Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Siyo kinyume tu, mpaka kimshazari na ki complex numbers ya kimshazari, kila wazo, kila dakika.

Nishafikiri mpaka hesabu za Hugh Everett za "many world interpretation".

Many-worlds interpretation - Wikipedia
Huko bro sijafika na uwe serious kidogo haya mambo ya kielimu. Hakuna kufikiri kwa mitindo hiyo uliyoisema.

Turudi kwenye mada ya msingi na swali lile nililo kuuliza je umewahi kufikiri kinyume na haya uyafikiriayo ? Uliona nini bro au kama msemavyo nyinyi ukigundua nini ?

Hii nakupa akiba kwa dhana ya uhakika,hujawahi kufikiri kinyume na hivi unavyofikiria ndio maana umepaparika kwa kuandika vitu ambavyo haviwezekani. Eti umewahi kufikiri kimshazari na ki complex number,complex number ni miongoni tu mwa makubaliano ya wana mahesabu ila hakuna jipya ndani yake.
 
Bro nakuuliza hili swali. Muda ulianza kuwepo lini ?.

Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?

.
Sasa bro pembe tatu duara ina uwiano vipi na Mola muumba mpaka uitolee mfano kisa eti haikuwepo ?.

Ina uwiano kwa sababu haipo, na Mungu hayupo.

Ina uwiano kwa sababu ni dhana yenye contradiction, na dhana ya Mungu ina contradiction

.
Bro elimu ya utoaji mifano haishii katika uwiano tu bsli inaenda mbali mpaka katika kutoa utafauti baina ya viwili vyenye kufanana..

Mungu na pembetatu duara ni dhana mbili ambazo hazina tofauti, zote zina contradictions zinazozifanya zisiweze kuwepo katika uhalisi nje ya dhana.

.
Sasa mfano wako wa pembe tatu duara kwa kuigemezea kutokuweko kwake ni ufinyu wa kifikiri na kutumia akili..

Ufinyu wa kufikiri na kutumia akili ni kusema Mungu yupo, ukaambiwa uthibitishe yupo, ukashindwa.
.
Tukianza kuichambua hiyo pembe tatu duara hatutoki nje hali ya MUDA.

Sasa natilia mkazo katika swali langu la MUDA nililo kuuliza hapo juu.

Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?
 
Huko bro sijafika na uwe serious kidogo haya mambo ya kielimu. Hakuna kufikiri kwa mitindo hiyo uliyoisema.

Turudi kwenye mada ya msingi na swali lile nililo kuuliza je umewahi kufikiri kinyume na haya uyafikiriayo ? Uliona nini bro au kama msemavyo nyinyi ukigundua nini ?

Hii nakupa akiba kwa dhana ya uhakika,hujawahi kufikiri kinyume na hivi unavyofikiria ndio maana umepaparika kwa kuandika vitu ambavyo haviwezekani. Eti umewahi kufikiri kimshazari na ki complex number,complex number ni miongoni tu mwa makubaliano ya wana mahesabu ila hakuna jipya ndani yake.
Wewe unayeniambia niwe serious kwa mambo ambayo unakiri hujayafikia ndiye unahitaji si tu kuwa serious, bali pia, kuongeza utashi wa msingi tu.

Huelewi nilichokuandikia, badala ya kuuliza ufundishwe, kama unapinga upinge baada ya kuelewa, unapinga kabla hujaelewa.

Unapinga kitu ambacho hujakielewa.

Sasa huo kama si upumbavu ni nini?
 
Kidole tumbo (appendix) kazi yake ni Ku cent fugue vitu vigumu eg.mawe anayomeza binadamu kwa bahati mbaya.
Je,kwa ambao hawana hicho kiungo kazi hiyo hufanywa na nini!?

Unajua kwamba huwa kuna operesheni ya kuondoa appendix hususani unapoomumwa na kenyewe?
 
Wewe unayeniambia niwe serious kwa mambo ambayo unakiri hujayafikia ndiye unahitaji si tu kuwa serious, bali pia, kuongeza utashi wa msingi tu.

Huelewi nilichokuandikia, badala ya kuuliza ufundishwe, kama unapinga upinge baada ya kuelewa, unapinga kabla hujaelewa.

