Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Unaelewa kwamba ukisema inawezekana hapohapopia umesema inawezekana isiwezekane?

Wewew thibitisha Mungu yupo, ukithibitisha sina budi kukukubalia.

Thibitisha.
Tatizo sio kuthibitisha kuwepo Mungu,tatizo msingi wa hoja yako kusema hakuna Mungu ni kuwepo huu ulimwengu kwa maana haiwezekani kuwepo huyo Mungu na huu ulimwengu kwa pamoja.

Ndiyo maana nikakwambia kuna kuthibitishiwa kuwepo huyo Mungu na pili kuthibitishiwa huyo Mungu kuwa ndiye kaumba huu ulimwengu.
 
Hiyo hesabu niliifanya nikiwa form one.

Ina makosa, ina division by zero. It is an old and tired trick, a mathematical sleight of hand.

Kwenye hesabu hakuna division by zero.

If a= b, then a-b =0.

Unapo cancel (a-b) both sides, umefanya division by (a-b) both sides.

But a-b = 0, umefanya division by zero, kitu ambacho hakiruhusiwi katika hesabu

Ndiyo maana unaweza kuwachota wajinga wasiojua hesabu kwamba ume prove 1=2.

Ukifanya hesabu ya divison by zero kwenye algebra, any number is equal to any number, ndiyo maana hairuhusiwi.

Acha kukariri.
screenshot_20181011-123809-jpeg.894545


Naona unazidi kudhihirisha ujinga wako bro.

Sasa nataka nikuonyeshe ujinga wako. Hapa nime introduce variable mfanano katika pande zote bila kubadilisha maana. Narudia tena bila kubadilisha maana.

Na hili liko wazi sana katika hesabu,hasa za series,kwenye polynomial equations.

Sasa tukirudi katika mfano wako wa a=b kisha a-b=0,hili haliko katika solution yangu bro.

Sasa kutokana na equation yako hii ya kuwa a=b then a-b=0 . Swali linakuja then what ?

Nasubiri hoja za kupinga jambo langu.

Halafu si kweli kwa kile nilicho kifanya kitakuwa "any numbe is equal to anya number. Hii sio kweli. Ukitaka kuamini hivyo.

Prove that 1=3.

Sasa mimi na wewe nani ana kariri.
 
Hiyo hesabu niliifanya nikiwa form one.

Ina makosa, ina division by zero. It is an old and tired trick, a mathematical sleight of hand.

Kwenye hesabu hakuna division by zero.

If a= b, then a-b =0.

Unapo cancel (a-b) both sides, umefanya division by (a-b) both sides.

But a-b = 0, umefanya division by zero, kitu ambacho hakiruhusiwi katika hesabu

Ndiyo maana unaweza kuwachota wajinga wasiojua hesabu kwamba ume prove 1=2.

Ukifanya hesabu ya divison by zero kwenye algebra, any number is equal to any number, ndiyo maana hairuhusiwi.

Acha kukariri.
screenshot_20181011-123809-jpeg.894545


Huu uongo mwengine umeutoa wapi ? Hiyo division by zero unayoisema wewe kwangu haipo bro.

Rudi wenye solution niliyoitoa hapo juu.

Naona umeamua kijitengenezea swali mzee.

Bado hujakosoa solution yangu bali umeleta jambo lako jipya.

Nasema hivi,kosoa jambo langu kimahesabu sio kwa kuzua mambo ambayo hayapo.

Nipo...........
 
una mwambia mtu thibitisha kama kuna Mungu muweza wa yote .Mwenye upendo kwa wote " na mjuzi wa yote".... Ajabu mtu badala ya kujibu hoja anaanza kuleta mahubiri.. hapa ndipo palipo nifanya niache kufanya debate na hawa watu
Kama mimi nilivyo acha kufanya mjadala na nyinyi katika suala hili la Mungu,nakuamua kumfundisha anae jiadai kinara katika suala hili la ukanaji wa Mopa Muumba huku mkiwa hoja za kujibu hamna.

