Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

Mambo mazito CCM Dodoma: Wajivua gamba?

whatever they do ccm is out of favour hata wakitupigia magoti hatuwezi kurudi nyuma. lazima ccm iondoke madarakani, wezi wakubwa hawa.
 
Hivi watu wa vijijini ambako Ccm ina wanachama wengi wanajua kuwa chama chao kina mipasuko na hakina dira ya kumkomboa Mtanzania? Ni jukumu letu sisi kuwahamasisha watu wa vijijini na kuwaonyesha ni kwa jinsi gani ambavyo Ccm si mkombozi wao wa kweli.
Saa ya ukombozi ni sasa.
 
Muulizeni huyo Slaa ni miswada mingapi yeye akiwa kama mbunge aliitolea shilingi na mingapi aliipigia kura ya ndio?.....It's so easy to know these people if you look at their voting records,something that most fanatics here don't have access to!...angalia watu walioupigia kura muswaada wa madini wa 1998 na walioukataa.

Mazee hilo la voting records za wabunge nishaliongelea, muhimu kweli.

Mwenzetu unapata wapi voting records za wabunge?
Wanaounga mkono hoja kwa pamoja tuseme YEIII...YEIIIIIII, haya wanaopinga hoja waseme NEHI...NEHIII! Waheshimiwa wabunge, muswada umepita, pigeni makofi kwenye mabenchi, pwa pwa pwa...tena... pwa pwa pwa! You talking bout voting records??
 
hili li CCM lipasuke tu tujue moja...hahaaaa JK mwanakwetu ulidhani urais ni kazi rahisi eeeeh sasa ndo uone utapata viungulia moaka ukome
 
JK kishaivunja Sekretarieti na muda si mrefu ataivunja kamati kuu na kuiunda upya

Hata sikumoja nchi haiwezi tawaliwa kwa mkono wa udhalimu,wa watu wachache,uamuzi huu alitakiwa aufanye siku nyingi lakini aliamua kuwalea mpaka imemgharimu kiongozi,hongera sana sana udumu na endelea kusafisha wale wote wanaotumia pesa zao kuongoza chama na serikali waondolewe kabisa katika siasa.
 
wafanye wafanyavyo,siku za chama chao zinahesabika..watz wa leo sio wa kuangalia make ups wanazotaka kufanya..
 
Wana CCM naomba mnisaidie, maana naona kuna watu wanaweza kuwa wanashangilia mafisadi kuvuliwa nyadhifa zao ndani ya Chama na kumbe uvuliwaji huo umefanyika kimakosa.

Kulingana na Katiba ya CCM ni nani au kikao gani chenye maamuzi ya kumvua kiongozi wa CCM uongozi kwenye ngazi ya Kamati Kuu au NEC?

Chenge alikuwa Mjumbe wa CC kwa kigezo kwamba alipata kura nyingi kwenye uchaguzi wa wajumbe wa NEC kupitia vile viti 20 vya Bara. Je, replacement yake itafanyika vipi?

RA aliingia kwenye CC kwa njia ipi? AU ndio wale wateule wachache wa Mwenyekiti?

Kama Kamati Kuu imevunjwa, je ilivunjwa baada ya kuwavua uongozi hao watuhumiwa?

Mantiki ya kuvunja CC iko wapi? Maana wajumbe wengi wanaingia huko kwa Nyadhifa zao mfano, wenyeviti wote wa Jumuiya za Chama, Spika, Makamu Mwenyekiti Bara na Visiwani, Katibu Mkuu, nadhani na manaibu wake wa Bara na Visiwani. Waliobaki wengine akina Mkapa, Mwinyi na wengineo kibao wanaingia kwa kuwa walishawahi kuwa viongozi wa kitaifa wa CCM.

Je, kuvunja CC sasa hivi ina maana kwamba Kikwete ataleta sura mpya ndani ya CC? Atazipataje na ilihali uchaguzi wa CCM ni mwakani?

Hapo sioni kama JK ametatua mgogoro wa CCM, tatizo siyo Lowassa, RA na Chenge, tatizo ni kundi zima lililo nyuma ya hao mafisadi na hao ndio wamekuwa vinara wa kuongoza utetezi dhidi ya mafisadi na hao ndio waliojaa kwenye NEC. Ngoja tusubiri kesho.

Kama NEC ikibariki hayo maamuzi, basi tusubiri vita kuu ndani ya CCM, hakuna atakayepona. Vita vya panzi ni furaha ya kunguru, wapinzani kazeni buti Ikulu inazidi kuwa wazi na hili limetokea kipindi kizuri sana, inawezekana kabisa wabunge wa CCM wanaweza kuungana na wabunge wa upinzani kuupinga mswaada wa Katiba Mpya, maana hawajui kesho watakuwa wapi.

