Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Mtoa mada naona umeshiba ugali maharage sasa umeamua kunya hadharani!
 
Kweli lkn huyu baado hata punje haijai,hivi huyu jamaa na farao nani anaongoza kwa dhiaka?
 
HAWA NI WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUPATWA NA MAJANGA.

1. JOHN LENNON (MUIMBAJI)

Wakati alipokuwa akihojiwa na mwandishi wa habari wa gazeti la American alinukuliwa akisema hivi "Ukristo utakufa na kutoweka duniani, siwezi kuwa na wasiwasi na hilo kwa kuwa nina uhakika nalo. Mafundisho ya Yesu yalikuwa sahihi na wala sipingi hilo ila mafundisho yale yalikuwa mepesi sana ambayo mtu yeyote anaweza kuyafundisha. Hebu angalia leo, tumekuwa maarufu hata zaidi yake (Hapo alilitaja kundi lake la muziki the beatles. Ilikuwa mwaka 1966.
Wiki moja baada ya kutamba kwamba yeye na kundi lake lilikuwa maarufu hata zaidi ya Yesu, akapigwa risasi sita na kufariki.

2. TANCREDO NEVES (RAIS WA BRAZIL)

Alisema kwamba endapo angepata kura laki tano kutoka katika uchaguzi mkuu wa Brazil na kuwa rais, hata MUNGU asingeweza kumtoa katika urais huo. Akafanikiwa, akapata kura zaidi ya hizo, akashinda uchaguzi, siku moja kabla ya kuapishwa, akafariki dunia.

3. CAZUZA (MWANAMUZIKI WA BRAZIL)

Alipokuwa katika shoo yake ndani ya jiji la Rio De Janeiro, alichukua sigara, akaanza kuivuta, akachukua nyingine na kisha kuirusha juu na kusema "Mungu, hiyo yako, chukua nawe uvute"
Alifariki akiwa na miaka 32 kwa ugonjwa wa kansa ya mapafu ambayo iliyaharibu sana mapafu yake kuliko mgonjwa yeyote yule.

4. MTENGENEZAJI WA MELI YA TITANIC.

Baada ya kutengeneza meli ya Titanic, mwanahabari akamuuliza ni kwa kiasi gani ilikuwa salama nae akajibu "Ni salama sana, haiwezi kuzama na hata Mungu hawezi kuizamisha"
Nafikiri unajua kilichotokea kuhusu Titanic.

5. BON SCOTT (MUIMBAJI)

Mwimbaji huyu ambaye alitamba miaka ya 70 alitoa wimbo wake mmoja mwaka 1979 wenye maneno haya
"Don't stop me; I'm going down all the way, down the highway to hell'.
Tarehe 19 February mwaka 1980, alikutwa amekufa baada ya kupaliwa na matapishi yake.

6. Mwanamke mmoja alikuwa akihofia sana kuhusu ulevi wa marafiki wa mtoto wake. Wakati wanataka kuondoka na gari, akamshika mtoto wake mkono garini na kumwambia "Binti yangu, Mungu awatangulie katika safari yenu" Yule binti akajibu "Gari imejaa mama, huyo Mungu labda akae kwenye boneti la gari".
Baada ya masafa fulani ya safari yao, gari lile lilipata ajali kiasi ambacho hata polisi hawakujua ni aina gani ya gari lilikuwa. Lilikuwa limebondeka sana na watu wote walikutwa wamekufa. Kilichowashangaza polisi, trey la mayai wala halikuonekana kuguswa na hakuna hata yai moja lililokuwa limevunjika na wakati gari lilibondeka mpaka kutokutambulika.

7. CHRISTINA HEWITT (MWANDISHI WA HABARI)

Huyu alikaririwa akisema hivi "Nimesoma vitabu vyote duniani, ila hakuna kitabu kibaya...kibaya na kibaya kama Biblia"
Siku chache baada ya kusema maneno hayo, mwili wake ulikutwa umeunguzwa na moto ambao haikujulikana mpaka leo ule moto ulisababishwa na nini.

