Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Ni kweli kabisa.

Kwa mfano mke anaweza kutaani kununua vito au nguo dukani au mtandaoni, lakini si mbaya kama atamwambia mmewe kwamba kuna product amependa na anamuuliza kama anaonaje.

Mume nae aatapenda kuona mamaa anapendekeza na naweza kumwambia mama kwenda dukani wote au kama ni mtandaoni basi atakuja akuangalia hiyo product na kui-approve.

Au kwa mfano mume na mke wote wacheza bao na kidogo mke anastukia mzee kanzu imetuna kidogo, basi anauliza kimahaba kwamba kama baba yupo Ok au anataka kupumzika, hiyo ni mawasiliano tayari.

Hivyo mawasiliano nayo yanacheza sehemu kubwa ya ndoa yenu.
Upo sahihi mkuu.
Katika watu wanaohitaji mawasiliano basi ni mke na mume.

Unakerwa na kitu usipokisema ukakihifadhi ushaua mawasiliano technically.
 
Nilipokuwa katika mahusiano nikitarajia kuoana nae bhasi kati ya hivyo vigezo vitatu viwili nilikuwa navyo sasa hicho kingine kilichobaki kilikwamisha sana mipango yetu mpaka ilifikia malengo kutokutimia na ikafika kipindi nikabaki na kimoja pekee vingine vyote vikaniponyoka, hivyo nakubali ni vitu muhimu sana kuanzia katika mahusiano.
We nae unafumba fumbaa khaaaa.....
 
Ipo hivi...hiki ni kigezo nilichokosa

Nilikuwa katika mahusiano na nilitegemea tungeoana, kipindi hicho nilikuwa ndiyo nimepata ajira huku nikiwa naishi nyumbani nilikuwa nafanya saving nzuri hasa ukizingatia sikuwa na majukumu makubwa..huku nikijipanga kuanza maisha hasa kujitegemea.

Hapa sasa nikawa na mpenzi tuliyependana sana sikutaka iwe tofauti na tulivyopanga. Mahusiano aliyagundua dada mtu akagoma kuwa mimi sikuwa hadhi ya mdogo wake.

Mwanzo tulipambana kuonesha maneno yao yasingekuwa kitu ila ushirikiano ukaanza kupungua, nikapata mashaka kuna muda simu nikipiga anapokea yeye huku akinipa maneno ya kunikatisha tamaa..wakaungana familia wakagoma nisikanyage kwao maana ni kipindi ambacho nilipanga kuwafahamisha wazazi kisha masuala ya ndoa yaendelee..nikasitisha maana kwao hawakutaka kuniona hapa waliungana wote sasa familia nzima.

Naye alianza kunichukia japo si sana, Nikapanga mbali na nyumbani..maisha yakaendelea huku nikiwa nae mwaka 2017 kazi nikaachisha kiasi cha pesa nikafanya uwekezaji ambao ulinipa hasara kutokana na uzembe wangu kumshirikisha yeye kuwa msimamizi pia.

Hapa nikabaki na kigezo kimoja tu, ukawa mtihani mkubwa kelele za ndugu zake zikiendelea.

Kipindi kilichokuwa kigumu zaidi ni pale tulipokosana muda wa kuombana msamaha na kuzungumza haukupatikana kwa urahisi maana kwao hakuwa na uhuru wa kutoka na kibaya alipoumia alikuwa akilia huku akiwashirikisha ndugu zake ambao hawanipendi hapo walipata nafasi nzuri ya kumlisha maneno.

Baadaye aliolewa na mwanaume aliyechaguliwa na ndugu zake.

Nijambo baya sana mtu anapoonesha kutokupendezwa nawewe huku akijaribu kuyafanya mawazo yake ndiyo yamuendeshe yule uliye na ndoto nae na anayekuone wewe ni sahihi kwake, mwanzo haina tabu ila ikitokea ukakosana nae huku wanampa maneno,

Mfano "umeona, tulikuambia ukawa hautuelewi na hataishia hapa atazidi kukuumiza mpaka ukome". Hapo ukipiga simu hapikei ukituma ujumbe anajibu asiyekupenda.

