Mfyuuuuu....huyo ana kifafa cha dyudyu itakuwa,.unasusiaje nyama noro kwa mfano...???😂
Mwanamke mvumilivu ndoa itasavaivu,ila wengi ndoa itayumba sanaSawa,..inategemea kukosekana kwa pesa huko ni kwa namna gani...for instance;pesa wakati mnaoana ilikuwepo baadae kidogo uchumi ukayumba(sababu zipo nyingi eg:magonjwa)je hiyo ni sababu nzito kweli ya kufanya ndoa ivunjike??
Andika kitabu
Inasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1.pesa
2.tendo la ndoa
3.in-laws(wakwe,wifi,mashemeji etc)
Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
Mkuu kitabu atanunua nani? tehe tehee
Ukiona hivyo jua hakuna LOVE!Sometimes unatafuta pesa kwa bidii zote lakini hupati, ndio migogoro inaanza. Mara unanyimwa tendo,unanyanyaswa na hadi wakwe muda mfupi tu ndoa chali
Sasa ukute mara zote wasusa kumbe ndizo ziku za mkeo kutaka burudani.
Si kweli,ndoa za watu wenye kipato kidogo wanaishije??Ushauri nilipewaga kuhisu ndoa na mpaka leo naukubali WHEN POVERTY ENTERS THROUGH THE DOOR LOVE ESCAPES THROUGH THE WINDOW.
Ni probability Mr RRONDOHivi viwili vikiwa 100% upendo lazima uwe 100%
Si kweli,ndoa za watu wenye kipato kidogo wanaishije??
Kulipa ada,umeme,maji n.k huo ni wajibu na haki...swali langu ni je, uwezo wa kufanya hivyo ukikata ndoa ivunjike????
Nakazia hapo kwenye namba 3Inasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1.pesa
2.tendo la ndoa
3.in-laws(wakwe,wifi,mashemeji etc)
Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
Si kweli,ndoa za watu wenye kipato kidogo wanaishije??
Kwa maana hiyo basi "upendo wa kweli husitiri wingi wa mabaya" na hii ni kwasababu pia upendo wa kweli huvumilia.Mwanamke mvumilivu ndoa itasavaivu,ila wengi ndoa itayumba sana
Men don't want sex, they need sex,ni basic need,so hii inaprove mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja, unasema wanawake wanafanya sex na mtu ambaye wapo attached naye emotionally,nini kinasababisha mwanamke asiwe na emotions kufanya sex most of the time??I think wanaume na wanawake tupo tofauti wanaume wanaweza kufanya sex na yeyote bila emotional attachment na wanawake wanasex na mtu ambae wako involved emotionally,ukichunguza hii basic difference utajua how inatu guide tunapofanya mahusiano…(mate preferences)...ukiingia na mtazamo ndoa ni sex(wanaume),once ukikosa sex ndoa inaenda mrama….na sisi kama wanawake..nature haijatusevu hatuwezi kuprovide ''sex' all the time..thus a problem.