Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Bado hoja ya msingi haijapatiwa ufumbuzi.

Hata ukisema anapendelea,bado nauliza ni kwa lipi walilofanya hao wengine hadi awapendelee? Maana kupendelea kuna sababu hauwezi kupendelea bila ya kuwa na sababu,kama haujui kwanini anapendelea basi utakuwa unazusha kusema anapendelea.

Niulize mm sasa kwanini kichanga kinazaliwa na CP au mtu kwanini anzaliwa na ulemavu

Maana hilo swali mungu wako hana majibu
 
Niulize mm sasa kwanini kichanga kinazaliwa na CP au mtu kwanini anzaliwa na ulemavu

Maana hilo swali mungu wako hana majibu
Mbona haueleweki,umetoka kusema Mungu anaumba kwa upendeleo mara sasa hivi tena hana majibu kwanini anaumba watu wengine walemavu!!!

Tukuelewe lipi sasa? Hauoneshi kuwa kuna unachokielewa hapa zaidi ya kujisemea tu hiki kinaonesha hakuna Mungu ila hauwezi kuelezea ni vp.
 
Muda kila mtu anauona anavyoujua mwenyewe mfano mbwa anaona muda anavyoujua yeye au mtoto wa miaka 2 anaujua muda anavyouona mwenyewe kila kitu kinaona muda kwa angle yake

Sasa muda gani unaozungumzi wewe?
Kaka tuliza akili. Unaweza kumuuliza mtoto kuhusu muda akakueleza au mmbwa ?

Halafu bro muda ni mmoja kwa maana.

Wewe jibu swali nililowauliza.
 
America nimefika, na hiyo ni kwa sababu ya politics tu, ukizunguka US hukutani na watu wanakaa kuongelea mungu mungu kila kitu mungu, labda ukizunguka streets ambazo wamejaa watu weusi ndiyo utasikia story za mungu, hata US sehemu zinazoongoka umaskini zimejaa ndiyo unasikia watu wanataja mungu, ila pita kama Sillicon Valley kama utasikia mtu anapoteza muda kuongelea mungu.
Mungu hayupo, ni story tu zilikuwepo toka zamani watu mkazibeba kama zilivyo, hivi ukisoma kitabu cha dini huoni kinajipinga chenyewe kila wakati? Yaani paragraph hii inasema 1+1=2 inayofuata inasema 1+1=3. Alafu watu mkiulizwa mnakaa kusema god works in mysterious ways, huyo mungu ni stupid kiasi hicho?



Ndugu yangu hivi unaelewa vyema mada iliyopo?? Mada iliyopo ni je Mungu yupo??.

Unasema:- "ukizunguka Marekani hukutani na watu wakizungumza juu Mungu labda katika streets za watu weusi"

👆🏻Hapo hujakanusha kwamba Mungu hayupo ila umeunga mkono kwa kutaja watu weusi kwamba nao wanakubali kuwa yupo na kwa watu weupe hujaonesha wapi walipopinga uwepo wa Mungu isipokuwa wao hawana muda tu wa kumjadili Mungu.

Unasema;- " ukisoma kitabu cha dini huoni kinajipinga chenyewe kila wakati"

👆🏻Hapo hujafafanua ni kitabu kipi cha Mungu, kwani kuna dini nyingi na vitabu vingi.


Hatuwezi kuwepo hapa duniani without any purpose and there must be a creator of the grand scheme of all those disciplinary phenomena which are going on in the world. Wewe mwenyewe kumkanusha Mungu akili hiyo umeipata wapi??, Mbuzi anaweza kumkanusha Mungu??😁😁
 
Ndugu yangu hivi unaelewa vyema mada iliyopo?? Mada iliyopo ni je Mungu yupo??.

Unasema:- "ukizunguka Marekani hukutani na watu wakizungumza juu Mungu labda katika streets za watu weusi"

Hapo hujakanusha kwamba Mungu hayupo ila umeunga mkono kwa kutaja watu weusi kwamba nao wanakubali kuwa yupo na kwa watu weupe hujaonesha wapi walipopinga uwepo wa Mungu isipokuwa wao hawana muda tu wa kumjadili Mungu.

Unasema;- " ukisoma kitabu cha dini huoni kinajipinga chenyewe kila wakati"

Hapo hujafafanua ni kitabu kipi cha Mungu, kwani kuna dini nyingi na vitabu vingi.


Hatuwezi kuwepo hapa duniani without any purpose and there must be a creator of the grand scheme of all those disciplinary phenomena which are going on in the world. Wewe mwenyewe kumkanusha Mungu akili hiyo umeipata wapi??, Mbuzi anaweza kumkanusha Mungu??
Bro mada ni makosa 10 ya Mola. Hayo ya kutokuwepo kwake ni matokeo ya maoni ya watu.

Tuendelee.
 
Ndugu yangu hivi unaelewa vyema mada iliyopo?? Mada iliyopo ni je Mungu yupo??.

Unasema:- "ukizunguka Marekani hukutani na watu wakizungumza juu Mungu labda katika streets za watu weusi"

Hapo hujakanusha kwamba Mungu hayupo ila umeunga mkono kwa kutaja watu weusi kwamba nao wanakubali kuwa yupo na kwa watu weupe hujaonesha wapi walipopinga uwepo wa Mungu isipokuwa wao hawana muda tu wa kumjadili Mungu.

