Mama wa miaka 50 ananitaka

Mama wa miaka 50 ananitaka

Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Case closed. Ulichesema kwenye conversation yenu ndio sahihi.
 
We mpelekeee moto tu........huyo sio Mzee kivile
 
Ila kweli. inawezekana anataka nyota yangu huyu mama , iweje tukutane kwa gari then baada ya siku kadhaa eti "nakupenda"
Ukiona mtu mzima hana haya muogope watu wazima wenye haya zao wanaaibu .
Nabuchukia muda kusema hisia zao hasa kwa wanaume za watu .

Mtu mshirikina haoni haya kwa maana ana roho tayari ya shetani imemtawala kama huamini kalale naye na nikupe miezi 3 huna tena hiyo biashara yako na utakuwa hausafiri tena upo upo tu na baada ya hapo atakutema
 
Ukiona mtu mzima hana haya muogope watu wazima wenye haya zao wanaaibu .
Nabuchukia muda kusema hisia zao hasa kwa wanaume za watu .

Mtu mshirikina haoni haya kwa maana ana roho tayari ya shetani imemtawala kama huamini kalale naye na nikupe miezi 3 huna tena hiyo biashara yako na utakuwa hausafiri tena upo upo tu na baada ya hapo atakutema
Dah , hii mpaka nimeogopa just imagine from no where siku ya pili tunachati eti i love you.

, i was really suprised.

Kwahyo mkuu wanachukuaje nyota ya mtu, nielezee kidogo mkuu samahani.
 
Kula Nyapu wewe. Wanakuwaga watam sana yaani wanany*ge kama bikra. Kula Mzigo huo
 
Tulia kwenye ndoa yako kijana,maroho mabaya na mikosi uliyopeleka kwenye ndoa yako kupitia michepuko unayosema bado haitoishi unataka upeleke liroho jingine na mikosi chini ya dari ya nyumba yako na kitanda unacholalia na mke wako.Mtu wa kwanza kuwa oppressed na hizi nguvu ulizozikaribisha chumbani kwako ni mke wako,kuwa makini utaua mke wako kijinga,take iti.

Hivi imekaaje mpaka roho chafu kuhusishwa na ngono?
 
Nikisomaga nyuzi za kukulana najikuta napatwa na msisimuko mkubwa wa kula mbususu 😋😋😋😋😋😋😋,
Sijui ni kwa Vile ninaukame wa kupata mbususu ya kuchakata
any way nakushauli usiharibu ujana wako kwa mwanamke alokuzidi miaka 20 Huyo ni sawa na mzazi, Sisi wanaume tunapitia majaribu mengi sana
 
Dah , hii mpaka nimeogopa just imagine from no where siku ya pili tunachati eti i love you.

, i was really suprised.

Kwahyo mkuu wanachukuaje nyota ya mtu, nielezee kidogo mkuu samahani.
Wewe wa wapi.. hivi vitu mbona vya kawaida sana..yaani mmekaa kwenye kiti kimoja kwa siku mbili halafu unashangaa.
 
Nikisomaga nyuzi za kukulana najikuta napatwa na msisimuko mkubwa wa kula mbususu ,
Sijui ni kwa Vile ninaukame wa kupata mbususu ya kuchakata
any way nakushauli usiharibu ujana wako kwa mwanamke alokuzidi miaka 20 Huyo ni sawa na mzazi, Sisi wanaume tunapitia majaribu mengi sana
asante mkuu. nimechukua ushauri
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Dah opportunity hii dah!
 
Mkuu achana na huyo mama fanya mambo yako,usije beba magundu na laana.
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Nimesoma kila Aya kwa uaminifu mkubwa, Hiki kizazi cheti ni bahati na sibu.
 
Ukishindwa kusolve issue ndogo kama hiyo utaweza nini? Block namba yake kisha ifute kwenye device zako zote. Akikutafuta kwa namba nyingine ukishajua tu kuwa ni yeye kata simu mara moja kisha usipokee tena.

Hayo unayaweza ikiwa tu Unasema ukweli wa moyo wako kuwa hutaki kumtoumber huyo mama, vinginevyo utafail
 
Back
Top Bottom