Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,637
- 7,919
Babu,mambo ya serikali nayajua sana!..sio kuringa ila my whole life I was raised by protocol officers(nadhani unaelewa maana yake).Wanasiasa wa Tanzania ni wezi mno,kila upande na wananchi wa kawaida ni watoa na wapokeaji rushwa mno!Unajua Kobello ukiliangalia hili kwa mtazamo wa CCM vs CDM utakuwa hujalitendea haki. Suala hapa ni CCM inavyojaribu kurudisha mvuto kwa wananchi. Mtazamo wangu ni kwamba wamepoteza mvuto kwa sababu wana viongozi wabovu. Jukumu la kuhakikisha kuwa pesa nyingi zinaenda kwenye uzalisha na siyo ulaji ni la serikali na hivyo Kikwete anawajibika moja kwa moja. Au yeye aliwapa wabunge marupurupu makubwa ili wanyamaze au apate kisingizio? CCM wanatakiwa kutofautisha kati ya Campaigning na Governing. Ukishachaguliwa unaoondoka kutoka kwenye kukampeni na unaenda kugovern watu pamoja na resources.
Kwa hiyo,hayo mambo ya kugovern unayoniambia hayana msingi kwao,hata wapinzani wakichukua nchi(Trust me,it's hard) hamna cha maana sana watachokifanya.Wakati nipo chuo kikuu tulikuwa tunasukuma gari la mrema kwa mikono yetu kwa kilomita karibu tatu....nikikumbuka sasa nacheka sana.