Jamaa anafikiri pesa maanake utajiri,kumbe pesa ya kutimiza mahitaji ndani ya nyumba
Nafikiri wawili wanapoamua kufunga pingu za maisha kila mmoja anamjua vyema mwenzake!Love inaweza kuwepo Ila mtakula love? School fees mtalipa na love? Ndio migogoro inaanza wala sio kwa kukosa mapenzi
I got you fam,na hii ni hasa kwa wanawakeNi hivi...masikini wanapooana wamekubaliana na hali zao kiuchumi. Uchumi huo wa chini ukizidi kushuka migogoro inaanza. Pesa kwenye thread hii haina maana ni utajiri.
Kwa maana hiyo basi "upendo wa kweli husitiri wingi wa mabaya" na hii ni kwasababu pia upendo wa kweli huvumilia.
Wee bishana na utafiti ....ni haki yako lakini utafiti unaonyesha kabisa number one source of marital problems ni pesa.
Nafikiri wawili wanapoamua kufunga pingu za maisha kila mmoja anamjua vyema mwenzake!
Sitaki kuamini eti uchumi umeyumba ada imechelewa muachane! Hakuna wakati ambao mwanaume anahitaji faraja kama kipindi cha mkwamo! Mpe mawazo mbadala na wakati huo jukumu la kulea ni la mume na mke!
Baba amekwama mama ana kazi, au ana biashara kuna tatizo gani akaisogeza familia wakati baba anapambana?; upendo unabeba kila kitu hapo!
MAHUSIANO YAO HAYAKUJENGWA NA MSINGI WA UPENDO...ndio maana,.mimi siajona sababu ya wao kuseparate hicho ndicho kipindi sasa cha kumtukuza Mungu kwa mke/mume uliyenae...kwa jinsi mtakavyo bebana na kutiana moyo.Nikupe mfano wa rafiki yangu mmoja wa kizungu ambae hivi karibuni ameniambia ameamua kurudi kwa baba yake kutokana na maisha kuwa magumu kati yake ni mchumba wake ambae wamezaa watoto wawili.
Hiyo ilitokana na yeye kuacha kazi na kutafuta kazi ingine ambayo kipato chake si halisi. jambo lililopelekea kuanza kutoa matatizo pale ndani kwao.
Nilipomuuliza kwanini amerudi kwa baba yake akaniambia kwamba wakifanya hivyo basi yule msichana wake ataweza kuedela kuchukua benefits na yeye huyu jamaa kumpa kiasi fulani cha fedha kila mwezi.
Yaani ukiangalia hapo utaona kwamba huyu jamaa ameshindwa kuhimili maisha ya kukaa pamoja na familia yake na kuamua kukaa pembeni kutoa support kwa mbali.
Sasa hivyo ni rahisi kwa mtu mwingine kumshawishi huyu msichana kingono na nnayowafahamu wazungu kwa uzuri hiyo inawezekana.
Utakuwa umenielewa hapo kidogo.
Shit happen my dear. Mambo yanabadilika,kuvunjika au kuimarika Kwa ndoa inategemea mwanamke wa aina gani umeoa. Hujasikia au kuona ndoa iliovunjika baada ya uchumi wa mume kuyumba?Nafikiri wawili wanapoamua kufunga pingu za maisha kila mmoja anamjua vyema mwenzake!
Sitaki kuamini eti uchumi umeyumba ada imechelewa muachane! Hakuna wakati ambao mwanaume anahitaji faraja kama kipindi cha mkwamo! Mpe mawazo mbadala na wakati huo jukumu la kulea ni la mume na mke!
Baba amekwama mama ana kazi, au ana biashara kuna tatizo gani akaisogeza familia wakati baba anapambana?; upendo unabeba kila kitu hapo!
Kuna bongo utanielewa tuu chief😊Napata shida kukuelewa hapa
Uko sahihi kabisaaa! Na wazazi wetu hawakuwa milionea!Ndo maana wazazi wetu waliweza kuishi Maisha marefu ya ndoa kwasababu waliweza kufahamiana tangu wadogo.
Wanadoa wa kizazi hiki cha sasa hukutana leo na Kesho wasikia watu wanafanya "send-off"
Kuna hatua za kufikia ndoa kamili, yaani utangulizi wa urafiki, hadi uchumba hadi kuoana.
Mnapoanza mapenzi mapema sana nayo ina play part kuanza kuleta mawazo mbadala.
You got the pointMie nakubaliana na wewe kiasi,hakuna jambo linamuuma mwanaume kama kushindwa ku provide for his family,ukimuomba school fees anaona kama umemdharau hivi….confidence ya mwanaume ni kipato chake...once kikikosekana his fragile ego imekua affected,slowly hili jambo linamla..na lita affect mahusiano yenu…...
MAHUSIANO YAO HAYAKUJENGWA NA MSINGI WA UPENDO...ndio maana,.mimi siajona sababu ya wao kuseparate hicho ndicho kipindi sasa cha kumtukuza Mungu kwa mke/mume uliyenae...kwa jinsi mtakavyo bebana na kutiana moyo.
Uko sahihi kabisaaa! Na wazazi wetu hawakuwa milionea!
Tujifunze kuwa na upendo halisi na sio wa material things...Kabisa na hicho ndicho kinachosumbua vijana wengi wa kileo, hawana upendo wa kweli.
Wanaanza mapenzi mapema huku bado wakitamani masuala ya kidunia badala ya kuakzania kumwagilia maji bustani ikue na ishamiri kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu.
Uimara wangu mimi ni kujibishana tu na hao wakwe maana kuna wakwe wengine ni pasua kichwa wana midomo na visa vingi hata ukikohoa tu utachambwa hasa wakijua kuwa ndugu yao (mume) yupo upande waoLakini namba 3 wewe ukiwa imara inaweza isikuyumbishe
Mambo gani yanabadilika?! Seriously niondoke kwa mume kisa kaishiwa?! Itakuwa niliolewa sababu ya pesa zake ama?!Shit happen my dear. Mambo yanabadilika,kuvunjika au kuimarika Kwa ndoa inategemea mwanamke wa aina gani umeoa. Hujasikia au kuona ndoa iliovunjika baada ya uchumi wa mume kuyumba?
Sasa hata mkiwa na upendo wa kweli mtakula mawe? Uchumi ukiyumba unaleta migogoro kwasababu ya stress,hapo ndio uhusiano unaanza kubomoka.Kabisa na hicho ndicho kinachosumbua vijana wengi wa kileo, hawana upendo wa kweli.
Wanaanza mapenzi mapema huku bado wakitamani masuala ya kidunia badala ya kuakzania kumwagilia maji bustani ikue na ishamiri kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu.
Sababu walipendana piaWalikuwa wavumilivu pia