Unasema;- " ukisoma kitabu cha dini huoni kinajipinga chenyewe kila wakati"

Hapo hujafafanua ni kitabu kipi cha Mungu, kwani kuna dini nyingi na vitabu vingi.


Hatuwezi kuwepo hapa duniani without any purpose and there must be a creator of the grand scheme of all those disciplinary phenomena which are going on in the world. Wewe mwenyewe kumkanusha Mungu akili hiyo umeipata wapi??, Mbuzi anaweza kumkanusha Mungu??
Kaka mkubwa hawa wanaojidai kumkana Mola hawakuwahi kuthibitisha kutokuwepo kwake,ndio maana hata uwezo wa kujibiaswali hawana wanalialia.
 
Hahahaa daaaahh " huyu jamaa mwenye huu uzi yuko wapi " Aisee
 
Hapo ndio nimekuonyeshea kama mungu hayupo

CP haisababishwi na mungu,kama mungu angakuwepo watoto wachanga wasingezaliwa na CP hata kidogo wangazaliwa wazima wote



Vipi wewe, Kuna yale yaliyomo moja kwa moja ndani ya mikono ya Mungu na kuna yale yaliyomo mikononi mwa watu, mfano mtu anywe sumu alafu apoteze maisha hapo utasema kwakuwa kapoteza maisha Mungu hayupo??, au mtu kala chakula bila kunawa akapata kipindupindu utasema hakuna Mungu kwa sababu mtu kapata kipindupindu??!, yeye Mungu amekupa akili ili uweze kujua mazuri na mabaya mabaya yanayoweza kuhatarisha maisha yako na ya watoto na ndugu zako nk,

Sasa kama hutotumia vyema akili aliyokupa Mungu kwanini umlaumu na kumkana??!, ulitaka akupe pepo kwani hapa ni peponi??, fanya mema ili uende kula raha na starehe huko peponi na siyo hapa duniani na kama unataka dunia isiyokuwa na calamities (some of them are due to human own stupor), basi tengeneza dunia yako na uhamie huko full stop, wewe dunia hukuiumba kelele za nini??, umejikuta tu upo duniani UNWILLINGLY bado hushangai aliyekuleta nani?? Uje ufanye nini??.😁😁😁😁
 
Hapo nimetania tu. Kikubwa ni kwamba hakuna Mungu na hakujawahi kuwa na Mungu na hakutakuja kuwe na Mungu.

Ishi tu vizuri na watu wenzako huku ukijua huyo anaeitwa Mungu aliumbwa na wanadamu kwenye mind zao.

HAKUWEZEKANI KUWE NA MUNGU MSHENZI NAMNA HIYO
ha ha haa
 
Safi sanaa...sasa watu wajibu maswali.hayo kutokana na vifungu vyao....jamaa umeuliza sanaa


Ah ah ah ah gadaf tuu aliweza.badili jangwa sasa yy kawapeleka ardh ya watu mpk leo wanauwana??
wa bongo wengi hatupendi ku think deep " mtoa mada ni critical thinker aisee
 
wa bongo wengi hatupendi ku think deep " mtoa mada ni critical thinker aisee
Bro kuna kupatia katika kufikiri na kinyume chake.

Mtoa amefikiri upande mmoja na kimakosa,ukitaka alete majibi sahihi mwambie afikiri kinyume na haya anayo dhani ni makosa.

Tusipende kumwagiana sifa za kijinga,sifa ambazo zinazidi kumpoteza mtu.
 
Kweli umesoma marekani mimi nimesoma kijijini tena na elimu yangu ni ndogo, wewe unayo elimu kubwa kuliko mimi " an A+ credit philosophy graduant from say, Havard or wherever,

Sasa huko Marekani wanatoa credits nje ya vyumba vya mitihani??, si bora uje huku kijijini tu uonekane hujasoma!!, what good is it to go to abroad to get ignorance in stead of education??.

Kiranga kauli yako kwamba ulipewa A+ katika falsafa nje ya chumba cha mtihani ina mashaka sana, wewe itengue kwanza halafu ndipo hoja yako ya kutokuwepo Mungu labda itakuwa na mashiko wala usihofu kwa sababu sisi watu "we are always prone to shortcomings".

Unapokuwa muongo na mbaya zaidi uongo huo ukauunganisha na hoja yako ya kutokuwepo mungu hapo ndipo "credibility" yako juu ya unachosema "in that case" inatia mashaka "on how you are!!".

Muongo anazaa uongo, na mkweli anazaa ukweli na ili tusikuone muongo kanusha kwamba ilikuwa ni uongo uliposema kwamba ulizawadiwa ile A+, kumbuka kwamba ulinijibu mimi nilipokuuliza juu ya hiyo imani yako ya kukanusha uwepo wa mungu hapahapa jf.

Unasema Mungu hayupo kutokana na calamities, disasters, na disparities hapa duniani, sasa umba dunia yako isiyokuwa na hayo mambo, ingawa hapo pia kuna falsafa kubwa mno kwa akili yako kutambua.

Umejifungia kisimani kama chura huku ukitamba kuwa "hakuna bahari kubwa kuliko maji ya kisima", you confine yourself your understanding while blaming none!!
Thibitisha Mungu yupo.

Kukuelezea elimu ya Marekani ni sawa na kumfundisha claculus sisimizi.
 
Back
Top Bottom