Mama wa miaka 50 ananitaka

Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni).
Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
Hahah
Ukaendekeza nyege zako safarini ukankojolea nkojo.

Sasa hizo ndo consequences za infidelity.

Kaza kiuno kiume kijana, peleka moto🤣
 
Jitathmin muonekano wako inawezekana na wewe una muonekano wa kibabu babu

Sawa na mtoto wa darasa la nne wa like amtongoze mwalimu wake wa kiume bila shaka hata mwl atakuwa anamuoneoano au tabia za kitoto ndio maana mtoto kachagua wa size yake
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni).
Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
mpige chini endelea na maisha mengine, kama roho haitaki usiforce mzee..utanishukuru baadae
 
Piga mashine wewe acha uzembe.

Mwenzio anahitaji moto apelekewe.

Hao nao wanahitaji haya mambo.

Uzuri huyo kama mkweli bila chenga.

I love matured women hawana shida kabisa

Umetuabisha sana

Msaidie huyo mama na upweke wake.

Angalizo: Kapimeni afya zenu.
 
Tulia kwenye ndoa yako kijana,maroho mabaya na mikosi uliyopeleka kwenye ndoa yako kupitia michepuko unayosema bado haitoishi unataka upeleke liroho jingine na mikosi chini ya dari ya nyumba yako na kitanda unacholalia na mke wako.Mtu wa kwanza kuwa oppressed na hizi nguvu ulizozikaribisha chumbani kwako ni mke wako,kuwa makini utaua mke wako kijinga,take iti.
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni).
Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?
View attachment 2303886
Acha ujinga.Una miaka kati ya 30 hadi 32 ndiyo umri gani huo.Nchi jirani jina kapuni.Kivipi?Muwe mnatunga sensible issues.
 
Kwani ukimpiga pumbu unapubgukiwa na nini jombaa kuna wakati kuwa gentleman yani maza anakubembelez ivo ..... mwite gaeto usiku chakata sana mpige style za Cuba 🇨🇺..... maza wawatu Ana nyege wewe unaremba ..... nipe namba zake mkuu
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Msiba ni wako mkuu, amua kuzika ama kusafirisha
 
Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Serious miaka 30 hata hili unaletaa huku anyway sawa tumejuwa ulikuwa nchi jirani

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom