Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
- Thread starter
- #181
sawa mkuu, nimekuelewa.Ukishindwa kusolve issue ndogo kama hiyo utaweza nini? Block namba yake kisha ifute kwenye device zako zote. Akikutafuta kwa namba nyingine ukishajua tu kuwa ni yeye kata simu mara moja kisha usipokee tena.
Hayo unayaweza ikiwa tu Unasema ukweli wa moyo wako kuwa hutaki kumtoumber huyo mama, vinginevyo utafail