Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,962
- 146,245
Haha.Hesabu huzijui wewe...........!
Ndiyo maana nakuomba unifundishe proof ya 1= 2.
Nipe hiyo proof basi niijue.
Haha.Hesabu huzijui wewe...........!
Nimeshakupa bro tayari,hujaiona ?Haha.
Ndiyo maana nakuomba unifundishe proof ya 1= 2.
Nipe hiyo proof basi niijue.
Rejea post # 3060 utaona mwenyewe.....Haha.
Ndiyo maana nakuomba unifundishe proof ya 1= 2.
Nipe hiyo proof basi niijue.
Hamuna proof hapo. Nina shaka hata kama unaelewa maana ya proof.Rejea post # 3060 utaona mwenyewe.....
Nacheka sana. Wewe unaweza hata kujikataa.Hamuna proof hapo. Nina shaka hata kama unaelewa maana ya proof.
Wewe ni punguani.
Unalazimisha 1=2 kama unavyolazimisha Mungu yupo.
Vyote huwezi ku prove.
Sina pa kukosoa kwa sababu hata ku prove hujaanza.Nacheka sana. Wewe unaweza hata kujikataa.
Sasa tusiende kitoto au kama vijana wa kijiweni.
Swali linasema nionyeshe 1=2. Kwanza kaa ukijua hizo ni namba wala si machungwa kwa maana as variables fulani.
Pili,hujakosoa wapi nimekosea na uwezo huo huna. Sababu nimechunga kanuni zote za mahesabu.
Sasa narudi kwako bro,onyesha ni kwanini unasema sija prove chochote ?
Sitaki habari za oooh huwezi kadhaa mara ooh huja prove hapo. Nataka hoja za kielimu.
Hamuna proof hapo. Nina shaka hata kama unaelewa maana ya proof.
Wewe ni punguani.
Unalazimisha 1=2 kama unavyolazimisha Mungu yupo.
Vyote huwezi ku prove.
Bro ina maana hujaona mathematical equations kwenye attachment yangu hapo post # 3060....?Sina pa kukosoa kwa sababu hata ku prove hujaanza.
Mathematical proof inafanywa kwa mathematical equations.
Sio longolongo.
Wewe unataka uthibitishiwe Mungu mjuzi wa yote,upendo wote na uwezo wote? Au unataka uthibitishiwe Mungu mjuzi wa yote,upendo wote,uwezo wote HALAFU tena uthibitishiwe kuwa Mungu huyo ndiyo kaumba huu ulimwengu?Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote yupo.
Kwa sababu Mungu huyo hayupo.
Na kama mtu anabisha, athibitishe huyo Mungu yupo.
Yeyote yule.Wewe unataka uthibitishiwe Mungu mjuzi wa yote,upendo wote na uwezo wote? Au unataka uthibitishiwe Mungu mjuzi wa yote,upendo wote,uwezo wote HALAFU tena uthibitishiwe kuwa Mungu huyo ndiyo kaumba huu ulimwengu?
Hiyo hesabu niliifanya nikiwa form one.Bro ina maana hujaona mathematical equations kwenye attachment yangu hapo post # 3060....?
exactly wallahMungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeuumba ulimwengu huu, hayupo. Ni dhana potofu tu.
Ni dhana potofu kwa sababu ina contradiction. Contradiction ni kitu kujipinga chenyewe kwa namna ambayo haiwezekaniki kuwa katika uhalisi wa ukweli. Mathalani, nikisema pembetatu haiwezi kuwa duara na duara haliwezi kuwa pembetatu katika Euclidean geometry, halafu nikasema kuna pembetatu ambayo ni duara hapo hapo, katika Euclidean geometry, pembetatu hiyo ambayo ni duara hapo hapo haiwezi kuwepo, dhana ya kuwepo kwa hiyo pembetatu ambayo hapo hapo ni duara ina contradiction. Hivyo pembetatu duara hiyo haiwezi kuwepo.
Mungu naye ni kama pembetatu duara.
Upande mmoja tunaambiwa ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote (pembetatu). Upande mwingine tunaambiwa kauumba ulimwengu huu unaoweza kuwa na mabaya, licha ya ujuzi wake wote, uwezo wake wote na upendo wake wote (duara).
Kwa nini hakuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea? Ulimwengiu huo ungekuwa logically consistent na upendo wake. Usingekuwa na contradiction.
Huu ulimwengu tunaouona, ambao mabaya yanaweza kutokea, unam contradict huyo Mungu.
Kuamini Mungu huyo yupo, ni sawa na kuamini kwamba kuna pembetatu ambayo hapo hapo ni duara katika Euclidean geometry planes.
Haipo, haiwezi kuwepo, kwa sababu ina an inherrent contradiction.
Mungu huyo naye hayupo kama hiyo pembetatu duara.
Kwa sababu dhana ya kuwepo kwake ina an inherrent contradiction.
Yeyote yule ndio nini?au haujaelewa swali?Yeyote yule.