Unapinga kitu ambacho hujakielewa.

Sasa huo kama si upumbavu ni nini?
Bro nakudai jibu la swali langu mzee. Nimekuelewa vilivyo bro,kufikiri ni sampuli mbili kufikiri kwa usahihi na kinyume chake.

Sijaona ulazima wa kukuuliza sababu ulicho ongea au kuandika hakipo katika uhalisia.

Sasa unajibu swali langu au ?
 
Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?

.

Ina uwiano kwa sababu haipo, na Mungu hayupo.

Ina uwiano kwa sababu ni dhana yenye contradiction, na dhana ya Mungu ina contradiction

.

Mungu na pembetatu duara ni dhana mbili ambazo hazina tofauti, zote zina contradictions zinazozifanya zisiweze kuwepo katika uhalisi nje ya dhana.

.

Ufinyu wa kufikiri na kutumia akili ni kusema Mungu yupo, ukaambiwa uthibitishe yupo, ukashindwa.
.

Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?
Bro nikisema wewe una matatiz ya akili lazima ukubali.

Ulitakiwa kwanza ujue hapa tunazungumzia mada gani ? Suali langu limejikita katika mada husika.

Ama kuhusu uhusiano wa pembe tatu duara ni mjinga kama wewe ndio anaweza kuleta uhusiano wa pembe tatu duara kna Mola muumba. Huwezi kuleta uwiano kwa cha uhai na kisicho kuwa na uhai.

Nakusaidia katika kufikiri kidogo,ushawahi kujiuliza kwanini watu huwa wanaleta uwiano kati ya maziwa na tui la nazi ?

Kwa mtindo huu ndio huwa tunawapigia mifano wale wenye kutumia akili.

Nasubiri jibu.

Narudi.
 
Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?

.

Ina uwiano kwa sababu haipo, na Mungu hayupo.

Ina uwiano kwa sababu ni dhana yenye contradiction, na dhana ya Mungu ina contradiction

.

Mungu na pembetatu duara ni dhana mbili ambazo hazina tofauti, zote zina contradictions zinazozifanya zisiweze kuwepo katika uhalisi nje ya dhana.

.

Ufinyu wa kufikiri na kutumia akili ni kusema Mungu yupo, ukaambiwa uthibitishe yupo, ukashindwa.
.

Kabla ya kujibu, muda ni nini? na ulianza kuwepo lini wapi? Kwa nani?

Halafu sijakuuliza muda ni nini ? Sababu swali hili huwezi kulijibu pia. Angalia ulichokiandika mwishoni huku.

Nasubiri jibu.
 
Bro nikisema wewe una matatiz ya akili lazima ukubali.

Ulitakiwa kwanza ujue hapa tunazungumzia mada gani ? Suali langu limejikita katika mada husika.

Ama kuhusu uhusiano wa pembe tatu duara ni mjinga kama wewe ndio anaweza kuleta uhusiano wa pembe tatu duara kna Mola muumba. Huwezi kuleta uwiano kwa cha uhai na kisicho kuwa na uhai.

Nakusaidia katika kufikiri kidogo,ushawahi kujiuliza kwanini watu huwa wanaleta uwiano kati ya maziwa na tui la nazi ?

Kwa mtindo huu ndio huwa tunawapigia mifano wale wenye kutumia akili.

Nasubiri jibu.

Narudi.

First things first.

Kama mimi nina matatizo ya akili, hilo nalo litakuwa ni ushahidi zaidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao viumbe wake wanaweza kupata matatizo ya akili.

Unaelewa hilo?
 
First things first.

Kama mimi nina matatizo ya akili, hilo nalo litakuwa ni ushahidi zaidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao viumbe wake wanaweza kupata matatizo ya akili.

Unaelewa hilo?
Bro hapa naweza nikamaliza mjadala na wewe sababu naona unanipotezea muda,maswali hujibu unalalamika lalamika tu.

Bro ina maana hujui kama kuna tiba ya maradhi ya akili ? Au unajisahaulisha ?

Ugonjwa wako wewe wa akili na tiba ya akili inaonyesha uwepo wa Mola muumba na ukamilifu wake.

