Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kama hujui au hujahifadhi quran wewe ni sawa na jumba ambalo halikaliwi watu

Mimi nimehifadhi angalau juzuu 3 zinanitosha je wewe umehifadhi quran au ndio muislam jina?
Sasa vipi uwe umehifadhi hali ya kuwa hufaidiki na elimu yenyewe. Soma mzee uelewe mambo.

Na swali ulilo niuliza si swali la msingi mzee ndio maana sijakujibu.
 
Basi niambie ukisikia mashairi unaelewa nini?
Mimi mpaka nakwambia kuhusu mashairi ujue kwamba ninayajua mashairi na elimu yake.

Sasa ili twende sawa na nikupe faida,lazima ukiri ya kuwa wewe ni muongo na huijui elimu ya ushairi ndio maana umesema Qur'an ni mashari.

Nasubiri ukiri kwa haki,ili nikufubdishe sasa ushairi wa kiarabu ukoje na kwanini Qur'an sio mashairi.....

Soma bro......
 
Hakuna baba Mokaze bila Mokaze. Unakubali hili? Nalo pia linahitaji tafakari kidogo. Nami ninakuomba ujipe muda zaidi kutafakari.

Bado ninauliza, katika hali yako ya kutokuwepo, kipi haswa kipo? Bado ninakuomba tena, jipe muda zaidi wa kutafakari. Unaweza kuona mantiki yake. Just give yourself some more time.



Ndugu yangu Oltung'anyi.,

Unaposema kuwa "hakuna baba Mokaze bila Mokaze", hiyo ni kauli tata (ambiguous sentence) ambayo inahitaji ufafanuzi ili ieleweke, na mimi nitakusaidia kuifafanua, mfano Baba mokaze anaitwa Rashid, kwa hiyo unaposema hakuna baba Mokaze bila Mokaze kwa maana ya Rashid, hapo siyo kweli, kwani Rashid atabaki kuwa Rashid regardless of Mokaze yaani Mokaze na Rashid ni entities mbili tofauti (personification) na Rashid alikuwepo kabla ya Mokaze, Lakini ukisema hakuna Baba Mokaze bila Mokaze kwa maana ya Majina (identification) kwamba Baba Mokaze ndiye alimzaa Mokaze, hapo upo sahihi.

Na mimi ninamzungumzia Mungu kama "independent entity" (nafsi inayojitegemea) na siyo identification ya majina. Naye Mungu alikuwepo kabla ya chochote na atabaki kuwepo hata baada ya vyote kuondoka.


Unauliza tena swali lilelile kwamba;- " katika hali yako (yangu) ya kutokuwepo kipi hasa kipo"---- labda hapo ungefafanua, kipi kipo wapi??, lakini lazima ujue tunazungumzia juu ya "medium" ya hapa duniani, hivyo tunaposema kuwepo kwa kitu maana yake ni kuwepo hapa duniani tunapoishi na si mahali pengine.

Sasa katika hali ya mtu kutokuwepo, vitu na watu wanakuwepo/watakuwepo, mfano kabla hujazaliwa (hukuwepo) lakini dunia na vilivyomo ilikuwepo, wazazi wako walikuwepo, na tunaona kila siku ndugu na jamaa zetu wakifariki na sisi pia tutafariki (kutokuwepo) lakini "they leave behind" dunia na vilivyomo na watu nk.vikiwepo.

Hivyo kuwepo na kutokuwepo kwetu hakuna mahusiano/effect yoyote na kuwepo au kutokuwepo kwa vitu vingine.

Bottom line:- Mungu yupo na kuwepo kwake haku athiriwi na kuwepo au kutokuwepo kwa vitu vingine isipokuwa hivyo vitu vinaonyesha "utambulisho" wa Mungu kwa sababu ni yeye aliyeviumba na Yeye alikuwepo kabla vitu hivyo kuwepo.

👆🏻Ndugu yangu Oltung'anyi tafakari sana juu ya maneno hayo.
 
Naomba nitoe utetezi mmoja mmoja.
KOSA LA KWANZA : KUMUUMBA SHETANI.

Kitu cha msingi unachopaswa kujua katika uumbaji, Mungu ameruhusu "free thinking" ndio maana wewe ni "free thinker" leo. Hata katika maandiko Mungu anatutaka tuwe na questioning mind.

Huyo shetani unayemlaumu Mungu kwa uumbaji wake hakuwa namna hiyo siku za mwanzo za uumbaji wake, Alikuja badirika sababu ya kulewa sifa na madaraka.

