Eh kwa ustadiii, tena umenikumbusha ngoja nika gugo stail mpya nijenge ndoa mie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh teh..Hiyo namba 1 na namba 3 hakuna shida..Ndugu hawawezi kuwa kikwazo kwenye ndoa yangu..Pesa natafuta...
Kazi kwako mwanamke kukamilisha hiyo namba 2 kwa ustadi..