Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

hivi kusex ndo kufanyaje ndugu mwenyekiti naomba mwongozo wa maneno yasifohamika kutumika kwenye hichi kikao na baadhi ya wajumbe katika hichi kikao

Asante ni mimi bachela sugu pekee naejua kupika pilau yenye malimau !
 
Nijazie...

Migogoro mingi duniani inasababishwa na mawasiliano duni.

Wengi tunajua mawasiliano ni kuzungumza tu bali pia inajumuisha kuelewa mnachozungumza, kukubaliana na kutokufichana.

Ni kweli kabisa.

Kwa mfano mke anaweza kutamani kununua vito au nguo dukani au mtandaoni, lakini si mbaya kama atamwambia mmewe kwamba kuna product amependa na anamuuliza kama anaonaje.

Mume nae atapenda kuona mamaa anapendeza na naweza kumwambia mama kwenda dukani wote au kama ni mtandaoni basi atakuja kuangalia hiyo product na kui-approve.

Au kwa mfano mume na mke wote wacheza bao na kidogo mke anastukia mzee kanzu imetuna kidogo, basi anauliza kimahaba kwamba kama baba yupo Ok au anataka kupumzika, hiyo ni mawasiliano tayari.

Hivyo mawasiliano nayo yanacheza sehemu kubwa ya ndoa yenu.
 
Back
Top Bottom