Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Mali za Kapteni Komba kupigwa mnada na CRDB

Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe

Komba alitumia hela za mtaji na vimwana sasa hivi analia na vyenyewe vinamtemea mate!!chezea watoto wa mjini wewe!!
 
Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe

Wewe kilaza wamkamata wapi mbona leo asubuhi nilikuwa nae?
 
Si Ngongo alisema deni amelipiwa na TACAIDS mbona BAVICHA mnakuwa waongo waongo hivi!
 
Last edited by a moderator:
Songe mbali sana jamani CRDB haijafika huko. Wamemvizia pale mlangoni akitoka kwenda mjengoni nini?? Vimwana vimemlewesha
 
Huyu bwana kuna wakati alitaka umma wa watanzania umuone kama jasiri lakini imewachukua sekunde crdb kumfanya ajisalimishe
Kwani issue yenyewe imekaaje wengine ndiyo tunasikia kutoka kwako.
 
Kwani issue yenyewe imekaaje wengine ndiyo tunasikia kutoka kwako.

Mkuu umeniwahi, yaani nikua mpole toka mwanzo wa uzi nikitegemea watu wataeleza kisa na mkasa lakini naona wanatiririka kivyao tu.
 
nyie wote kumbe hamkujua kisa cha kwenda msituni.

alikuwa anamwambia KINANA kuwa nakwenda (msituni). kuchukua pembe za ndovu ili alipe madeni,
 
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha magamba wezi sana.
 
yule mzee kwa mabinti ni balaa
yani na wewe umekubali kuiongizwa mkenge na vijipesa vyake vya mkopo!

huwa nawaza wanapokuwa kitandani na lulu mawasiliano yanakuwaje manake kitambi kinawatenganisha pale lulu anapokuwa bize ku boost mashine
 
Hivi kwaya yake imeshaanza mazoezi ya 2015
 
Mbona munatuweka njia panda, amechukuliwa yuko wapi? Leteni habari kamili, habari kamili hakuna kila mmoja ana comment.
 
Mbona munatuweka njia panda, amechukuliwa yuko wapi? Leteni habari kamili, habari kamili hakuna kila mmoja ana comment.

Wapuuzi kila kitu CCM mada wameleta haina kichwa wala miguu ujinga mtupu na yule bwabwa aloteta mada
 
Back
Top Bottom