8. MARILYN MONROE (MUIGIZAJI)

Huyu alifuatwa na Bill Graham na kumwambia kwamba alitumwa na Roho wa Mungu kwa ajili ya kumhubiria. Alimkaribisha ndani, akamsikiliza kwa makini, alipomaliza akasema "Simhitaji Yesu wako, unaweza kuondoka nae". Wiki moja baadae, alikutwa amekufa katika makazi yake. Polisi walijaribu kuchunguza kipi kilimuua, mpaka leo hawajapata jibu.

Kwa wale wanaotaka kujua mengi, wafungue GOOGLE na kisha kusearch haya "People who mocked GOD and died" Utasoma mengi tu.

*Watumie ujumbe huu ndugu na jamaa,ujumbee huu utawasidia kumuheshimu Mungu na kumtii.

Hali ya kumcha Mungu iongezeke ndani yako na kama nikuuliza maswali basi yafaa kuuliza kwa lengo la kujifunza na siyo kutengeneza ubishi usio na lazima.
Amina
Mbona unahaha sana??? wao kama wamemdhihaki Mungu mimi inanihusu vipi??? Kwani Mungu si anajua mahusiano yake na watu wake??? Kama watu hawana uelewa juu ya Mungu, kwanini awauwe badala ya kuwapa imani na kuwaelimisha???...mimi nahitaji majibu wewe unaniforwadia jumbe zisizo na mashiko....Kwahiyo ambao hawakumdhihaki Mungu waliishi milele???
 
Mtoa mada unajaribu ku-temper na mziki mzito sana, kwa Upumbavu.
Ayubu 1;22
Ayubu 24;12

Mathayo 12:36
Zabur 14:1

Ukatubu.
 
Mtoa mada unajaribu ku-temper na mziki mzito sana, kwa Upumbavu.
Ayubu 1;22
Ayubu 24;12

Mathayo 12:36
Zabur 14:1

Ukatubu.
Umetoa majibu mazuri sana, ila yapo OP na hoja zangu...mf. kwenye zab. 14:1 inasema ''Mpumbavu anasema moyoni mwake hakuna Mungu, matendo yao ni maovu kabisa, hakuna atendaye mema'' Je kunasehemu niliyosema hakuna Mungu??? kama ipo onesha.,,,,Ayubu 1:22 wewe jua kunatofauti kati ya kulaumu na kuuliza, mimi sijalaumu bali nimeuliza, ndio maana niliweka alama za kuuliza. Mathayo 12:36, kwani maswali yangu hayana maana??? mbona Yesu aliulizwa maswali na kujibu??
 
Walevi WA dini hao ndiyo hawajiulizagi wanao wasisitiza waamin uwepo wa mungu., wenyewe ni illuminat wakubwa sana..kiukweli mungu amuondowe shetani Kwa mana naona anamzidi kete aisee.
 
Hakuna mwenye mwili anayeweza kumpima
Mungu kwamba ametenda makosa ama la
Maana ujinga wa Mungu ni zaidi ya weredi wa Mwanadamu.
 
Nimeipenda hii

(whats a Mistake)? a wrong way of doing something,misguided action,inaccuracy!!!!!!!!
=>Kusema Mungu ana makosa ni sawa na kusema hajakamilika(perfection) Kwaio hana tofauti na sisi Jambo ambalo ni kosa,Lucifer Alitenda Hivi Hivi
 
Walevi WA dini hao ndiyo hawajiulizagi wanao wasisitiza waamin uwepo wa mungu., wenyewe ni illuminat wakubwa sana..kiukweli mungu amuondowe shetani Kwa mana naona anamzidi kete aisee.
wanasema tufumbe macho tuite uwepo wa Mungu, wakati biblia inasema Mungu yupo kila sehemu, na kipengele kingine kinasema wakusanyikapo wawili kwa ajili ya neno langu, mimi nipo kati yao.. hii ya kuita uwepo wa Mungu ndo kama ile ya mganga kupandisha mashetani kuwaita WAUNGWANA, hamna tofauti.. sasa kama hizi practice za kiganga zipo hadi makanisani hili ni tatizo pia.. kumuita Mungu angali yupo mahala popote ni sawa na kutafuta peni wakati umeishika mkononi.. HII NI ISHARA YA KUTOKUAMINI NA KUTOJIAMINI.
 
