Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Hiyo ni habari chafu, utamkosoaje yule aliyekuumba??, wewe hata huwezi kuumba "single celled creature".

Badala ya kutafuta hekima ya uumbaji na utendaji wa mambo hapa duniani "the grand cosmic context", wewe unapinga na kumkosoa aliyekupa hiyo akili !!

Vipi ndugu??!!
Una uhakika na unachosema?
 
Hekima unaijua kweli mkuu?

Hebu jiulize watu ambao wamezaliwa wazima kabisa na hawana tatizo ni kipi walichokifanya kumfurahisha Mungu hadi wakazaliwa wazima bila tatizo?lazima tujiulize hili.

Hekima maana yake fair kumfanyia mtu jambo bila bias

Sasa mungu wenu hana fair amejaa upendeleo
 
Hekima maana yake fair kumfanyia mtu jambo bila bias

Sasa mungu wenu hana fair amejaa upendeleo
Hiyo maana ya hekima umeitoa wapi? maana sijawahi kuona neno hekima likitumika kwa maana hiyo.

Halafu nimeuliza watu waliyozaliwa wazima bila tatizo lolote wamefanya jambo lipi kwa Mungu hadi wakazaliwa bila tatizo?
 
Umezunguka nchi nyingi sawa, lakini hapa ndugu yangu tunazungumzia juu ya kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu na siyo dini, hao unaowaona kuwa wameendelea na wana raha na starehe, mfano Marekani hujaona katika sarafu yao ya dollar wameandika maneno:- " In god we trust" ?? au pamoja na kutembea nchi zote America hujafika??😁😁

America nimefika, na hiyo ni kwa sababu ya politics tu, ukizunguka US hukutani na watu wanakaa kuongelea mungu mungu kila kitu mungu, labda ukizunguka streets ambazo wamejaa watu weusi ndiyo utasikia story za mungu, hata US sehemu zinazoongoka umaskini zimejaa ndiyo unasikia watu wanataja mungu, ila pita kama Sillicon Valley kama utasikia mtu anapoteza muda kuongelea mungu.
Mungu hayupo, ni story tu zilikuwepo toka zamani watu mkazibeba kama zilivyo, hivi ukisoma kitabu cha dini huoni kinajipinga chenyewe kila wakati? Yaani paragraph hii inasema 1+1=2 inayofuata inasema 1+1=3. Alafu watu mkiulizwa mnakaa kusema god works in mysterious ways, huyo mungu ni stupid kiasi hicho?
 
Ingekuwa unayoyasema ni kweli basi waarabu ndio wangekuwa nyuma kimaendeleo kuliko waafrika.

Kwani waarabu wameendelea?
Hujaenda uarabuni wewe, ingia Dubai, Abu Dhabi au Qatar utaona rich families ni zile ambazo zina relationship na mfalme, Saudi Arabia sijafika sitopaongelea ila najua uarabuni wote walewale tu, wanafanikiwa kwa kukandamiza wenzao, kama ndivyo mungu anavyowatuma basi huyo mungu kilaza, ukiona unaongozana na mwanamke ambaye siyo mke wako wala dada yako unafungwa.
Alafu Dubai asilimia kubwa ya pesa inayoingia pale ni foreign investment, watu toka US, Europe na Asia wamejazana pale, zunguka mwenyewe uone sio unakaa kuguess.
 
Naona umeshanielewa.

Halafu ni makosa kuandika aya kwa maandishi ambayo si ya asili.

Kwani mungu anayo lugha?

Kama quran ni maneno ya mungu ni lazima kuandika kwa kiarabu? kwani mungu mwaarabu?

Kwanini unilazimishe kuandika kiarabu wakati mungu hana lugha,au huyo mungu hajui kiswahili?

Au mungu ni mwarabu hajui lugha nyingine?

Ukitafakari hayo maswali utagundua kitu kama kweli mungu ni mmoja na anajua kila kitu na utagundua yafuatayo:-

huyo mungu hajui lugha nyingine zaidi ya kiarabu

Na kama maneno yake mungu mpaka yaandike kwa kiarabu basi yeye hawezi kuwa mungu itakuwa mpango wa waarabu kutaka kuikuza lugha yao
 
Sizani kama mungu alifanya makosa ,kwa maana kila alichofanya kina sababu maalumu
 
Wanaosema Mungu yupo hawajibu maswali kama haya.

Kwa sababu hawawezi.

Kwa sababu Mungu hayupo.
Bado najiuliza haya:-
kabla sijazaliwa MUNGU KWA UWEZO WAKE alijua kuwa ntazaliwa mimi siku flani na nitaishi siku kadhaa na ikifika siku ya mwisho kuishi nakufa mazima... hapa katikakti ya maisha yangu kuna matendo nitakayotenda ambayo ninauhakika MUNGU kabla sijazaliwa alijua kuwa nikishazaliwa nitayatenda hayo ndani ya maisha yangu yote bila kukosea hata kidogo. JE KAMA NILITENDA DHAMBI NDANI YA UHAI WA MAISHA YANGU AMBAYO MOLA ALISHAJUA KUWA NITATENDA JE ADHABU INANIHUSU NINI MIE KIUMBE?
PIA NIKTENDA YA HERI NITAITUMIAKIA HERI NA ADHABU KWA KIWANGO KIPI?
 
