Mzee ES,
Mimi wasifu wake sina. Ila umesema huo wasifu uliotoa Wikipedia. Mimi nilichofanya ni kuongeza tu yale ambayo Wikipedia hawakuwa nayo, that's all. Hakuna cha jazba. Basi turudi kwenye topic ambayo ni ufanisi wa Wazee Salim na Malecela--topic ambayo mimi nilishaahidi sitaigusa hata ukinipa mlingoti wa futi kumi.
Mimi wasifu wake sina. Ila umesema huo wasifu uliotoa Wikipedia. Mimi nilichofanya ni kuongeza tu yale ambayo Wikipedia hawakuwa nayo, that's all. Hakuna cha jazba. Basi turudi kwenye topic ambayo ni ufanisi wa Wazee Salim na Malecela--topic ambayo mimi nilishaahidi sitaigusa hata ukinipa mlingoti wa futi kumi.