Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,884
- 20,087
Kama katoa njia moja kwa nini asitufanye tuwe na uelewa sawa na atuondolee hali ya binadamu kuwa na uwezo wa kuwa na tafsiri tofauti..Nna maana kwamba mungu alishatoa njia Moja Ila binaadam kutokana na mapokeo tunaweka tafsiri tofauti..Ila ktk tofauti hizo binaadam Huwa anajua kua amepita chaka..lakini anajipa moyo kwa fact na proof zilizo thabiti.
Sent using Jamii Forums mobile app