Hapa nimecheka sana nilipokuwa nasoma maneno yakp haya. Ila mmepewa mtihani sana aisee,hata mambo madogo kuyang'amua mnashindwa na ujinga huu mmeutaka nyinyi wenyewe kwa hiari yenu.

Nani alikushika na kukulazimisha ufikirie ujinga sampuli.

Nikija tena nataka unipe jibu la swali langu kuhusu MUDA.
 
Mwanzo wa mpinga kristo na utambulisho wa yule joka (freemasory idea) yawezekana but Only Lord know
 
Bro hapa naweza nikamaliza mjadala na wewe sababu naona unanipotezea muda,maswali hujibu unalalamika lalamika tu.

Bro ina maana hujui kama kuna tiba ya maradhi ya akili ? Au unajisahaulisha ?

Ugonjwa wako wewe wa akili na tiba ya akili inaonyesha uwepo wa Mola muumba na ukamilifu wake.

Hapa nimecheka sana nilipokuwa nasoma maneno yakp haya. Ila mmepewa mtihani sana aisee,hata mambo madogo kuyang'amua mnashindwa na ujinga huu mmeutaka nyinyi wenyewe kwa hiari yenu.

Nani alikushika na kukulazimisha ufikirie ujinga sampuli.

Nikija tena nataka unipe jibu la swali langu kuhusu MUDA.
Unaelewa kwamba hujaelewa hoja yangu?

Nakuuliza kwa nini Mungu kaumba ulimwengu ambao ugonjwa wa akili unawezekana kuwepo?

Unaniambia ugonjwa wa akili una dawa.

Unaelewa hujajibu swali nililouliza, na swali ulilojibu sijauliza?
 
First things first.

Kama mimi nina matatizo ya akili, hilo nalo litakuwa ni ushahidi zaidi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao viumbe wake wanaweza kupata matatizo ya akili.

Unaelewa hilo?

Kuwepo kwa matatizo ya akili duniani ndio kuna zidi onyesha kama mungu hayupo

Mungu mwenye hekima na busara hawezi kuumba ulimwengu halafu akawapa aliowaumba wengine awape akili nzuri na wengine akawapa matatizo ya akili

Hiyo hekima na busara kufanya fair katika aliowaumba iko wapi? mfano mzuri mtoto mchanga anazaliwa tu ana Cerebral Palsy amemkosea nini mungu mpaka amuumbe na CP
 
Kuwepo kwa matatizo ya akili duniani ndio kuna zidi onyesha kama mungu hayupo

Mungu mwenye hekima na busara hawezi kuumba ulimwengu halafu akawapa aliowaumba wengine awape akili nzuri na wengine akawapa matatizo ya akili

Hiyo hekima na busara kufanya fair katika aliowaumba iko wapi? mfano mzuri mtoto mchanga anazaliwa tu ana Cerebral Palsy
Wanaosema Mungu yupo hawajibu maswali kama haya.

Kwa sababu hawawezi.

Kwa sababu Mungu hayupo.
 
Wanaosema Mungu yupo hawajibu maswali kama haya.

Kwa sababu hawawezi.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Watakuambia mungu ametoa mtihani,Sasa najiuliza kitoto kimezaliwa leo unampa mtihani unampima kitu gani?

Lengo la mtihani ni kujua kama mtu ameelewa kwa yale aliyofundishwa

Sasa kitoto kichanga kina uelewa gani mpaka ukipe mtihani?
 
Watakuambia mungu ametoa mtihani,Sasa najiuliza kitoto kimezaliwa leo unampa mtihani unampima kitu gani?

Lengo la mtihani ni kujua kama mtu ameelewa kwa yale aliyofundishwa

Sasa kitoto kichanga kina uelewa gani mpaka ukipe mtihani?
Huyo Mungu ametoamtihani kama hajui majibu, wakati yeye ndiye anajua kila kitu.

Sasa anatoa mtihaniiliiweje wakati yeye anajua kila kitu na anaweza kufanya anavyotaka?

Anajitekenya mwenyewe halafu anacheka mwenyewe?
 
Back
Top Bottom