Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,972
- 146,271
Imani na kudhania vina tofauti gani?Hayo sasa nayo ndio matumizi mabaya ya neno imani
Ilipaswa iwe 'Akidhania kuwa yeye ni tajiri na bilionea
Kwa maana dhana haina uhakika
Na kikubwa neno imani asili yake ni kwa matumizi ya mambo ya kiroho
Kulitumia kwa matumizi ya kimwili ni kulikosesha Heshima na taadhima yake kimatumizi
Unaweza kuamini bila kudhania?
Unapoandika "Imani ni ukweli wa visivyo dhihirika" unawezaje kuwa na hakika na hili?

