Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Katika uumbaji hakuna makosa labda iwe tu kwa ukaidi kuwe na mabadiliko ya matumizi ya asili. Kama ilivyo sheria na kanunu kwamba ukiiharibu asili utavuna uharibifu.
Mfano aliyetengeneza gari kila kifaa pale kina umuhimu wa kuwepo pale kilipo ili kusudi la matumizi liwe sahihi. Mfano tairi zitakanyaga kila aina ya uchafu, eksosi itakuwa na moto kiasi cha kutoshikika kwa mkono wa binadamu, ndani kuna kinyoyozi cha baridi kali nk.
Kila kitu kipo mahala pake kutimiza kusudi la mtengenezaji. Vivyo hivyo na uumbaji wa ulimwengu. Shetani na malaika watakatifu, wema na waovu, usiku na mchana, jehana na paradiso, maji na moto nk.
Bila hivi kuwepo na viwepo mahala pake lengo la Mungu lisingetimia. Ila sasa linalenga shabaha na ndio maana hata wewe mtoa mada upo mahala pako sahihi. Haiwezekani kuwe na mshindi bila cha kushindaniwa. Hakuna negative bila positive nk.
Siku shetani akikubali kwamba yeye ni shetani na kwamba jehanamu ya moto ndipo mahali pake alipoumbiwa na asidai vinginevyo taabu kwa viumbe wengine zimekoma. Na hili nalo litakuwa ni kwa wakati muafaka ulioamriwa na Muumbaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika uumbaji hakuna makosa labda iwe tu kwa ukaidi kuwe na mabadiliko ya matumizi ya asili. Kama ilivyo sheria na kanunu kwamba ukiiharibu asili utavuna uharibifu.
Mfano aliyetengeneza gari kila kifaa pale kina umuhimu wa kuwepo pale kilipo ili kusudi la matumizi liwe sahihi. Mfano tairi zitakanyaga kila aina ya uchafu, eksosi itakuwa na moto kiasi cha kutoshikika kwa mkono wa binadamu, ndani kuna kinyoyozi cha baridi kali nk.
Kila kitu kipo mahala pake kutimiza kusudi la mtengenezaji. Vivyo hivyo na uumbaji wa ulimwengu. Shetani na malaika watakatifu, wema na waovu, usiku na mchana, jehana na paradiso, maji na moto nk.
Bila hivi kuwepo na viwepo mahala pake lengo la Mungu lisingetimia. Ila sasa linalenga shabaha na ndio maana hata wewe mtoa mada upo mahala pako sahihi. Haiwezekani kuwe na mshindi bila cha kushindaniwa. Hakuna negative bila positive nk.
Siku shetani akikubali kwamba yeye ni shetani na kwamba jehanamu ya moto ndipo mahali pake alipoumbiwa na asidai vinginevyo taabu kwa viumbe wengine zimekoma. Na hili nalo litakuwa ni kwa wakati muafaka ulioamriwa na Muumbaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani unamfananisha mungu ,muweza wa yote na mtengeneza magari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukitaja mungu.. kunapicha unakuja lakin hiyo picha sivyo yeye alivyo
speaking of god ..hayupo simple kama tumjuavyo
ni zaid ya infinity phenomena state
tatizo tunamchikulia simple ndio maana mada kama hizi zinakuja.
huwa mwili unasisimuka nilitaja jina lake
natumia nguvu nyingi kifikra kuondoa image ambayo huwa inakuja nkitaja jina lake.
MUNGU HAFANANI NA CHOCHOYTE KATIKA VITU ALIVYOVIUMBA ALAFU NI MMOJA TU.
haya maneno aliyasema yeye ..
ni mmoja sana it means more than single.
or hana anaefanana nae hata malaika ambayo ni wakali kama zilaili na majini wengine wanasanda kwake kwa kumuabudu na misamaa kibao
 
ukitaja mungu.. kunapicha unakuja lakin hiyo picha sivyo yeye alivyo
speaking of god ..hayupo simple kama tumjuavyo
ni zaid ya infinity phenomena state
tatizo tunamchikulia simple ndio maana mada kama hizi zinakuja.
huwa mwili unasisimuka nilitaja jina lake
natumia nguvu nyingi kifikra kuondoa image ambayo huwa inakuja nkitaja jina lake.
MUNGU HAFANANI NA CHOCHOYTE KATIKA VITU ALIVYOVIUMBA ALAFU NI MMOJA TU.
haya maneno aliyasema yeye ..
ni mmoja sana it means more than single.
or hana anaefanana nae hata malaika ambayo ni wakali kama zilaili na majini wengine wanasanda kwake kwa kumuabudu na misamaa kibao

Kama Mungu ni mmoja inakuaje anatoa maelezo kwa binadam ambayo yanatofautiana
...
 
Wanaoamini biblia wanaoa mke mmoja tu, wanaoamini Quran wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja
Sasa hapo mkuu utasemaje Mungu anatoa maelezo yenye kutofautiana wakati hapo unazungumzia vitabu viwili tofauti?
 
Hivyo vitabu vimeandikwa kwa maelekezo kutoka wapi?
....
Kikawaida mafundisho huwa yanabadilika hata ukiangalia biblia(mkusanyiko wa vitabu) utaona jinsi mafundisho yalikuwa yakibadilika kwa nyakati tofauti tofauti,hivyo unaweza kukuta jambo fulani lilikatazwa nyakati fulani ila baadaye likaruhusiwa na kinyume chake na kwenye Qur'an ni hivyo hivyo. Kwahiyo inategemea mtu anaamini kitabu gani.
 
Ebu fafanua.....
Nna maana kwamba mungu alishatoa njia Moja Ila binaadam kutokana na mapokeo tunaweka tafsiri tofauti..Ila ktk tofauti hizo binaadam Huwa anajua kua amepita chaka..lakini anajipa moyo kwa fact na proof zilizo thabiti.
 
Back
Top Bottom