Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

bbh.jpg


Huyo Ndio KOMBA wa totoz… Viongozi walio wengi wa CCM Wamejaa Madeni ya Mabilioni kwa Ku-Invest katika Nchi ..Ukimuuliza hiyo Hela yakulipa Ataitoa Wapi ? hajui
Wanaitegemea CCM iwapatie Fedha ya Mfuko wa Serikali Waitumie kwa Shughuli zao Binafsi.. Wakiambiwa Watanzania Wanataka Serikali 3 Wanajidai zina Gharama….
Hata Bado mimi nataka Apigwe Mnada hata KAPTULA lake la MAMA NTILIE..
 
Bakili Muluzi Secondary School
TENDER FOR SALE

Tenders are hereby invited from the general public, Private and Religious Organizations; for PURCHASE of BAKILI MULUZI SECONDARY SCHOOL (Form 1-VI) Regist. No. 1373 whose assets include more than ten buildings, on 6 acres of Land Located at MBWENI, Mageti Mawili Kinondoni District

Tenders should deposit a non-refundable 100,000/- Tshs. commitment fee in NBC a/C #049103002008 of Colleta Memorial School in order to collect, or receive tender documents

All Sealed Tenders should be addressed to:
The Director,
Mrs. Salome John Komba
Bakili Muluzi Secondary School
P. O. Box 60161
Dar ws Salaam

Mob: 0715 - 260881
0754 - 260881

Deadline: 27.08.2013
NB: You can also tender through email: memocolleta@yahoo.com

Source: Daily News 13/08/2013
 
Bakili Muluzi Secondary School
TENDER FOR SALE

Tenders are hereby invited from the general public, Private and Religious Organizations; for PURCHASE of BAKILI MULUZI SECONDARY SCHOOL (Form 1-VI) Regist. No. 1373 whose assets include more than ten buildings, on 6 acres of Land Located at MBWENI, Mageti Mawili Kinondoni District

Tenders should deposit a non-refundable 100,000/- Tshs. commitment fee in NBC a/C #049103002008 of Colleta Memorial School in order to collect, or receive tender documents

All Sealed Tenders should be addressed to:
The Director,
Mrs. Salome John Komba
Bakili Muluzi Secondary School
P. O. Box 60161
Dar ws Salaam

Mob: 0715 - 260881
0754 - 260881

Deadline: 27.08.2013
NB: You can also tender through email: memocolleta@yahoo.com

Source: Daily News 13/08/2013

Kwa hiyo tangu tangazo hili litoke mwaka jana hii shule haijanunuliwa?
 
Kwa hiyo tangu tangazo hili litoke mwaka jana hii shule haijanunuliwa?

Watakuwa walikusanya hiyo tender fee ya kutosha!

Tenders should deposit a non-refundable 100,000/- Tshs. commitment fee in NBC a/C #049103002008 of Colleta Memorial School in order to collect, or receive tender documents
 
Mzee wa Sebene - Haya CRDB hao wanakupigia hodi... hawanaga utani wale na hela yao!!!

images
 
Kwa hiyo tangu tangazo hili litoke mwaka jana hii shule haijanunuliwa?
The Alivyoona imebuma akaona aikope bank for 1billion akamtoa Lulu selo akala bata na hela ikaisha
 
Bakili Muluzi Secondary School
TENDER FOR SALE

Tenders are hereby invited from the general public, Private and Religious Organizations; for PURCHASE of BAKILI MULUZI SECONDARY SCHOOL (Form 1-VI) Regist. No. 1373 whose assets include more than ten buildings, on 6 acres of Land Located at MBWENI, Mageti Mawili Kinondoni District

Tenders should deposit a non-refundable 100,000/- Tshs. commitment fee in NBC a/C #049103002008 of Colleta Memorial School in order to collect, or receive tender documents

All Sealed Tenders should be addressed to:
The Director,
Mrs. Salome John Komba
Bakili Muluzi Secondary School
P. O. Box 60161
Dar ws Salaam

Mob: 0715 - 260881
0754 - 260881

Deadline: 27.08.2013
NB: You can also tender through email: memocolleta@yahoo.com

Source: Daily News 13/08/2013

hahahahaha aisee mbona haipati wateja
 
Hili neno!, unaikumbuka kesi ya tycoon wetu pale gazeti la Mtanzania lilipomuandika ni mdaiwa wa NBC?!.

Kudaiwa sio kosa la jinai, ila kutajwa kwa jina kuwa unadaiwa ni kuvunjiana heshima na kuchafuliana majina!.
Pasco

Sasa hapo Pasco CRDB inaingiaje, mi naona anayetaja jina na kutangaza ni gazeti Raia Mwema, unless kama gazeti liliambiwa liandike hivyo na benki " Mali za Mbunge kupigwa mnada". Endelea kufafanua Mkuu Pasco...
 
kutokana na upana wa mitandao yakijamii, nimepata kuona habari ambayo binafsi sijapata uhakika wake pengine kwa kua sipo karibu na watoa habari wa mjini na kufahamu kama haya niliyoyaona yanaukweli ama laaaaaaah!!!!
nimesoma katika mtandao fulani wa hapa nyumbani ambao nao ni jukwaa kama hivi jf habari yenye kichwa cha habari naomba kunukuu "cpt.komba kufilisiwa na benki leo (akimaanisha siku ya jana 25th june 2014) mchana huu" mwisho wa kunukuu.
naomba kujua kama habari hii inaukweli wowote
 
ni leo kwenye vyombo vya habari tumeskia kwamba mali za mmbunge Kapteni John Komba zitapigwa mnada kwa kudaiwa na benk ya crdb zaidi ya billion moja fedha ambazo ameshindwa kurudisha. Swali langu ni je kwa nini mtu ukope zaidi ya uwezo wako wa kurejesha? Jamani hili liwe fundisho kwetu sisi. Ni kweli saa nyingine tunakuwa na tamaa ya kukopa na kuanzisha biashara ili kufanikiwa haraka. Ila kaa ukijua kuwa biashara hata siku moja haitabiriki

..kukopa is not a bad thing.

..labda ungesema tunapokopa tuwe makini na terms za hiyo mikopo.

..au, tuwe makini ktk matumizi ya mikopo tuliyochukua.

..sina uhakika kama unaweza kuwa mfanyabiashara mkubwa bila kukopa benki.

..ukiogopa mkopo, na ukiogopa kupata hasara, hutakaa uwe mfanyabiashara hata siku moja.

..mimi nasisitiza wa-Tz wazawa tujiunge zaidi na zaidi ktk sekta ya biashara na viwanda.

cc Mentor, Daudi Mchambuzi, GlorytoGod
 
Last edited by a moderator:
Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe
 
Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe


vipi mkuu hujapata hata kapicha utupie hapa? wamempleka wapi kwa sasa?
 
Back
Top Bottom