Hahahah umenisusa umeona Sakayo kanisalimia ndiyo ukanikumbuka.Na mimi nakusalimia[emoji137][emoji137][emoji137]
Sitakii[emoji46]
Hahahah umenisusa umeona Sakayo kanisalimia ndiyo ukanikumbuka.Na mimi nakusalimia[emoji137][emoji137][emoji137]
Safari ni hatua!
Safi sana.Yeah
Hahaha hahaha hahahaEeh tendo la ndoa, Mimi nikipewa vizuri hata hela sitaki na hata mawifi wakinichamba sinuni maana najua usiku nitapoozwaaa[emoji23][emoji23][emoji23].
Nakazia kwa kweli.
Wanaume wanatafuta hela ili wapate vitutofauti kabisa na unavyovizungumzia weweHey com oooooooonn Haz...see; tatizo mentality zetu tulivyo ziumba watu wengi mnadhani PESA ndio kila kitu kwenye mahusiano kitu ambacho si kwelii...wanaume mna hustle kupata mihela mkidhani mtakuwa na amani ya kweli...waapii[emoji23]mmebaki kufa na vihoro na kuwaachia wengine kutumbua hustles zenu...
Tayari ushafika ukanda huoo ulipo! Ndo hatua hizo rafikiHahah eti hatua! !Ya kuelekea wapi!??
Teh teh..Hiyo namba 1 na namba 3 hakuna shida..Ndugu hawawezi kuwa kikwazo kwenye ndoa yangu..Pesa natafuta...Haujawahi kuniangusha. [emoji23][emoji23][emoji23]
Enhe bana nishafika Ukanda huu wa gaza! !!Basi kama ndivyo kweli ni hatua! !Tayari ushafika ukanda huoo ulipo! Ndo hatua hizo rafiki
Ni kweli kabisa lakini hicho kinachukua robotatuu[emoji23][emoji23]Hahaha hahaha hahaha
Imebidi nicheke tuu jamani!
Kila kitu kina raha yake na nafasi yake kwenye ndoa!
Hiyo ndo sababu inayosababisha mtu uwaze kuoa,ni hiyo tuMie bwna mke wangu nampa mambo mawili tuu.
1) umekuja hapa nikugegede
2) umekuja hapa nikugegede
Mambo ya sijui oh tupange maisha hilo halijawahi kuingia akilini...kama nomeshindwa kupanga maisha mwenyewe ndio mke atakuja kunisaidia kupanga. Mie naoa ili nipate pakugegeda pale ambapo vimwana wananipiga chenga za messi.
Kwakuwa nakupenda na kukuheshimu acha nikamjibuu.Msamehe tuu jamani!
Naomba umuitike tuu kipenzi
Msamehe tuu jamani!
Naomba umuitike tuu kipenzi
Sawa.Wanaume wanatafuta hela ili wapate vitutofauti kabisa na unavyovizungumzia wewe
Tulia wewe ushaombewa msamaha.Hahaha umejuaje nimekususa! !!Itakuwa wewe ndiye umenisusa si bure! !
Ukiniudhi nakuambia hapo hapo, tunayajenga maisha yanasonga!Hahah aisee!!!! Vp nikikuudhi na wewe utanisamehe? ?
Tulia wewe ushaombewa msamaha.
Mimi mzima, za masiku mpendwa?
Hiyo ni kwa Tanga mkuu. Sasa kama mume wangu msukuma na mimi mchaga hayo mambo sijui itakuwaje yani[emoji23][emoji23][emoji23]
Nashukuru mno kipenzi!Kwakuwa nakupenda na kukuheshimu acha nikamjibuu.