pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,963
- 7,648
Usiingilie mapenzi ya watumi namwambia kulazimisha penzi haifai ohoo
Usiingilie mapenzi ya watumi namwambia kulazimisha penzi haifai ohoo
Case closed. Ulichesema kwenye conversation yenu ndio sahihi.Wakuu habari?
Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.
Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.
Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.
Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.
Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.
(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)
Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,
Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
Kabisa, mwanaume wa kweli hafeli kwa mwanamke yeyoteSiwezi tongoza mwanaume ever.
Miaka 52 huyo ni dogo sana, sema tu wewe huna nguvu za kiume
Ukiona mtu mzima hana haya muogope watu wazima wenye haya zao wanaaibu .Ila kweli. inawezekana anataka nyota yangu huyu mama , iweje tukutane kwa gari then baada ya siku kadhaa eti "nakupenda"
Dah , hii mpaka nimeogopa just imagine from no where siku ya pili tunachati eti i love you.Ukiona mtu mzima hana haya muogope watu wazima wenye haya zao wanaaibu .
Nabuchukia muda kusema hisia zao hasa kwa wanaume za watu .
Mtu mshirikina haoni haya kwa maana ana roho tayari ya shetani imemtawala kama huamini kalale naye na nikupe miezi 3 huna tena hiyo biashara yako na utakuwa hausafiri tena upo upo tu na baada ya hapo atakutema
asante mkuuCase closed. Ulichesema kwenye conversation yenu ndio sahihi.
Tulia kwenye ndoa yako kijana,maroho mabaya na mikosi uliyopeleka kwenye ndoa yako kupitia michepuko unayosema bado haitoishi unataka upeleke liroho jingine na mikosi chini ya dari ya nyumba yako na kitanda unacholalia na mke wako.Mtu wa kwanza kuwa oppressed na hizi nguvu ulizozikaribisha chumbani kwako ni mke wako,kuwa makini utaua mke wako kijinga,take iti.
Wewe wa wapi.. hivi vitu mbona vya kawaida sana..yaani mmekaa kwenye kiti kimoja kwa siku mbili halafu unashangaa.Dah , hii mpaka nimeogopa just imagine from no where siku ya pili tunachati eti i love you.
, i was really suprised.
Kwahyo mkuu wanachukuaje nyota ya mtu, nielezee kidogo mkuu samahani.
asante mkuu. nimechukua ushauriNikisomaga nyuzi za kukulana najikuta napatwa na msisimuko mkubwa wa kula mbususu,
Sijui ni kwa Vile ninaukame wa kupata mbususu ya kuchakata
any way nakushauli usiharibu ujana wako kwa mwanamke alokuzidi miaka 20 Huyo ni sawa na mzazi, Sisi wanaume tunapitia majaribu mengi sana
Mkuu ushawahi chakata maza wa miaka 50 kuendelea?Kula Nyapu wewe. Wanakuwaga watam sana yaani wanany*ge kama bikra. Kula Mzigo huo
Dah opportunity hii dah!Wakuu habari?
Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.
Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.
Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.
Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.
Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.
(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)
Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,
Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
ntafanya hvyo mkuu.Mkuu achana na huyo mama fanya mambo yako,usije beba magundu na laana.
Nimesoma kila Aya kwa uaminifu mkubwa, Hiki kizazi cheti ni bahati na sibu.Wakuu habari?
Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.
Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.
Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.
Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.
Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.
(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)
Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,
Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
kwann mkuu?Nimesoma kila Aya kwa uaminifu mkubwa, Hiki kizazi cheti ni bahati na sibu.