Umsumbalembe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 929
- 853
Dawa mbadala ya kitambi imepatikana! Hongera sana CRDB.
Kosa lake kutangaza wazi wazi kumpa support urais EL.Sasa Anashughulikiwa pole pole na MembeNyie endeleen tu kumchambua ukitekwa na kutolewa kucha hatuna kusiitikia wala kutoa rambirambi
Benki ya CRDB iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa Kapteni John Komba kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana.
Jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja za kitanzania.
Starehe zote zile na babies kumbe anatumbua mkopo
Hapa ndipo unapochemkaga kaka kila kitu lazima ukitwist kwenye uchadema na uccm why? Hivi CRDB nayo ni ya Chadema au?
Front page lead story Rais Mwema...bila shaka atakuwa tayari msituni akijiandaa kuja kupambana na 'wadeni' wake.
Watamtambua kwa kumdai mwanajeshi yule ohoooo.
Akishindwa hivyo bila shaka atawatungia nyimbo...wataimbiwa kwaya na kusahau kudai deni.
Ebwana kweli wewe CCM mpk kifo kitakapo kutenganisha.:second:Afisa habari wa chama kikuu cha upinzani akitema cheche zake.
Ndugu, TOT ni mali ya CCM, sio mali ya Komba binafsi. Yeye anamiliki shule inaitwa Bakili Muluzi:flame:
Tunashuhudia kuagana na baba yetu.
Benki ya CRDB iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa Kapteni John Komba kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana.
Jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja za kitanzania.
Ndo maana anamuunga mkono lowasa; ili amkopeshe ............................. Janja sana
Benki ya CRDB iko njiani kufilisi mali za mheshimiwa Kapteni John Komba kutokana na kushindwa kulipa deni . Ikiwepo shule zake kupigwa mnana.
Jumla ya deni lote ni shilingi bilioni moja za kitanzania.