Namba 2 inavumilika?
4.hasa kwa mwanaume,mtu anaoa anajua hapa yes, sinunui tena makahaba sinza nakuwa namgegeda mke wangu asubuhi,mchana na jioni tena bila condom,ila akioa tu mara mwanamke anasema amechoka,mara hayupo kwenye mood,mara hajisikii kufanya mapenzi,mara yupo busy na watoto,ndoa nyingi zinayumba baada ya mwanamke kuzaa,waliooa mashahidi,kwa mwendo uo lazima uchepuke tena ukioa ndo unachepuka kwa speed 180 kumzidi hata bachelor4: great expectations as if unaoa/kuolewa malaika,,,,
5:uchumba wa muda mfupi,
Kwangu mimi inavumilika as long as money ipo
4. Ina maana unaoa mtu humfahamu vizuri?