Kikwete aliingia madarakani kwa siasa za makundi akisaidiwa na ufisadi wa EPA ambao ulimpa fedha za kampeni. Ni makundi hayo hayo na ufisadi huo huo ndio ambao utasababisha CCM imfie mikononi mwake.

Keil, nimekusoma!!!
 
- Wakulu tupo pamoja sana, hali sio shwari Dodoma the dataz ni makundi ndani ya CCM yakirushiana mawe, lakini kundi lenye nguvu ya kushika Urais 2015 ndilo linaloelekea kushinda.

- Mafisadi time is up, wameshikwa pabaya sasa maana hawana pa kupitia tena Six holds the big key to the changes which are coming ndani ya CCM kutoka hiki kikao!

......Stay Tuned.....!


FMes! - Wazee Wa Sauti Ya Umeme!
 
Hivi wajameni kama mafisadi wakiamua kumpindua jk kutoka katika uenyekiti wa chama kuna kosa la uhaini hapo?
Kama sii kosa la uhaini, mie naomba watengeneze huo mkakati ili kuwe na uwezekano wa hili lichama kufa mapema zaidi.
Kwani nani analipenda bana?
.
Kiby unawatafuta watu maneno??? Kuna watu wanaishi,wanapumua na wanadunda kwa ajili ya Thithiemu.......
 
Wajameni ujue huyu rais wetu naye ni tatizo kama nyumba haina msemaji sio nyumba huwezi kumngangania mtu ambaye anakataliwa na watanzania wewe unaakili gani!mbona hamsomi alama za nyakati...niwatake kwa wale wenye fursa kufanya jambo lolote fanyeni kuelimisha watanzania ambao wamegandamana shida.
 
- Wakulu tupo pamoja sana, hali sio shwari Dodoma the dataz ni makundi ndani ya CCM yakirushiana mawe, lakini kundi lenye nguvu ya kushika Urais 2015 ndilo linaloelekea kushinda.

- Mafisadi time is up, wameshikwa pabaya sasa maana hawana pa kupitia tena Six holds the big key to the changes which are coming ndani ya CCM kutoka hiki kikao!

......Stay Tuned.....!


FMes! - Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

hilo kundi lina kina nani?
 
Na mwenzetu unaeendelea kutujuza tujuze bila woga tupe unachoona kinafaa wenzako wwengine tuko mbali,mungu atakujaalia insha alah..
 
hata kikwete alipaswa kujizamisha mwenyewe na wala asisubiri kuzamishwa.........
 
Ni mwezi february tu RA ameikopesha dola pesa za kuwalipa civil servants kwani HAZINA ilikuwa nyeupeee, hayaniingii akilini kwa haya mabadiliko yanalenga nn hasa. Iwapo ni kweli constructive changes basi kuna mabomu yenye mitikisiko kulipuliwa na waliotolewa kafara.
Please tell me its a joke....please please say you are kidding
 
- Wakulu tupo pamoja sana, hali sio shwari Dodoma the dataz ni makundi ndani ya CCM yakirushiana mawe, lakini kundi lenye nguvu ya kushika Urais 2015 ndilo linaloelekea kushinda.

- Mafisadi time is up, wameshikwa pabaya sasa maana hawana pa kupitia tena Six holds the big key to the changes which are coming ndani ya CCM kutoka hiki kikao!

......Stay Tuned.....!

FMes! - Wazee Wa Sauti Ya Umeme!


Duh Six kaingia ulingoni, hapo patamu maana huyu anadunda kama Tyson, sema neno moja tu na roho yangu itulie. Fukuzeni mafisadi, hawamo kabisa katika kundi la wakulima na wafanyakazi.:hug:
 
- Wakulu tupo pamoja sana, hali sio shwari Dodoma the dataz ni makundi ndani ya CCM yakirushiana mawe, lakini kundi lenye nguvu ya kushika Urais 2015 ndilo linaloelekea kushinda.

- Mafisadi time is up, wameshikwa pabaya sasa maana hawana pa kupitia tena Six holds the big key to the changes which are coming ndani ya CCM kutoka hiki kikao!

......Stay Tuned.....!


FMes! - Wazee Wa Sauti Ya Umeme!

Glory to Jesus son of the living God the prophesy is fulfilled anaebisha na abakie hivyo. I warned them they thought pesa inaweza nunua vyote. Kumbe ni inaweza nunua kitanda kizuri lakini ikashindwa kununua usingizi mnono na wa amani!
 
Back
Top Bottom