Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Mwanaume aliyekamiliki hajawahi kutema kitumbua hata siku moja hata kama ni kitumbua cha kichaa
Akushurukuru nini wewe joseveret 😂😂😂😂😂😂mpige chini endelea na maisha mengine, kama roho haitaki usiforce mzee..utanishukuru baadae
Ila kweli. inawezekana anataka nyota yangu huyu mama , iweje tukutane kwa gari then baada ya siku kadhaa eti "nakupenda"Sikia usimkubalie huyo mama anataka nyota nasio mapenzi kuwa makini
Karibu musomaNilikuwa mwanza,sasa nipo Tanga ila mwez ujao nahamia mara
SanteeKaribu musoma
Asante sanasawa mkuu, japo uzi bila picha usingekuwa mzito ,ntalifanyia kazi
...Mwanamke wa Miaka 54 ni Mzee hafai, ila Mwanaume wa Miaka 60 Bado anadai, na akiwa na Hela ni Kijana!!! Inashangaza...Kumbe bado nina muda mrefu wa kula Bata, 50 bado ana hamu?
Wanaume tunaringa sana siku hiziAjabu sana! Asilete kuvunga,akamkune tu mama wa watu Kwa kweli,afu tunakoelekea inaonyesha tutaanza kununua hizi fimbo Ili zituchape si unaona hizo jeuri zao
Yes!Hukupaswa kuweka mazungumzo yenu binafsi hapa maana hajakukosea kitu
mkuu nikupatie namb kama vipi upambane nayeMpe ufadhili acha kumbania mmama wa wtu mpe raha za dunia ujue.
sasa nikianza kumpiga hela , sintakuwa mario sasa?Mtoto wa kiume unamwambia mwanamke "Siwezi!"... Wewe kula kwanza utimize uanamme wako uone kama yaliyomo yamo au kama ana mkono mwepesi (mpunga), inawezekana unapiga teke sahani la dhahabu!! Ukiona hana kila kitu piga chini litakuwa sio lishangazi hilo bali libibi
Nipe namba yake pmsasa nikianza kumpiga hela , sintakuwa mario sasa?
mi namwambia kulazimisha penzi haifai ohooAkushurukuru nini wewe joseveret 😂😂😂😂😂😂
HahahaSiwezi tongoza mwanaume ever.
Miaka 52 huyo ni dogo sana, sema tu wewe huna nguvu za kiume