Na hata ugomvi wetu na Shetani ni ideological, Shetani kaamua kurebel kila ideologies na principles za Mungu, anachofanya ni kuzielezea kwetu kwa namna nyingine, anatudanganya.

Unless useme hapa Mungu kwa nini aliruhusu free thinking, alafu utuambie haya maisha kwako yangekuwa na maana gani, ungezidiwa hata na maji sababu yanatembea, ungekuwa kama jiwe.
 
Una ji contradict.

Unaandika kwamba huna muda wa kupoteza halafu unaandika ujinga mwiiingi,ambao unaonesha una muda mwingi sana wa kupoteza.

Una ji contradict.

Sishangai.

Kwa sababu hata Mungu wako unayemuamini ana contradiction.

Unaabudu contradiction.
 
Unaposema ni hadithi zaahayudi hapo hujathibitisha bado,nataka uthibitishe amekopi vipi ?

Na wewe umejuaje kama hizo ni hadithi za mayahudi ?

Kutokuonekana kwao leo si hoja ya kuthibitisha ya kuwa hawapo.


Hapa napata shaka na ndio maana huwa nasema wewe huujui uislamu,laiti ungekuwa unaisoma Qur'an ungemjua Jibril amezungumziwa vipi na ana sifa gani.

Halikadhalika ukirejea katika vitabu vya historia utaona.

Ukisema nikuthibitishie uwepo wa malaika swali rahisi sana rejea katika Qur'an utakuta maelezo yake.

Sasa nataka unipe maandiko ya kiyahudi ambayo mtume Muhammad ameyakopi ?

Kwanza si unajua mtume wetu sisi waislamu alikuwa hajui kusoma na kuandika ? Kama unajua na kukiri hilo ? Jibu swali langu hapa chini na kama huamini hilo vni haki ya wewe kuitwa MUONGO MUOVU.

Naomba unielezee ni vipi aliyakopi haliyakuwa yeye alikuwa hajui kusoma wala kuandika na kama hivyo ndivyo je alijuaje kama kweli yale yaliyokopiwa ndio yale aliyokuwa anayataka ?


Amekopi kutoka kwa kikundi hiki na huyu ni mmojawapo aliyewah kukutana nae walimuandaa toka akiwa mdogo walimpa utume hawa mapadri mara 2

kwa mara ya kwanza walikutana akiwa mdogo na huyu alikuwa padri wa kanisa pindi wakiwa njiani wakienda wakilekea sham

Nanukuu siraa tu nabawiya

"WALAMMA QARABAN MIM BUSRA na zama walipofika basra

RAAHU RAHIBU BAHIRA padri bahira akamuona mtume

FAAKH BAR AMMAU BI ANNAHU SAYAKUNU AKHIRAL ANBIYAI akampa habari baba yake mdogo kwa hakika mtoto huyu atakuwa mwisho wa mitume

Na mara ya pili walikutana alikuwa na miaka 40 alipokuwa ktk pango Hiraa akaona yaliyomkuta akarudi nyumbani na khofu kubwa mkewe hadija akampeleka kwa mjomba wake Padri Waraka akampa utume akimuambia wewe utakuwa mtume

Utagundua na utakuja kuona wazi utume wa muhamad umeidhinishwa na mapadri wawili

Na hao ndio waliomfundisha kwakuwa wao walimpa utume
 
Kwa sababu, Mungu huyo angekuwepo asingeruhusu yanayotokea katika ulimwengu huu yatokee.

Kuruhusu yatokee kungekanusha sifa zake.

Ndiyo maana, kuwepo kw aulimwengu huu kunaonesha hayupo.

Narudia. Mfano. Maana umeuruka kamahujauona.

Ni kama vile unasema kuna injinia mwenye ujuzi wote, uwezo wote na nia yote ya kujenga nyumba isiyo na ufa.

Halafu hakuna nyumba inayojengwa bila yeye kujua na kuihakiki.

Halafu unaona kuna nyumba imejengwa ina ufa.

Nyumbe hiyo yenye ufa itathibitisha injinia huyo ni hadithi tu, hayupo.

Angekuwepo, hiyo nyumba yenye ufa isingeweze kana kuwepo.
Nimekuuliza kwanini isiwe kwamba huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu? kwa sababu hoja yako ni
kwamba Mungu huyu mwenye upendo kuwa ndiye kaumba huu ulimwengu ni kujicontradict na sifa yake ya upendo hivyo hili suala kuwa Mungu huyohuyo kuwa ndiyo kaumba huu ulimwengu haliwezekani.

Kwanini usiseme huu ulimwengu upo hivi ulivyo kwa sababu haujaumbwa na Mungu mwenye upendo?
 
