Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Mambo makuu matatu yanayovunja ndoa

Communication. Kati ya wanandoa wenyewe. Hii ilitakiwa kuwa namba 1 na root cause ya kuvunjika kwa ndoa. Panapokosekana honest two-way communication ndio sababu hizo nyingine zinaingia kuvunja ndoa.
 
Daaah, holi jambo limekuwa tatizo kubwa sana.

Kuna wanaume wengi hawapendi kuchepuka ila ni baada ya kula ban kwa wife.

Mi napenda mwanamke kama haumwi ama dharura za kijinsia hakuna kuwekeana limit
4.hasa kwa mwanaume,mtu anaoa anajua hapa yes, sinunui tena makahaba sinza nakuwa namgegeda mke wangu asubuhi,mchana na jioni tena bila condom,ila akioa tu mara mwanamke anasema amechoka,mara hayupo kwenye mood,mara hajisikii kufanya mapenzi,mara yupo busy na watoto,ndoa nyingi zinayumba baada ya mwanamke kuzaa,waliooa mashahidi,kwa mwendo uo lazima uchepuke tena ukioa ndo unachepuka kwa speed 180 kumzidi hata bachelor
 
Daaah, holi jambo limekuwa tatizo kubwa sana.

Kuna wanaume wengi hawapendi kuchepuka ila ni baada ya kula ban kwa wife.

Mi napenda mwanamke kama haumwi ama dharura za kijinsia hakuna kuwekeana limit
Awe anakupa yote sio?
 
Communication. Kati ya wanandoa wenyewe. Hii ilitakiwa kuwa namba 1 na root cause ya kuvunjika kwa ndoa. Panapokosekana honest two-way communication ndio sababu hizo nyingine zinaingia kuvunja ndoa.
Pesa,tendo la ndoa vikikosekana mawasiliano lazima yaharibike....ila vikiwepo mawasiliano hata yakiwa mabovu yanavumilika
 
Back
Top Bottom