Nimejaribu kufupisha japo sikupenda kuyaandika haya.
 
Ipo hivi...hiki ni kigezo nilichokosa

Nilikuwa katika mahusiano na nilitegemea tungeoana, kipindi hicho nilikuwa ndiyo nimepata ajira huku nikiwa naishi nyumbani nilikuwa nafanya saving nzuri hasa ukizingatia sikuwa na majukumu makubwa..huku nikijipanga kuanza maisha hasa kujitegemea.

Hapa sasa nikawa na mpenzi tuliyependana sana sikutaka iwe tofauti na tulivyopanga. Mahusiano aliyagundua dada mtu akagoma kuwa mimi sikuwa hadhi ya mdogo wake.

Mwanzo tulipambana kuonesha maneno yao yasingekuwa kitu ila ushirikiano ukaanza kupungua, nikapata mashaka kuna muda simu nikipiga anapokea yeye huku akinipa maneno ya kunikatisha tamaa..wakaungana familia wakagoma nisikanyage kwao maana ni kipindi ambacho nilipanga kuwafahamisha wazazi kisha masuala ya ndoa yaendelee..nikasitisha maana kwao hawakutaka kuniona hapa waliungana wote sasa familia nzima.

Naye alianza kunichukia japo si sana, Nikapanga mbali na nyumbani..maisha yakaendelea huku nikiwa nae mwaka 2017 kazi nikaachisha kiasi cha pesa nikafanya uwekezaji ambao ulinipa hasara kutokana na uzembe wangu kumshirikisha yeye kuwa msimamizi pia.

Hapa nikabaki na kigezo kimoja tu, ukawa mtihani mkubwa kelele za ndugu zake zikiendelea.

Kipindi kilichokuwa kigumu zaidi ni pale tulipokosana muda wa kuombana msamaha na kuzungumza haukupatikana kwa urahisi maana kwao hakuwa na uhuru wa kutoka na kibaya alipoumia alikuwa akilia huku akiwashirikisha ndugu zake ambao hawanipendi hapo walipata nafasi nzuri ya kumlisha maneno.

Baadaye aliolewa na mwanaume aliyechaguliwa na ndugu zake.

Nijambo baya sana mtu anapoonesha kutokupendezwa nawewe huku akijaribu kuyafanya mawazo yake ndiyo yamuendeshe yule uliye na ndoto nae na anayekuone wewe ni sahihi kwake, mwanzo haina tabu ila ikitokea ukakosana nae huku wanampa maneno,

Mfano "umeona, tulikuambia ukawa hautuelewi na hataishia hapa atazidi kukuumiza mpaka ukome". Hapo ukipiga simu hapikei ukituma ujumbe anajibu asiyekupenda.

Nimejaribu kufupisha japo sikupenda kuyaandika haya.
Doooh pole mkuu jaman ....
 
Ipo hivi...hiki ni kigezo nilichokosa

Nilikuwa katika mahusiano na nilitegemea tungeoana, kipindi hicho nilikuwa ndiyo nimepata ajira huku nikiwa naishi nyumbani nilikuwa nafanya saving nzuri hasa ukizingatia sikuwa na majukumu makubwa..huku nikijipanga kuanza maisha hasa kujitegemea.

Hapa sasa nikawa na mpenzi tuliyependana sana sikutaka iwe tofauti na tulivyopanga. Mahusiano aliyagundua dada mtu akagoma kuwa mimi sikuwa hadhi ya mdogo wake.

Mwanzo tulipambana kuonesha maneno yao yasingekuwa kitu ila ushirikiano ukaanza kupungua, nikapata mashaka kuna muda simu nikipiga anapokea yeye huku akinipa maneno ya kunikatisha tamaa..wakaungana familia wakagoma nisikanyage kwao maana ni kipindi ambacho nilipanga kuwafahamisha wazazi kisha masuala ya ndoa yaendelee..nikasitisha maana kwao hawakutaka kuniona hapa waliungana wote sasa familia nzima.