"Ee baba Mungu Wa mbinguni, naomba unisamehe kwa sababu nimefungua Uzi huu nikakuta matusi yanatukanwa juu yako, baba naomba uwasamehe watu hawa kwa sababu hawajui kuwa wewe ndie Mungu ulie waumba, samehe uovu wao.
Wape rehema bwana. Akili hizi sio zao Bali ni akili za yule mwovu.
Ninaomba ktk jina LA Yesu, Amen"
 
"Ee baba Mungu Wa mbinguni, naomba unisamehe kwa sababu nimefungua Uzi huu nikakuta matusi yanatukanwa juu yako, baba naomba uwasamehe watu hawa kwa sababu hawajui kuwa wewe ndie Mungu ulie waumba, samehe uovu wao.
Wape rehema bwana. Akili hizi sio zao Bali ni akili za yule mwovu.
Ninaomba ktk jina LA Yesu, Amen"
Hahahahaa nimecheka sana mkuu....kwahiyo baada ya kukosa cha kujibu umeamua kutiririsha maombi??? lol aya bhana.
 
"Ee baba Mungu Wa mbinguni, naomba unisamehe kwa sababu nimefungua Uzi huu nikakuta matusi yanatukanwa juu yako, baba naomba uwasamehe watu hawa kwa sababu hawajui kuwa wewe ndie Mungu ulie waumba, samehe uovu wao.
Wape rehema bwana. Akili hizi sio zao Bali ni akili za yule mwovu.
Ninaomba ktk jina LA Yesu, Amen"
Watu wawili walipanda kwenda Hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo, na mwingine mtoza ushuru.
Luka 18:11 Huyo Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: `Ee Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi, wadanganyifu au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru.
18:12 Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.`
18:13 Lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: `Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.`
Nawaambieni, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa."

KUWA MPOLE BLAZA.
 
Hahahahaa nimecheka sana mkuu....kwahiyo baada ya kukosa cha kujibu umeamua kutiririsha maombi??? lol aya bhana.
Hata baada Ya Yesu kusurubishwa msalabani, aliwaombea msamaha wale waliomtesa.

Nami pia nakuombea Mungu akusamehe ktk huu Uzi uliouleta.
 
Watu wawili walipanda kwenda Hekaluni kusali: mmoja Mfarisayo, na mwingine mtoza ushuru.
Luka 18:11 Huyo Mfarisayo akasimama, akasali kimoyomoyo: `Ee Mungu, nakushukuru kwa vile mimi si kama watu wengine: walafi, wadanganyifu au wazinzi. Nakushukuru kwamba mimi si kama huyu mtoza ushuru.
18:12 Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.`
18:13 Lakini yule mtoza ushuru, akiwa amesimama kwa mbali bila hata kuinua macho yake mbinguni, ila tu akijipiga kifua kwa huzuni, alisema: `Ee Mungu, unionee huruma mimi mwenye dhambi.`
Nawaambieni, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa."

KUWA MPOLE BLAZA.
Mimi ni mpole, pia ninalotumaini kuu ndani ya kristo Yesu.
Na nimemkiri Yesu kama Bwana na mwokozi Wa maisha yangu.
 
Hamna shukran nyie watu!! Hivi magufuli afanye kipi ndo mshukuru?? Mi najua hata rais akifanya mazuri 100% bado mtamkosoa tu. Sijui shida yenu nini hasa??
 
Mimi ni mpole, pia ninalotumaini kuu ndani ya kristo Yesu.
Na nimemkiri Yesu kama Bwana na mwokozi Wa maisha yangu.
tatizo ni kuelewa huu uzi unataka nini..sistaajabu sababu hata maswali ya short notes watu huandikaga essay.. bado hujatoa elimu, umehukumu.
 
Mbona unaimba Ngonjera? Kwaiyo walio na kansa, wanaojinyea na walioko mahospitali ndio tuseme kuna mungu muweza au mungu dhaifu?
Wewe kijana unaabudu uoga!

Narudia tena kwamba hakuwezekani kuwe na Mungu mjuzi wa yote, mwenye upendo, muweza wa yote, muumbaji wa vyote.
Kama atakuwepo mungu wa hivo atakuwa sio mungu bali ni mshindwa wa mwisho.

