Hii sera ya viwanda inakuja na mengiNaona waafrica sasa wameanza kuwaza kama wa mangaribi....ndio kuelekea uchumumi wa viwanda nini.
Unaweza kuthibitisha yupo?Aliyeumba hii universe
Nimefurai ulivyo jibu ila je hakuna vifungu kuthibitisha unachosema? Maana bila vifungu inakuwa hadithi tuMungu alijua kuwa shetani ataasi na alimuumba kwa sababu ya upendo wake. Na siku alipoasi na yeye alipewa mda mrefu wa kujutia maovu yake lakini shetani hakufanya hivyo na ikabidi atimuliwe lakini pamoja na hayo Mungu hakumnyanganya uwezo na nguvu ya kimalaika. Madai ya shetani ni kuwa Mungu ni katili hana huruma wala upendo. Mungu aliacha kumteketeza ili kupisha upendo na huruma zake mbele ya raia wa mbinguni na wa ulimwengu ili wathibishe hayo madai. Ndo maana shetani na wafuasi wake wanatanua mpk Leo
Kwa miaka kadhaa sasa nimekuwa nikiomba kupewa proof, sio mistari tu ya kuamini, kwamba mungu yupo.Nimefurai ulivyo jibu ila je hakuna vifungu kuthibitisha unachosema? Maana bila vifungu inakuwa hadithi tu
Yesu rudi uwaokoe watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa
[/QUOTE]Kama mkipokea fungu la kumi mnalichoma moto na kisha moshi kupaa juu kama mlivyoagizwa, basi mnafanya jambo la hekima na hongereni.Lakini kama mkishapokea fungu la kumi mnalitupia kwenye akaunti zenu, basi mnafanya jambo la kipuuzi...sasa Ndugu nyie mnafanya jambo lipi??? la hekima au la kipuuzi???.Ukiwaita wanatoa Zaka ni Wapumbavu maana yake umemtukana aliyeagiza watoe fungu kumi yaani Mungu !
Kwa hiyo wewe Mshenzi una ujasiri wa kumtukana Mungu kuwa ni zaidi ya Wapumbavu wanaotoa Zaka ?
QUOTH="CHARMILTON, post: 17184447, member: 292576"]Wanaotoa fungu la kumi ni wapumbavu sana, yaani kama unamshahara wa 1M kila mwezi utoe 100,000...kwa mwaka 1.2M kuwapelekea hao mamwinyi wanaojiita religious leaders...hivi mwisho wa hizo pesa ni nini??? maana hatujawahi kumwona huyo Mungu anayepelekewa akiwa anafanya shopping Dubai, akiwa anajaza petrol kwenye range yake petrol station...au akiwa supermarket akinunua vitu vya gharama kwajili ya familia yake. Zamani fungu la kumi lilichomwa moto na moshi ukapaa juu ila leo linaingia kwenye a/c zao...imagine 1.2M/year kwa miaka 20 ni 24M, kama anawatu 100 wenye mshahara wa 1M ndani ya miaka 20 anayo 480M kwenye fungu la kumi tu, achana na michango pamoja na sadaka nyingine.Hawasaidii watu zaidi ya kuwanyonya na kuwatisha kwa illusion hell fire...THIS IS BULLSHIT.
kweli kk Jesus arudiYesu rudi uwaokoe watu wako wanaangamia kwa kukosa maarifa
hahaha sheedahNachofurahia hii thread itawaunganisha wakristu na waislam, wapagan ndo watakuwa kivyao
hahahah kwahyo jamaa angelikufa kabla ya kupostMagu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!
Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
Screpa, hakuna mtu anaeishi kwa amani kama mpagani, kwanza hana bifu na mtu, yani mkristo rafiki yake, muislam rafiki yake..Nachofurahia hii thread itawaunganisha wakristu na waislam, wapagan ndo watakuwa kivyao
MUNGU HAKOSEI. Ukiona unawaza namna hii ujue wewe ujakamilika na ndiyo mwenye makosa