo ya Mbezi ya Kimara nilikuwa nimesimama namsubiri rafiki yangu pembeni kwa mbele kulikuwa na mtu anauza supu ya pweza na vipande vyake na ngisi na kachori.Nikiwa pale walikuja watu kadhaa kununua nilichokiona.
Mteja alikuwa anachukua kijiti cha kuchomea anatoboa mmoja anachovya kwenye pilipili kisha anaweka mdomoni hii ilikuwa ni inajirudia mwingine akawa akishaweka mdomoni anatoboa na kijiti chake kile kile kipande cha pweza anaona sio kikubwa anavyotaka anakisogeza anatafuta kitakachomvutia, kwa kijiti kile kile ambacho tayari alikuwa anakitoa mdomoni, Ilibidi kuongezea umakini wangu eneo lile nikiwaza mimi pia nakulaga vitu hivi akaja mtu akawekewa supu akamaliza akarejesha kibakuli muuzaji akakirusha kwenye ndoo ndogo pembeni uliyokuwa na maji nusu, wakaja watu kadhaa inaonekana tayari alikuwa ni mtu mwenye wateja wake vizuri, baada ya vibakuli kadhaa kujumuika kwenye ndoo akavichovya chovya kwa kuzungusha kwenye ndoo akavikumuta akaweka mezani, walikuja watu wa rika zote pale na jinsia tofauti, niliumia moyoni maana niliwaza afya zao nilisubiri watu wapungue kisha nikamfwata akiwa mwenyewe Muuzaji anangoja wateja nikamweleza Kuna mapungufu nayaona mkuu alipoona nazungumza naye kirafiki alinisikiliza.
Mwishowe nikampa mambo ya kuzingatia
1.Vyombo unavyotumia vioshe na sabuni kisha visuuze vyema na uweke maji ya moto ukiweza nilimwonyesha vyombo alivyoviweka mezani kutumika vikiwa na mafuta mafuta.
2. Nikamweleza unapoweka mtu kuchoma waambie ukitoboa ukaweka mdomoni kitupe hicho uchukue kijiti kingine.
3. Kuepuka suala la mtu kuchovya kwenye pilipili kuweka mdomoni kisha kutumia kijiti hicho anachovya tena kwenye pilipili wawekee visahani mtu ajichukulie pweza wake na kachori au ngisi wake kisha mimina pilipili yake atumie kuepuka mwingiliano sana na contamination.
Alinishukuru maana sikuonesha kumkaripia wala kuonyesha hisia zangu nilivyoumizwa na jamaa akaniambia ww umenishauri vyema.
Wito wangu kwa ndugu tunaokula vitu barabarani wapo wengine wanaenda kununua mahindi ya kuchoma analishika hili analiacha analishika tena lingine wewe ukija unaweka mdomoni tu bila kuzingatia afya yako na lingine linakuwa pembeni lishapoa muuzaji analipasha kishkaji anakupa, yakupasa kuwa makini usijekupata minyoo Njiani, au kuhara au kuumwa tumbo au Hata uviko-19 kirahisi kupitia kula sehemu ambazo hawazingatii usafi na afya pia wauzaji wa vitu hivi nawasihi kuongeza usafi na ustarabu.
Niishie hapo natumaini wengi watabadilika kama brother niliyemshauri leo, Mbezi ya kimara.
Nawatakia biashara njema katika kujitafutia kipato.