Malima akamatwe (obstruction of justice)

Kwani hawa askali awakimuona dreva yuko ndani? Ata awa askali awawezi tambua uyu ni kiongozi waserekari msitaafu japo wakamheshimu! Ivi ingekuwa ni mzee mkapa wangemtendea ivyo? Au angekuwa mzee pinda au labda mwl nyerere Mungu amlaze pema peponi wangemtendea ivyo?.
Mkapa hawezi kufanya ujinga huo. Anajitambua. Mkapa anao walinzi.
 
Eti nae huyu ni Great thinker rubbish kabisa kuandika kwenyewe ni shida sasa majibu yako ya ulichohoji hapo juu ni haya hakuna aliye juu ya sheria kama alitambua yeye ni kiongoz angepaswa kutanguliza busara kwanza na sio majivuno.
 
"Unajua mimi ni nani" aisee nachukia sana hii kauli, halafu kuna wananchi walikuwa pale kiushabiki tu eti wanamsapoti Malima.
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.

Huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi.

Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani?

Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...

Utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria
Ahsante Daudi
 
Je kama ingekuwa gari linasubiri majambazi? watu wangesema hawafanyi kazi zao kupunguza majanga... huyo kuuliza sijui kama wanajua yeye nani hapana.. tabu pia video zipo vipande vipande hatujaona walikuwa wameanzaje hadi ikafikia hapo..

Ila ningekuwepo hapo ningekimbia, huo mtutu unatisha.

Polisi wangewahoji mashuhuda tujue kwanini alitumia bunduki yake..akiwa polisi amefanya kosa nae alipate ikiwa waliongeleshwa vizuri wakakataa basi nao wafunzwe.

Majambazi wengi sana siku hizi na wanatumia njia hizo hizo kama vile wao watu wana pesaa magari mazuri kumbeeeee ni hatariiiii

(Mods mnaunga threads, niliyoandika naona hayaendani na uzi mliokuja kuunganisha..bora kuanza kumquote mleta mada ieleweke tu...ndio maana kuchangia uzi kunaboaaaaaaaaaa)
Na kweli matapeli majizi wanatembelea magari mazuri sijui wanayaazima yard za kuuzia magari
 
Heri usiandike chochote kuliko kupotosha watu.
Alama za babarani ziko wazi sana.
Unapotoshaje watu kuwa mtu anaruhusiwa kuegesha gari kwenye alama ya "no parking"?
Na kama unaamini huo ndo ukweli, basi matatizo yako ni makubwa sana kuliko nilivyotarajia.
So umeangalia hiyo clip na umeona sehemu wameandika "no parking" au umeamua tu kujitoa ufahamu
 
Eti "obstruction of justice"??? What "justice" are you referring to? Hii labda umesikia tu CNN au NYPD Blue lkn huelewi maana yake. The concept doesn't apply here. Obstructing a law enforcement officer would have been more appropriate in this situation.
e3cf03e763f23aa147d0b826e133f645.jpg
 
Heri usiandike chochote kuliko kupotosha watu.
Alama za babarani ziko wazi sana.
Unapotoshaje watu kuwa mtu anaruhusiwa kuegesha gari kwenye alama ya "no parking"?
Na kama unaamini huo ndo ukweli, basi matatizo yako ni makubwa sana kuliko nilivyotarajia.
Mkuu nenda pale ngome upanga ukapaki gari halafu akija millitary police muulize mbona hamna alama ya no parking pengine itakuwa mwisho wa uhai wako......mbonasheria za tanroads ziko so clear angalia tafsiri ya neno hifadhi ya barabara.
 
ni ngumu kuadithia picha ambayo imeangaliwa na wengi kwani hata hivyo mweshimiwa katumia busara kubwa kunyamazisha dereva wake na vilevile watu wamechoka na uonevu unaojitokeza kila siku subiri yakukute utaelewa ila ukicheki unaona kabisa busara imetumika sana ....
Ila akuna mtu juu ya sheria ila kuna ukiukwaji wa sheria me na wewe atujui sasa wanaotakiwa kuzungumzia ili swala ni vyombo usika.


Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nenda pale ngome upanga ukapaki gari halafu akija millitary police muulize mbona hamna alama ya no parking pengine itakuwa mwisho wa uhai wako......mbonasheria za tanroads ziko so clear angalia tafsiri ya neno hifadhi ya barabara.
Ndo maana nikamwambia asitupotoshe
 
Risasi hakupigiwa malima, ni za wale nyumbu waliokuwa wakiongezeka na malengo tofauti huku wakishangilia kila kitu.
Inawezekana ikawa hivyo pia lakini faini ya kuegesha gari vibaya inajulikana na yule Askari kama angefata sheria asingefikia hatua ile, kwanza yeye angewazuia wasiondoe gari lao na kuita maaskari wa usalama barabarani ambao wao hawabebi silaha kama ile na pia ikaja brake down ya maana hapo kidogo tungeshawishika make hao unao waita nyumbu huenda wamekusanywa na huyo aliye leta ubabe sehemu isiyo husika hivyo kushangaa ilikuwa ni muhimu pia.
 
Inawezekana ikawa hivyo pia lakini faini ya kuegesha gari vibaya inajulikana na yule Askari kama angefata sheria asingefikia hatua ile, kwanza yeye angewazuia wasiondoe gari lao na kuita maaskari wa usalama barabarani ambao wao hawabebi silaha kama ile na pia ikaja brake down ya maana hapo kidogo tungeshawishika make hao unao waita nyumbu huenda wamekusanywa na huyo aliye leta ubabe sehemu isiyo husika hivyo kushangaa ilikuwa ni muhimu pia.

Sheria gani unayoijua ambayo askari hakuifata hapo, unakijua kisa kilianzia wapi mpaka askari mwenye siraha kutoka ndani ya gari???.

Kwa akili yako unadhani askari alitakiwa kuita traffic police, sasa sjui nini lengo la yeye kuwa pale na hao majembe????

Kushangaa hukatazwi,wewe kashangae tu ila usimzonge askari atakumwaga utumbo, baada ya kuelekezwa juu kule, kilichokuwa kinafuata ni kwenye vitambi vyao kama wasingetawanyika.
 
Inawezekana kabisa ukawa umemzidi askari umri, kipato nakadhalika lakini tuheshimu mipaka ya kazi ya kila mmoja askari kazi yake ni kusimamia sheria zilizotungwa na bunge ,,?.

Huyu mzee amekwenda kuegesha gari sehemu isiyoruhusiwa akitumia cheo chake maagizo ma maelekezo aliyo pewa akashindwa ku comply ikapelekea watu wasiokuwa na shughuli kujaa na kuwa tayari kwa lolote....ukisikiliza maneno vizuri kwenye clip inayosambaa watu wana washutumu polisi nyie mmezidi ukimuangalia vizuri dereva wa malima aliyevaa shati kama la jeans ana pandisha hasira mpaka anajipiga makofi mkononi.

Ni dhahiri kabisa kwamba hawa watu wasiokuwa na shughuli walikuwa wako tayari kuwavamia hawa polisi angalia kwa makini clip, hawa yono kila siku wanatukamata na tunalipa faini mbona haiwi ishu huyu anamwambia polisi unajua mimi ni nani?

Polisi anaongea kwa uchungu anasema mbona nyinyi hamheshimu serikali mimi nimeapa ninamkanda wa bendera, lakini watu wasiokuwa na shughuli wanaendelea kubeza...huu ni utawala mwingine yale mambo ya unajua unaongea na nani hayapo tena nchi inaongozwa na taratibu kanuni na sheria ukikiuka ...

Utapigwa tu hope alilala oysterbay police hakuna mtu aliye juu sheria
Kwani Malima ni nani?!
 
So umeangalia hiyo clip na umeona sehemu wameandika "no parking" au umeamua tu kujitoa ufahamu
Tuchukulie mfano ali hassan mwinyi road kutoka red cross hadi moroko hamna kibao cha no parking. Unaweza kupaki kisa hamna hicho kibao?

Mara nyingine hata kama hamna zuio inategemea umeegesha vipi gari. Ukikanyaga lami hawa jamaa hawakuachi hata kama hamna zuio huruhusiwi kuegesha barabarani labda gari iwe na tatizo na ni lazima uwashe hazard lights.
 
Back
Top Bottom