Nipo........
 
Naona unazidi kudhihirisha ujinga wako bro.

Sasa nataka nikuonyeshe ujinga wako. Hapa nime introduce variable mfanano katika pande zote bila kubadilisha maana. Narudia tena bila kubadilisha maana.

Na hili liko wazi sana katika hesabu,hasa za series,kwenye polynomial equations.

Sasa tukirudi katika mfano wako wa a=b kisha a-b=0,hili haliko katika solution yangu bro.

Sasa kutokana na equation yako hii ya kuwa a=b then a-b=0 . Swali linakuja then what ?

Nasubiri hoja za kupinga jambo langu.

Halafu si kweli kwa kile nilicho kifanya kitakuwa "any numbe is equal to anya number. Hii sio kweli. Ukitaka kuamini hivyo.

Prove that 1=3.

Sasa mimi na wewe nani ana kariri.
Hiyo a-b umei cancel both sides kwa kuigawanya na a-b.

Kama unabisha tuambie umei cancel vipi.

Na kama umei cancel kwa kigawanya bothbsides kwa a-b, wakati a=b, a-b = 0.

Umegawanya both sides na 0.

Lakini katika hizi hesabu division by zero hairuhusiwi. Inaleta singularity. Undefined.

Umegawanya kwa zero katika proof yako.

Ndiyo maana unapata 1=2.

Big fail.

Professor Pauli would say "Not even wrong".
 
Hiyo a-b umei cancel both sides kwa kuigawanya na a-b.

Kama unabisha tuambie umei cancel vipi.

Na kama umei cancel kwa kigawanya bothbsides kwa a-b, wakati a=b, a-b = 0.

Umegawanya both sides na 0.

Lakini katika hizi hesabu division by zero hairuhusiwi. Inaleta singularity. Undefined.

Umegawanya kwa zero katika proof yako.

Ndiyo maana unapata 1=2.

Big fail.

Professor Pauli would say "Not even wrong".
Nacheka sana ndio maana nikasema mna macho lakini hamuoni kwayo,uache kukurupuka.

Inaonekana hata hujaona zao la (a-b) limetoka wapi.

Upande wa kushoto nimepata difference of two square na upande wa pili ni zao la simple factorisation.

Sasa nataka unionyeshe hiyo division by zero iko wapi ?

Bado hujaleta hoja kupinga proof yangu,ndio maana huwa mnaambiwa nyinyi mmekaririshwa msamiati bila kuelewa nini kilicho ndani yake.

Kuna mada leo nimeiweka humu ikigusia tabia zenu.....
 
Kama mimi nilivyo acha kufanya mjadala na nyinyi katika suala hili la Mungu,nakuamua kumfundisha anae jiadai kinara katika suala hili la ukanaji wa Mopa Muumba huku mkiwa hoja za kujibu hamna.

Nipo........
hahaaa tena wewe Zurri ndio huwaga hauna hoja zenye mashiko kabisaa zaidi ya kukarili nukuu toka kwenye mapokeo ya vitabu vinavyo jipinga vyenyewe ...
 
Nacheka sana ndio maana nikasema mna macho lakini hamuoni kwayo,uache kukurupuka.

Inaonekana hata hujaona zao la (a-b) limetoka wapi.

Upande wa kushoto nimepata difference of two square na upande wa pili ni zao la simple factorisation.

Sasa nataka unionyeshe hiyo division by zero iko wapi ?

Bado hujaleta hoja kupinga proof yangu,ndio maana huwa mnaambiwa nyinyi mmekaririshwa msamiati bila kuelewa nini kilicho ndani yake.

Kuna mada leo nimeiweka humu ikigusia tabia zenu.....
Nakwambia hivi, a-b both sides ume zi cancel kwa kugawanya na a-b.

Lakini, kwa sababu a=b, a-b =0.

Hivyo ulipogawanya kwa a-b, umegawanya kwa 0.

Hesabu haziruhusu kugawanya kwa 0.