Fikiri kijana acha kukalia akili zako

HAKUWEZEKANI KUWE NA MUNGU MSHENZI NAMNA HIYO.
Watu wanateseka hovyo, watu wanakufa, watu wanadhulumiana, watu wanaibiana, watu wanateseka na njaa hadi kufa alafu uje uniambie kuna mshenzi kajikalia eti ndio aliyeumba vyote na anaweza yote na ana upendo.
Huo utakuwa ni ulimbukeni wa Mungu
Mkuu usiwe mkali sana na jaribu kupunguza ukali wa maneno hata kama hauamini uwepo wa Mungu.
Pascal aliyetengeneza Pascal programming language alisema "ni bora kuamini kuna Mungu ili hata usipomkuta utakuwa hujapoteza ila ukiamini hayupo then akawepo ni hasara kwako".
Mkuu unachotakiwa kujua Mungu ana utaratibu wake ,ili atende jambo kuna taratibu unatakiwa ufuate.
Wewe unakimbilia kwa wangojwa lakini mbona kuna mambo mengi tu makanisa wanahangaika kutafuta fedha za ujenzi kujenga makanisa kwa ajiri ya kukutana na Mungu.Mungu amgeweza kutenda muujiza wakapata pesa wakajenga lakini kwa nini anaacha watu wanajenga makanisa kwa shida na kuhangaika?
Pole sana kwa yote ambayo umekuwa unaandika lakini ni kwa sababu hujui mwisho wa yote ni nini?Naamini wewe ni msomi na wasomi na wengi hapa JF wasio amini uwepo wa Mungu ni wa somi kwelikweli akiwemo Kiranga.lakini nataka nikwambie kila jambo lina wakati wake kuna mtu amekumention anataka umsaidie kuhusu ndoto aliyo ota.Mimi jambo lile naliangalia tofauti.
Njia sa Mungu si kama za mwanadamu na mawazo yake si kama mawazo yako.Tatizo hamfatilii mambo,kwa mfano tunasema Mungu ni mtakatifu,neno matakati au holy kwa kiebrania maana yake ni "separated"
The Hebrew word for holy is “qodesh” and means “apartness, set-apartness, separateness, sacredness”
Mungu yuko juu sana ya ufahamu wa mwanadamu so nilishawahi kuandika hapa ya kwamba huwezi kuprove uwepo wa Mungu kwa kutumia njia za kianadamu.Hili jibu si langu Mungu mwenyewe alitamka kupitia watumishi wake nikiwa mahali pale.
Nakupa pole kwa sababu hujui nini kinakuja mbele yako kama ambavyo wewe ukimwelezea mtu wa kijijini ambaye hajasoma hata primary athari za global warming au weapons of mass destruction hawezi kukuelewa kwani hana ufahamu wa mambo hayo.The more you become educated the less happy you become,hatujisikii vizuri wewe na wengine wa jamii yako msioamini kwamba kuna Mungu ingawa si lazima uamini ninacho amini mimi you have your rights .
Shetani ni mjanja wewe unataka kutumia elimu ya kibinadamu kuprove kwamba Mungu yupo hiyo ni sawa na gari reprove kwamba kuna mwanadamu yupo wakati mwanadamu ametengeneza gari au robot iprove kwamba kuna mtu.
Ushauri wangu kwako kuwa makini na muda mwingine ni bora kukaa kimya,wanasheria wanasema kutokujua sheria si kigezo cha mtu kusamehewa akivunja sheria.Hii principle ilianza na Mungu whether umelisikia neno lake au la utahukumiwa kwani sheria zake alisha ziandika kwenye mioyo ya wanadamu tangu zamani.Shetani hajalala ,ile njia ni nyembamba na imesomngwa na miiba,waionao ni wachache.
Ukifika muda wa Bwana kukuokoa wewe atakuokoa ,wanadamu hata wakuambie vipi hata tuelezee vipi kama muda bado utaendelea kuwa hivyo ulivyo.Nakuambia haya kwa sababu nnimemwona katika maisha yangu.
 
"Ee baba Mungu Wa mbinguni, naomba unisamehe kwa sababu nimefungua Uzi huu nikakuta matusi yanatukanwa juu yako, baba naomba uwasamehe watu hawa kwa sababu hawajui kuwa wewe ndie Mungu ulie waumba, samehe uovu wao.
Wape rehema bwana. Akili hizi sio zao Bali ni akili za yule mwovu.
Ninaomba ktk jina LA Yesu, Amen"

Amen
 
Back
Top Bottom