Mama wa miaka 50 ananitaka

Mama wa miaka 50 ananitaka

Angekua mzuri najua usingetaka hata ushaur 😂 ila kama anazo pesa za kutosha kukuhonga wee mtrombe tu kwa tahadhari... Kama hana pesa mwambie akatafute wazee wenzake aliokula nao ujana...
 
Cha ajabu sio huyo mama kukutaka, la hasha!

cha ajabu ni kwambaa ukiombwa namba yake hutoitoa katu😂😂
 
Ajabu sana! Asilete kuvunga,akamkune tu mama wa watu Kwa kweli,afu tunakoelekea inaonyesha tutaanza kununua hizi fimbo Ili zituchape si unaona hizo jeuri zao
Wanaume tunaringa sana siku hizi
 
Mtoto wa kiume unamwambia mwanamke "Siwezi!"... Wewe kula kwanza utimize uanamme wako uone kama yaliyomo yamo au kama ana mkono mwepesi (mpunga), inawezekana unapiga teke sahani la dhahabu!! Ukiona hana kila kitu piga chini litakuwa sio lishangazi hilo bali libibi
 
Mtoto wa kiume unamwambia mwanamke "Siwezi!"... Wewe kula kwanza utimize uanamme wako uone kama yaliyomo yamo au kama ana mkono mwepesi (mpunga), inawezekana unapiga teke sahani la dhahabu!! Ukiona hana kila kitu piga chini litakuwa sio lishangazi hilo bali libibi
sasa nikianza kumpiga hela , sintakuwa mario sasa?
 
Back
Top Bottom