Ndiyo maana unapata majibu ya ajabu.

Umelazimisha jibu la 1=2 kwa kugawanya kwa 0.

Big fail.

Not even wrong.
 
hahaaa tena wewe Zurri ndio huwaga hauna hoja zenye mashiko kabisaa zaidi ya kukarili nukuu toka kwenye mapokeo ya vitabu vinavyo jipinga vyenyewe ...
Nacheka sana habari yangu anayo Kiranga japo ukimwambia hili atalikana wazi wazi tena kwa nguvu zote ila matendo na nguvu ya hoja nasema na kusimama imara.

Hakuna yeyote katika nyinyi aliye wahi hata kujaribu kuvunja hoja zangu, na ushahidi wa hilo upo.

Mara ngapi Kiranga ana sanda tena kwa masomo ambayo yeye mwenyewe huwa anajfaragua kwayo.

Simsemi yeyote humi,na yeye ana shuhudia aje kupinga. Nimeona udhaifu wenu katika kujenga hoja,nimeona udhaifu wenu katika kuuliza maswali,nimeona udhaifu wenu katika kutoa mifano na nimeona udhaifu wenu katika elimu husika. Sasa kwanini nisiwafundishe bro ?
 
Nacheka sana habari yangu anayo Kiranga japo ukimwambia hili atalikana wazi wazi tena kwa nguvu zote ila matendo na nguvu ya hoja nasema na kusimama imara.

Hakuna yeyote katika nyinyi aliye wahi hata kujaribu kuvunja hoja zangu, na ushahidi wa hilo upo.

Mara ngapi Kiranga ana sanda tena kwa masomo ambayo yeye mwenyewe huwa anajfaragua kwayo.

Simsemi yeyote humi,na yeye ana shuhudia aje kupinga. Nimeona udhaifu wenu katika kujenga hoja,nimeona udhaifu wenu katika kuuliza maswali,nimeona udhaifu wenu katika kutoa mifano na nimeona udhaifu wenu katika elimu husika. Sasa kwanini nisiwafundishe bro ?
Ondoa hesabu ya kugawanya kwa 0 hapo juu.
 
Nakwambia hivi, a-b both sides ume zi cancel kwa kugawanya na a-b.

Lakini, kwa sababu a=b, a-b =0.

Hivyo ulipogawanya kwa a-b, umegawanya kwa 0.

Hesabu haziruhusu kugawanya kwa 0.

Ndiyo maana unapata majibu ya ajabu.

Umelazimisha jibu la 1=2 kwa kugawanya kwa 0.

Big fail.

Not even wrong.


Bro hivi huwa unasoma unacho kiandika ?

Halafu kama kama a-b = 0 ingiza kwenye equation yangu uone unapata nini.

Bro umepewa akili itumie vyema mzee. Sio kupotezea watu muda.
 
Hatari sana ..imani ya hizi dini ni mtihani mtu anakubali kuwa kipofu kabisa wa fikira ilahali anaona kabisa kuwa anapigwa changa la macho na wazungu/waarabu
Hata wazungu dini wamepelekewa,hivyo hata sie waafrika tunaweza kupeleka ukristo huko asia pia.
 
Nakwambia hivi, a-b both sides ume zi cancel kwa kugawanya na a-b.

Lakini, kwa sababu a=b, a-b =0.

Hivyo ulipogawanya kwa a-b, umegawanya kwa 0.

Hesabu haziruhusu kugawanya kwa 0.

Ndiyo maana unapata majibu ya ajabu.

Umelazimisha jibu la 1=2 kwa kugawanya kwa 0.

Big fail.

Not even wrong.
Kwa kuchunga adabu za kielimu hili suala la 1=2. Kiukweli haliwezekani kwa makubaliano ya wana hesabu hali kadhalika katika uhalisia pia haliwezekani.

Katika hili bro Kiranga uko sahihi.

Kwa hili nakiri wazi kabisa nimekosea.

Nipo......
 
Back
Top Bottom