Kwa mwendo huu ninao wapeleka lazima mnyoshe maelezo. Sema wewe na wenzako ndio hamjui muda ni nini ?

Halafu nakukumbusha tu sijakuuliza muda ni nini,japokuwa muda unafahamika ni nini,nimekuuliza Muda ulianza lini ?

Muda kila mtu anauona anavyoujua mwenyewe mfano mbwa anaona muda anavyoujua yeye au mtoto wa miaka 2 anaujua muda anavyouona mwenyewe kila kitu kinaona muda kwa angle yake

Sasa muda gani unaozungumzi wewe?
 
Kwani waarabu wameendelea?
Hujaenda uarabuni wewe, ingia Dubai, Abu Dhabi au Qatar utaona rich families ni zile ambazo zina relationship na mfalme, Saudi Arabia sijafika sitopaongelea ila najua uarabuni wote walewale tu, wanafanikiwa kwa kukandamiza wenzao, kama ndivyo mungu anavyowatuma basi huyo mungu kilaza, ukiona unaongozana na mwanamke ambaye siyo mke wako wala dada yako unafungwa.
Alafu Dubai asilimia kubwa ya pesa inayoingia pale ni foreign investment, watu toka US, Europe na Asia wamejazana pale, zunguka mwenyewe uone sio unakaa kuguess.
Hoja yako ipi mbona haueleweki mara hakuna maendeleo ni walewale tu mara wanafanikiwa kwa kukandamiza wenzao mara pesa zao ni kwa sababu ya foreign investment!

Punguza jazba uongea ueleweke.
 
Bado najiuliza haya:-
kabla sijazaliwa MUNGU KWA UWEZO WAKE alijua kuwa ntazaliwa mimi siku flani na nitaishi siku kadhaa na ikifika siku ya mwisho kuishi nakufa mazima... hapa katikakti ya maisha yangu kuna matendo nitakayotenda ambayo ninauhakika MUNGU kabla sijazaliwa alijua kuwa nikishazaliwa nitayatenda hayo ndani ya maisha yangu yote bila kukosea hata kidogo. JE KAMA NILITENDA DHAMBI NDANI YA UHAI WA MAISHA YANGU AMBAYO MOLA ALISHAJUA KUWA NITATENDA JE ADHABU INANIHUSU NINI MIE KIUMBE?
PIA NIKTENDA YA HERI NITAITUMIAKIA HERI NA ADHABU KWA KIWANGO KIPI?
Mbona haueleweki!! Mwenyewe umekiri kuwa katika kipindi cha uhai wako utatenda dhambi halafu tena unauliza adhabu ya nini?
 
Hiyo maana ya hekima umeitoa wapi? maana sijawahi kuona neno hekima likitumika kwa maana hiyo.

Halafu nimeuliza watu waliyozaliwa wazima bila tatizo lolote wamefanya jambo lipi kwa Mungu hadi wakazaliwa bila tatizo?

Niende unavyotaka ww ili usinitoe katka hoja yangu mungu wenu amejaa upendeleo ktk kuumba ndio maana anaumba wengine wazima na wengine wagonjwa
 
Unakumbuka kuna siku niliweka masharti kadhaa tulijadili jambo la Uwepo wa Mola muumba,ukapita wima ?

Halafu nina kudai maswali mengi sana.

Mimi kuna muda huwa nakuuliza maswali sio kwamba natarajia unijibu la hasha,sababu najua huwezi kunijibu. Ila lengo langu ni kuwafikishia habari wale wasemaji mengine waone madhaifu yenu.

Hili swali la kuhusu MUDA ulianza lini najua huna huwezo wa kulijibu hata wakubwa zako ukiwapa swali hawawezi kulijibu.

Nafanya hivi kuwaonyesha wasomaji ya kuwa nyinyi ni waongo na mnakariri hoja ndio maana maswali na hoja zenu ni hizi hizi,yaani mkitegwa kidogo mnapoteana mazima.

Sasa swali la kuhusu MUDA nimekuuliza zaidi ya masaa matatu nyuma mpaka muda huu hujalijibu.
1537513668917.png

1537513708889.png
1537513730622.png

1537513760133.png
1537513777162.png
 
[QUOTE="Astronomer The Great, post: 28459597, member: 487135"]Kitendo cha kuwepo wajinga duniani kina onyesha kama mungu hayupo

Kwanini mungu mwenye busara na hekima aumbe watu wengine awaumbe wenye akili wengine awaumbe wajinga[/QUOTE]
cc: Tz mbongo
 
Niende unavyotaka ww ili usinitoe katka hoja yangu mungu wenu amejaa upendeleo ktk kuumba ndio maana anaumba wengine wazima na wengine wagonjwa
Bado hoja ya msingi haijapatiwa ufumbuzi.

Hata ukisema anapendelea,bado nauliza ni kwa lipi walilofanya hao wengine hadi awapendelee? Maana kupendelea kuna sababu hauwezi kupendelea bila ya kuwa na sababu,kama haujui kwanini anapendelea basi utakuwa unazusha kusema anapendelea.
 
Bado hoja ya msingi haijapatiwa ufumbuzi.

Hata ukisema anapendelea,bado nauliza ni kwa lipi walilofanya hao wengine hadi awapendelee? Maana kupendelea kuna sababu hauwezi kupendelea bila ya kuwa na sababu.
amewaumba na viwete ili tupate kutambuana
 
Back
Top Bottom