kama upendo umemwelemea angeua shetani ila sio kiumbe alichokitolea jasho kukiumba. au ameshindwa kumuua shetani?
Nooo,
Hes so wise GAAAD
Let the tares and wheat grows together.
Mathayo 13:29-30
[29]Akasema,

La; msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa

ngano pamoja nayo.
[30]Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu. Mfano wa Punje ya Haradali
Our God is so wise.
Mathayo 13:29-30,37-41
[29]Akasema, La; msije mkakusanya magugu, na kuzing’oa ngano pamoja nayo.
[30]Viacheni vyote vikue hata wakati wa mavuno; na wakati wa mavuno nitawaambia wavunao, Yakusanyeni kwanza magugu, myafunge matita matita mkayachome; bali ngano ikusanyeni ghalani mwangu. Mfano wa Punje ya Haradali
[37]Akajibu, akasema, Azipandaye zile mbegu njema ni Mwana wa Adamu;
[38]lile konde ni ulimwengu; zile mbegu njema ni wana wa ufalme; na yale magugu ni wana wa yule mwovu;
[39]yule adui aliyeyapanda ni Ibilisi; mavuno ni mwisho wa dunia; na wale wavunao ni malaika.
[40]Basi, kama vile magugu yakusanywavyo na kuchomwa motoni; ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia.
[41]Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi,