Mama wa miaka 50 ananitaka

Mama wa miaka 50 ananitaka

Wakuu habari?

Mimi ni kijana wa miaka iliyokati ya 30 na 34,nina mke na watoto 2.

Nilikutana na huyu mama kwa Gari kuelekea nchi jirani(jina kapuni). Hivyo kutokana na urafiki tulioujenga ndani ya safari ile ya siku 2 ilinibidi nichukue namba lkn sikuwa na mawazo mabaya.

Lakini huyu mama amenitamkia ananipenda na anatamani kampani yangu sababu mume wake kamuacha na kuhamia kwa mke mwingine.

Pili hana mtu yeyote huku ng'ambo ya Tanzania hivyo anaona mimi nitamfaa zaidi. Mwanzoni nilisita ila nkawa namkwepa kwa kumpa majibu direct na kutokuweka mazungumzo ya mapenzi bali ya kirafiki.

Ila kachachamaa sanaa , ana moto sanaa na mimi naweza nkagonga wanawake umri wa mwisho 40 ila 52 pamezidi sana Sina mzuka naye na havutii kivileee.

(Sina shida na mbususu nina michepuko kama wa2 wa huku huku ng'ambo ,umri kuanzia 25-35)

Nimetafuta kila sababu ya kumtema ila yeye yumo,

Naomba ushauri wakuu nifanyeje?

View attachment 2303886
Mkuu nitumie namba yake, hizi bahati mnazichezea
 
Aweee! Kumbe hata mimi nakesha usiku mzima na wewe! Full ku squit tu, bado mtoto sana, ila mimi mtoto zaidi, ila de libolo langu linakua kunizidi mimi
🤸😜Mambo si hayo🤜 but no wewe kihuni mno khaa🙌
 
Unaweza kuji enjoy kumkula mmama wa kukuzaa au ni laana tuu😎😎
Amwache bimkubwa atapata size yake.... sasahivi anaendeshwa na mihemko tuu
Tena unamkunja vizuri tu..... na miyoe anapiga ...hujaona hata ile clip ya mama wema sepenga?
 
Mpige púmbú wewe... Nasema uongo ndugu zangu?
Kweli kabisa kama anaweza piga pumbu hao mademu ambao nao watazeeka na kuwa kama huyo bibi anashindwaje kuipiga..huyu jamaa kama demu vile yani hana maamuzi yakiume.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kweli kabisa kama anaweza piga pumbu hao mademu ambao nao watazeeka na kuwa kama huyo bibi anashindwaje kuipiga..huyu jamaa kama demu vile yani hana maamuzi yakiume.

#MaendeleoHayanaChama
Huwa napenda sana hiyo hashtag ya maendeleo hayana chama
Jifanye unajikuna ......
Mimi👇👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220716-115413_Twitter.jpg
    Screenshot_20220716-115413_Twitter.jpg
    47.9 KB · Views: 16
Kumbe bado nina muda mrefu wa kula Bata, 50 bado ana hamu?
Yap. 50 tu? Tena kwa wanawake ni bado sana. Utafika 70 labda ndio kasi ianze kudorola. Kisha ulete mrejesho kuwa yote ni ubatili mtupu baada ya kushindwana na mabaharia.
 
Kweli kabisa kama anaweza piga pumbu hao mademu ambao nao watazeeka na kuwa kama huyo bibi anashindwaje kuipiga..huyu jamaa kama demu vile yani hana maamuzi yakiume.

#MaendeleoHayanaChama
Mkuu hivi unazizijua pisi kali kweli?
Mama umri umeenda sana jmn.

Ntatoa namba yake kwa mtu aliye serious amt o m b e huyu mama , mimi siwez
 
Una miaka Kati ya 30_34 😂🤣🤣🤣🤣 ,kwanza ushampigia???
 
Back
Top Bottom