platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,532
Hiyo avatar yako huwa inanibariki sana. Ni picha yako?Hapo kwenye TENDO LA NDOA nakazia.
Lisiyumbe kabisa, likiyumba ndoa si ndoa tena.
Hiyo avatar yako huwa inanibariki sana. Ni picha yako?Hapo kwenye TENDO LA NDOA nakazia.
Lisiyumbe kabisa, likiyumba ndoa si ndoa tena.
Walipendana kwa dhati tatizo la matajiri wanaangalia uzuri wa wenza wa marafiki zao ili wawapiteKuna masikini wanaenjoy mapenzi kuliko hata matajiri
YeahHiyo avatar yako huwa inanibariki sana. Ni picha yako?
Ewaaaaa
Asante kwa kuniamini!
Nimekutafuta tangu weekend ianze sikuoni. Nani alikuteka!?
Hapa tunazungumzia ndoa!Mfano Sasa ukishaujua upande wa pili wa mwenzako si ndo pa kuanza kuvumilia madhaifu utayoyaona Kwake! ?
Bado uvumilivu ni tatizo!!
Hahaha hahaha hahahaUnpredictable
Hautakiwi kulisahau hilo.Aisee.....
UsijaliNashukuru pia kwa kukubali kuaminiwa nami! !
Aisee hvi leo weekend inaisha uwiih!!
Tangu Jana nilikuwa nipo na safari za hapa na pale na leo nipo ukanda wenu kabisa! !
Nakusalimia mimi jamaniHautakiwi kulisahau hilo.
Halafu wewe "senior bachelor " mambo ya ndoa unayaulizia ya nini?
Hapo kwenye TENDO LA NDOA nakazia.
Lisiyumbe kabisa, likiyumba ndoa si ndoa tena.
Bora hata umenisalimia[emoji8][emoji8].Nakusalimia mimi jamani
Hahaha basi bana Safari sio kifo! !!Usijali
Weekend ndo inaisha hivyoo!
Hongera kwa safari
Naunga mkono hoja..Hapo kwenye TENDO LA NDOA nakazia.
Lisiyumbe kabisa, likiyumba ndoa si ndoa tena.
Hiyo ni kwa Tanga mkuu. Sasa kama mume wangu msukuma na mimi mchaga hayo mambo sijui itakuwaje yani[emoji23][emoji23][emoji23]Tendo la ndoa huja lenyewe bila shurti.
Mme atagundua kwa mfano, namna chakula kilivyotengwa siku hiyo (kama kimefunikwa na kawa kwa uzuri) na mama ( kwa sisi wa Tanga) atakuwa pembeni na kanga laini akikusindikiza kwa tonge moja au mbili.
Pia masuala mengine kama shanga na rangi zake na kadhalika.
Hivyo kujuana kusoma alama za nyakati za kila mmoja wenu ni muhimu.
Ila kwa msisitizo tendo la ndoa ni sehemu tu ya mapenzi ya kweli na kuaminiana kwa kila jambo la maisha yenu ya ndoa.
Sijambo kabisaaa jamanii love[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Bora hata umenisalimia[emoji8][emoji8].
Mimi mzima sis , natumai na wewe ni mzima.
Bora hata umenisalimia[emoji8][emoji8].
Mimi mzima sis , natumai na wewe ni mzima.
Haujawahi kuniangusha. [emoji23][emoji23][emoji23]Naunga mkono hoja..
Safari ni hatua!Hahaha basi bana Safari sio kifo! !!
Eeh tendo la ndoa, Mimi nikipewa vizuri hata hela sitaki na hata mawifi wakinichamba sinuni maana najua usiku nitapoozwaaa[emoji23][emoji23][emoji23].Sijambo kabisaaa jamanii love[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Naona unakazia tendo la ndoa!
Nafurahi kuona hujambo dear