Naye alianza kunichukia japo si sana, Nikapanga mbali na nyumbani..maisha yakaendelea huku nikiwa nae mwaka 2017 kazi nikaachisha kiasi cha pesa nikafanya uwekezaji ambao ulinipa hasara kutokana na uzembe wangu kumshirikisha yeye kuwa msimamizi pia.

Hapa nikabaki na kigezo kimoja tu, ukawa mtihani mkubwa kelele za ndugu zake zikiendelea.

Kipindi kilichokuwa kigumu zaidi ni pale tulipokosana muda wa kuombana msamaha na kuzungumza haukupatikana kwa urahisi maana kwao hakuwa na uhuru wa kutoka na kibaya alipoumia alikuwa akilia huku akiwashirikisha ndugu zake ambao hawanipendi hapo walipata nafasi nzuri ya kumlisha maneno.

Baadaye aliolewa na mwanaume aliyechaguliwa na ndugu zake.

Nijambo baya sana mtu anapoonesha kutokupendezwa nawewe huku akijaribu kuyafanya mawazo yake ndiyo yamuendeshe yule uliye na ndoto nae na anayekuone wewe ni sahihi kwake, mwanzo haina tabu ila ikitokea ukakosana nae huku wanampa maneno,

Mfano "umeona, tulikuambia ukawa hautuelewi na hataishia hapa atazidi kukuumiza mpaka ukome". Hapo ukipiga simu hapikei ukituma ujumbe anajibu asiyekupenda.

Nimejaribu kufupisha japo sikupenda kuyaandika haya.
Shida nini, wao ni familia ya matajiri au nini
 
Shida nini, wao ni familia ya matajiri au nini
Ndivyo ilivyokuwa, hawakuwa pia na asili ya rangi nyeusi sawa namimi.

Mzee wake aliwahi kunitumia ujumbe akiniuliza kuwa "niwapi niliona punda akimpanda farasi"..akiwa na maana kuwa rangi nyeusi nimuoe mwanae.

Japo ukoo wao kuna ndugu yao alioa jirani na kwetu.
 
Ndivyo ilivyokuwa, hawakuwa pia na asili ya rangi nyeusi sawa namimi.

Mzee wake aliwahi kunitumia ujumbe akiniuliza kuwa "niwapi niliona punda akimpanda farasi"..akiwa na maana kuwa rangi nyeusi nimuoe mwanae.

Japo ukoo wao kuna ndugu yao alioa jirani na kwetu.
hahaha!! hao jamaa si mpo dini moja???hela tu mbona Kikwete na mwinyi wameoa
 
Nikweli tatizo labda utajiri waliotaka wao me sikuwa nao zaidi labda familia yangu.

Kuhusu dini haikuwa kigezo kikubwa sana kwakuwa nilitimiza hilo.

Mwanzo baadhi ya ndugu zake hasa kaka yake na binamu yake waliungana nae maana walinijuwa kutokana na sehemu yangu ya kazi nilikuwa nakutana nao sana na walipokuja nilikuwa nikiwafanyia wema.

Tatizo lilikuwa kwa dada yake na ndiye alikuwa na ushawishi zaidi.
 
Inasemekanana sababu kuu zinazovunja ndoa ni
1.pesa
2.tendo la ndoa
3.in-laws(wakwe,wifi,mashemeji etc)
Kwamba hivi vitu vitatu vikiyumba ndoa chali. Ni kweli?
Mwenzenu mke wangu amesema hajisikii kufanya mapenzi na mimi nimebembekeza mbaka nimechoka anasema hisia kwangu zimekufa.kwa hiyo sasa hivi nalala na bukta full nimemwambia haina shida
 
Back
Top Bottom