Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo gani yanabadilika?! Seriously niondoke kwa mume kisa kaishiwa?! Itakuwa niliolewa sababu ya pesa zake ama?!

Mimi huwa naamini sana katika upendo sijui ni kwa nini! Kwenye upendo kuna kila kitu bwana!
Kama wewe wako wachacheeee. Majority jump the ship
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hii ipo spiritual zaidi. Hebu njoo kwenye real world. Maana kwenye Spirit tunaweza fanya kila lililo gumu.
MAHUSIANO YAO HAYAKUJENGWA NA MSINGI WA UPENDO...ndio maana,.mimi siajona sababu ya wao kuseparate hicho ndicho kipindi sasa cha kumtukuza Mungu kwa mke/mume uliyenae...kwa jinsi mtakavyo bebana na kutiana moyo.
 
Mie nakubaliana na wewe kiasi,hakuna jambo linamuuma mwanaume kama kushindwa ku provide for his family,ukimuomba school fees anaona kama umemdharau hivi….confidence ya mwanaume ni kipato chake...once kikikosekana his fragile ego imekua affected,slowly hili jambo linamla..na lita affect mahusiano yenu…...

Mwanaume ukioa kaa ukijua kuwa hela ya mwanamke ni yake peke yake. So if u dont have money ujue hapo ndoa italegalega. Tusidanganyane bwana ....mapenzi bila pesa hamnaga.
 
Uko sahihi kabisaaa! Na wazazi wetu hawakuwa milionea!

Kabisa.

Yaani sisi wote hapa JF tuchukulie tupo kwenye mid 40s na tuliona jinsi wazazi wetu walivyokuwa waki-struggle ili tuishi kwa furaha, upendo na amani.

Suala la ripoti ya shule ilikuwa ikingojewa na wazazi wote wawili ili kui- scrutinize, kutaka kuwafahamu marafiki zako na suala la kwenda kanisani ambalo lilikuwa halina mjadala.

Tuliona haya yote ni kazi kwelikweli lakini yatakuwa yametusaidia wengi wetu hapa.
 
Men don't want sex, they need sex,ni basic need,so hii inaprove mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja, unasema wanawake wanafanya sex na mtu ambaye wapo attached naye emotionally,nini kinasababisha mwanamke asiwe na emotions kufanya sex most of the time??

That's how we differ ndugu,its nature....pingana na nature,break your neck..lol...now dig for yourself why men have sex without being emotionally involved,there's wealth of literature outhere...lol..we are physiologically different..thats main thing..
 
Sasa hata mkiwa na upendo wa kweli mtakula mawe? Uchumi ukiyumba unaleta migogoro kwasababu ya stress,hapo ndio uhusiano unaanza kubomoka.
Kwa nini unakazania kula mawe?!
Kuna ugali na dagaa, kuna kande! Au wewe ni wale ambao mke akitaka kucheza na wewe weekend unamwambia unataka nikae na wewe hapa tule mawe?!

Kila kitu kina nafasi yake bana! Leo uchumi umeyumba kuna unga tunywe uji! Tufurahi
 
Uimara wangu mimi ni kujibishana tu na hao wakwe maana kuna wakwe wengine ni pasua kichwa wana midomo na visa vingi hata ukikohoa tu utachambwa hasa wakijua kuwa ndugu yao (mume) yupo upande wao

Sasa mimi kujifanya mjinga hata kama naonewa siwezi kwa kweli kwahiyo nikipata wakwe wa hivi nahisi ndoa itanishinda tu uvumilivu nao una kikomo chake ati
Kazi ipo...hata kama unampenda mumeo utamwacha kisa maneno ya mawifi,wakwe? Kelele za mpangaji hazizuii mwenye nyumba kulala
 
Kabisa.

Yaani sisi wote hapa JF tuchukulie tupo kwenye mid 40s na tuliona jinsi wazazi wetu walivyokuwa waki-struggle ili tuishi kwa furaha, upendo na amani.

Suala la ripoti ya shule ilikuwa iningojewa na wazazi wote wawili ili kui- scrutinize, kutaa kuwafahamu marafiki zako na suala la kwenda kanisani ambalo lilikuwa halina mjadala.

Tuliona haya yote ni kazi kwelikweli lakini yatakuwa yametusaidia wengi wetu hapa.
Hebu agiza juice ya limao hapo nakuja kulipa!
 
Mwanaume ukioa kaa ukijua kuwa hela ya mwanamke ni yake peke yake. So if u dont have money ujue hapo ndoa italegalega. Tusidanganyane bwana ....mapenzi bila pesa hamnaga.

Ni sawa lakini mwaweza kabisa kuwa na joint account halafu kila mtu ana akiba yake pembeni na kwenye "bed talk" mnakubaliana kiasi gani kiende wapi kusawazisha masuala yote ya familia financially.

Ila kwangu mimi mke wangu ku-manage mshahara wake au kipato si tatizo kwangu, kwani bado mimi ni provider wa familia.

Mwanamme haoi mwanamke ili aje awe "joint enterprise" bali anakuja kuwa partner wako wa maisha yenu kwa kila hali.

Yaani wote wawlili mnamiliki mali yenu mnayoitengeneza pamoja na si joint-enterprise ambayo hata wezi au majambazi hufanya kwenda kuiba sehemu.
 
Ni sawa lakini mwaweza kabisa kuwa na joint account halafu kila mtu ana akiba yake pembeni na kwenye "bed talk" mnakubaliana kiasi gani kiende wapi kusawazisha masuala yote ya familia financially.

Ila kwangu mimi mke wangu ku-manage mshahara wake au kipato si tatizo kwangu, kwani bado mimi ni provider wa familia.

Mwanamme haoi mwanamke ili aje awe "joint enterprise" bali anakuja kuwa partner wako wa maisha yenu kwa kila hali.

Yaani wote wawlili mnamiliki mali yenu mnayoitengeneza pamoja na si joint-enterprise ambayo hata wezi au majambazi hufanya kwenda kuiba sehemu.

Mie bwna mke wangu nampa mambo mawili tuu.
1) umekuja hapa nikugegede
2) umekuja hapa nikugegede

Mambo ya sijui oh tupange maisha hilo halijawahi kuingia akilini...kama nomeshindwa kupanga maisha mwenyewe ndio mke atakuja kunisaidia kupanga. Mie naoa ili nipate pakugegeda pale ambapo vimwana wananipiga chenga za messi.
 
Kwa nini unawaza negatively!
Pakishakuwa na upendo lazima tolerate iwepo!

Tunarudi mule mule! Upendo ndo kila kitu
Unaweza kumpenda mtu ila akakufanya umuache kwa kushindwa kumvumilia kwa Jambo moja au lingine
 
Kazi ipo...hata kama unampenda mumeo utamwacha kisa maneno ya mawifi,wakwe? Kelele za mpangaji hazizuii mwenye nyumba kulala
Kama mume yuko upande wangu siwezi kumuacha ila kama yupo upande wa ndugu zake hapo unadhani hata yeye atataka kuendelea kuwa na mimi kweli?
 
Haha ilikua imesahaulika hii ndo adui mkubwaa

Simu ni tatizo kwa kuwa watu hawaelewi kanuni za matumizi ya simu.

Kuna simu personal, ya kazini na ya biashara.

Sasa wewe wachagua tu, ipi iwe opened kwa mkeo na bila shaka itakuwa hiyo ya personal.

Nafikiri ntaeleweka hapa.

🙂🙂
 
Back
Top Bottom