Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Mchambuzi wa mambo, Bwana Joka Kuu ameibuka na kusema kuwa SAS anatuhuma za utovu wa maadili alipokuwa makotopora. Ameendelea kusema kwamba Bwana SAS alifanya kitendo kingine cha aibu kuhusiana na Balozi M, ambaye hakutaka kumalizia jina lake.
Kwa wachambuzi wengine, uamuzi wa Joka Kuu kuogopa kumwaga data kuhusu SAS unaweza kumfanya aitwe jina jipya la JOGA kuu.
Ama kama data zake zitakuwa ni za kweli, anaweza kujikuta katika kundi la kujulikana kama JINGA kuu.
........ndiyohiyo
Kwa wachambuzi wengine, uamuzi wa Joka Kuu kuogopa kumwaga data kuhusu SAS unaweza kumfanya aitwe jina jipya la JOGA kuu.
Ama kama data zake zitakuwa ni za kweli, anaweza kujikuta katika kundi la kujulikana kama JINGA kuu.
........ndiyohiyo