Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,575
- 31,012
- Thread starter
- #101
Duh! mkuu ushawahi kula mbususu ya mtu mwenye umri huo??
Hahahahahahahahah!!Kumbe bado nina muda mrefu wa kula Bata, 50 bado ana hamu?
Nia ji ku-enjoy sio kingine!!ERon
Nia na madhumuni haswa ya kumwambia afanye kuitandika hiyo mbususu ni nini😓😓
Ni njaa? Tamaa? Kukomoa? Kukomesha? Au ni nini????
Nimeshangaa kweli aisee😜Hahahahahahahahah!!
Nia ji ku-enjoy sio kingine!!
Yani Nimecheka kama chizi!! Akili zako madam😂😂!!Nimeshangaa kweli aisee😜
🤣Ajabu sana! Asilete kuvunga,akamkune tu mama wa watu Kwa kweli,afu tunakoelekea inaonyesha tutaanza kununua hizi fimbo Ili zituchape🤔 si unaona hizo jeuri zao🙌Yani Nimecheka kama chizi!! Akili zako madam😂😂!!
Kijana aache kurembaa akamtoe kutu hiyo mazaa hahaha
Hakii tena tunaelea hukoooo!!🤣Ajabu sana! Asilete kuvunga,akamkune tu mama wa watu Kwa kweli,afu tunakoelekea inaonyesha tutaanza kununua hizi fimbo Ili zituchape🤔 si unaona hizo jeuri zao🙌
Saizi yake ipi tena? 😳 Yeye anataka msumali siyo mkongojoUnaweza kuji enjoy kumkula mmama wa kukuzaa au ni laana tuu😎😎
Amwache bimkubwa atapata size yake.... sasahivi anaendeshwa na mihemko tuu
🤸Hakii tena tunaelea hukoooo!!
Hapo kwakua hajamuelewa ndio kaja kuomba ushauri angemuelewa weee ni angepita nae kimyaaa hahahahaaaa!!
Wanaume wachache shoo acha waringe tu no way!!
Huko mnakoenda siku mbili kwa Basi ni wapi mzee au Congo? Achana na huyo mzee unless umpe malengo kwamba unamla ila anakujengea nyumba Kama Hana hela akale na aliokula nap ujana wake.
Wakati mwingine tuwe kama wanawake walivyo, akipata mdingi anamkamua Kwanza anaweka mambo eazi kabisa kwamba mie nakukubali Ila itaninunulia gari fulani na kadi akupe unahakiki kabisa. Ukija kunogewa at least umekula hela yake sio unakula mzee na hela hana.



52 na 34 ni mama yake huyo? Huyo ni kama sister yake tu, kama hakuna pingamizi lingine aitandike tu hiyo mbususu as naamini kama ni laana tunazo toka Eva alipoasi na Adam akakubali kuasi.Unaweza kuji enjoy kumkula mmama wa kukuzaa au ni laana tuu
Amwache bimkubwa atapata size yake.... sasahivi anaendeshwa na mihemko tuu
Huko mnakoenda siku mbili kwa Basi ni wapi mzee au Congo? Achana na huyo mzee unless umpe malengo kwamba unamla ila anakujengea nyumba Kama Hana hela akale na aliokula nap ujana wake.
Wakati mwingine tuwe kama wanawake walivyo, akipata mdingi anamkamua Kwanza anaweka mambo eazi kabisa kwamba mie nakukubali Ila itaninunulia gari fulani na kadi akupe unahakiki kabisa. Ukija kunogewa at least umekula hela yake sio unakula mzee na hela hana.


ERon52 na 34 ni mama yake huyo? Huyo ni kama sister yake tu, kama hakuna pingamizi lingine aitandike tu hiyo mbususu as naamini kama ni laana tunazo toka Eva alipoasi na Adam akakubali kuasi.
Miaka 18 ni binti anayemaliza sekondari, ni kweli uwezo wa kuzaa anao lakini tunasema bado yupo shule na anatakiwa kusoma. Kijana akiona ampooze huyo dada anaweza tu, gepu la umri wala sio kikwazo.ERon
Mwaka 18 mwanamke anakuzaa mara2
Aweee! Kumbe hata mimi nakesha usiku mzima na wewe! Full ku squit tu, bado mtoto sana, ila mimi mtoto zaidi, ila de libolo langu linakua kunizidi mimi33 to 34 soon.Niamkie bas