Thibitisha vyote unavyoweza.Yeyote yule ndio nini?au haujaelewa swali?
Unataka uthibitishiwe Mungu mwenye upendo wote,ujuzi wote na upendo wote? Au unataka uthibitishiwe Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote Halafu uthibitishiwe Mungu huyo ndio kaumba ulimwengu huu?
Hapo kuna kuthibitishiwa uwepo wa Mungu mwenye upendo,ujuzi na uwezo wote,na kuna kuthibitishiwa Mungu huyo kuwa ndiye aliyeumba huu ulimwengu.
Umeona mtu analazimisha 1=2 kwa division by zero?exactly wallah
Asante ndugu yangu kwa majibu yako. Ila, nafikiri bado hatujaelewana mahali. Kama wewe usingekuwepo, unadhani ni kwa namna gani ungetambua kuwa Rashid (Baba Mokaze) yupo? Pili, uwepo wako ndio unaokusaidia kujua kuwa dunia ilikuwepo na itaendelea kuwepo hata baada ya kutokuwepo kwako. Msingi wa yote haya ni hali yako ya kuwepo.Ndugu yangu Oltung'anyi.,
Unaposema kuwa "hakuna baba Mokaze bila Mokaze", hiyo ni kauli tata (ambiguous sentence) ambayo inahitaji ufafanuzi ili ieleweke, na mimi nitakusaidia kuifafanua, mfano Baba mokaze anaitwa Rashid, kwa hiyo unaposema hakuna baba Mokaze bila Mokaze kwa maana ya Rashid, hapo siyo kweli, kwani Rashid atabaki kuwa Rashid regardless of Mokaze yaani Mokaze na Rashid ni entities mbili tofauti (personification) na Rashid alikuwepo kabla ya Mokaze, Lakini ukisema hakuna Baba Mokaze bila Mokaze kwa maana ya Majina (identification) kwamba Baba Mokaze ndiye alimzaa Mokaze, hapo upo sahihi.
Na mimi ninamzungumzia Mungu kama "independent entity" (nafsi inayojitegemea) na siyo identification ya majina. Naye Mungu alikuwepo kabla ya chochote na atabaki kuwepo hata baada ya vyote kuondoka.
Unauliza tena swali lilelile kwamba;- " katika hali yako (yangu) ya kutokuwepo kipi hasa kipo"---- labda hapo ungefafanua, kipi kipo wapi??, lakini lazima ujue tunazungumzia juu ya "medium" ya hapa duniani, hivyo tunaposema kuwepo kwa kitu maana yake ni kuwepo hapa duniani tunapoishi na si mahali pengine.
Sasa katika hali ya mtu kutokuwepo, vitu na watu wanakuwepo/watakuwepo, mfano kabla hujazaliwa (hukuwepo) lakini dunia na vilivyomo ilikuwepo, wazazi wako walikuwepo, na tunaona kila siku ndugu na jamaa zetu wakifariki na sisi pia tutafariki (kutokuwepo) lakini "they leave behind" dunia na vilivyomo na watu nk.vikiwepo.
Hivyo kuwepo na kutokuwepo kwetu hakuna mahusiano/effect yoyote na kuwepo au kutokuwepo kwa vitu vingine.
Bottom line:- Mungu yupo na kuwepo kwake haku athiriwi na kuwepo au kutokuwepo kwa vitu vingine isipokuwa hivyo vitu vinaonyesha "utambulisho" wa Mungu kwa sababu ni yeye aliyeviumba na Yeye alikuwepo kabla vitu hivyo kuwepo.
Ndugu yangu Oltung'anyi tafakari sana juu ya maneno hayo.
una mwambia mtu thibitisha kama kuna Mungu muweza wa yote .Mwenye upendo kwa wote " na mjuzi wa yote".... Ajabu mtu badala ya kujibu hoja anaanza kuleta mahubiri.. hapa ndipo palipo nifanya niache kufanya debate na hawa watuUmeona mtu analazimisha 1=2 kwa division by zero?
No wonder mtu kama huyu anaamini Mungu wa contradiction!
Anakwambia Mungu yupo, kwa sababu namuamini.una mwambia mtu thibitisha kama kuna Mungu muweza wa yote .Mwenye upendo kwa wote " na mjuzi wa yote".... Ajabu mtu badala ya kujibu hoja anaanza kuleta mahubiri.. hapa ndipo palipo nifanya niache kufanya debate na hawa watu
Kwa kauli hiyo maana yake unakubali kuwa inawezekana kuwepo Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote,upendo wote Na hali ya kuwa na huu na ukawepo?Thibitisha vyote unavyoweza.
Najua huwezi chochote sitaki kukufunga uzio.
Unaelewa kwamba ukisema inawezekana hapohapopia umesema inawezekana isiwezekane?Kwa kauli hiyo maana yake unakubali kuwa inawezekana kuwepo Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote,upendo wote Na hali ya kuwa na huu na ukawepo?