Mimi mpaka nakwambia kuhusu mashairi ujue kwamba ninayajua mashairi na elimu yake.

Sasa ili twende sawa na nikupe faida,lazima ukiri ya kuwa wewe ni muongo na huijui elimu ya ushairi ndio maana umesema Qur'an ni mashari.

Nasubiri ukiri kwa haki,ili nikufubdishe sasa ushairi wa kiarabu ukoje na kwanini Qur'an sio mashairi.....

Soma bro......

Hujui shairi ni nini?

Pili unaogopa kutoa maelezo kwakuwa unajua wazi quran ni mashairi?
 
Sasa vipi uwe umehifadhi hali ya kuwa hufaidiki na elimu yenyewe. Soma mzee uelewe mambo.

Na swali ulilo niuliza si swali la msingi mzee ndio maana sijakujibu.

Huwezi kinipa jibu kwakuwa hujahifadhi quran

BALIL INSAANU ALAA NAFSIHI BASWIIRA

Uislam dini huku kichwani hujahifadhi kitu kama unamcheza shere mungu wako
 
Nimekuuliza kwanini isiwe kwamba huyo Mungu hajaumba huu ulimwengu? kwa sababu hoja yako ni
kwamba Mungu huyu mwenye upendo kuwa ndiye kaumba huu ulimwengu ni kujicontradict na sifa yake ya upendo hivyo hili suala kuwa Mungu huyohuyo kuwa ndiyo kaumba huu ulimwengu haliwezekani.

Kwanini usiseme huu ulimwengu upo hivi ulivyo kwa sababu haujaumbwa na Mungu mwenye upendo?
Unaelewakwamba hujuikusoma kwaufahamu?

Unaelewakwamba nimeadnika kwa ufasaha kabisa kwamba Mungu huyo angekuwepo, ulimwengu huu usingeweza kuwepo.

The two are mutually exclusive.

Huwezikuwa na viwili vyote pamoja.

Ama utakuwa na hiki bila kile, ama kile bila hiki.

Amautakuwa na ulimwengu huu tunaouona bila Mungu kuwepo.

Amautakuwa na Mungu bila ya ulimwengu huu tinaouona.

Na hivyo, kwa sababu ulimwengu huu tunaouona upo, Mungu hayupo.

Umeelewa hiyodhana ya "mutual exclusivity" ?

Viwili hivi kuwapo pamoja ni contradiction, haiwezi kuwa, ni wazo tu, halwezekani katika uhalisi.
 
Huwezi kinipa jibu kwakuwa hujahifadhi quran

BALIL INSAANU ALAA NAFSIHI BASWIIRA

Uislam dini huku kichwani hujahifadhi kitu kama unamcheza shere mungu wako


Nacheka sana aisee,hivi hichi ulichokiandika unafikiri ndio kinavyosomeka ? Hivi tangu lini أ akachukua nafasi ya ع ? haya ni maajabu ya mtu aliyehifadhi Qur'an zamwamwa kama wewe.

Hivi kweli ALAA ni علي acha kuichezea elimu bro.

Sasa wewe utamfundisha nani Qur'an kwa ujinga huu ?

Soma tena usome hasa....
 
Nacheka sana aisee,hivi hichi ulichokiandika unafikiri ndio kinavyosomeka ? Hivi tangu lini أ akachukua nafasi ya ع ? haya ni maajabu ya mtu aliyehifadhi Qur'an zamwamwa kama wewe.

Hivi kweli ALAA ni علي acha kuichezea elimu bro.

Sasa wewe utamfundisha nani Qur'an kwa ujinga huu ?

Soma tena usome hasa....
Hujawahi kuthibitisha Mungu yupo.

Huwezikuthibitisha Mungu yupo.

Hutaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Amekopi kutoka kwa kikundi hiki na huyu ni mmojawapo aliyewah kukutana nae walimuandaa toka akiwa mdogo walimpa utume hawa mapadri mara 2

kwa mara ya kwanza walikutana akiwa mdogo na huyu alikuwa padri wa kanisa pindi wakiwa njiani wakienda wakilekea sham

Nanukuu siraa tu nabawiya

"WALAMMA QARABAN MIM BUSRA na zama walipofika basra

RAAHU RAHIBU BAHIRA padri bahira akamuona mtume

FAAKH BAR AMMAU BI ANNAHU SAYAKUNU AKHIRAL ANBIYAI akampa habari baba yake mdogo kwa hakika mtoto huyu atakuwa mwisho wa mitume

Na mara ya pili walikutana alikuwa na miaka 40 alipokuwa ktk pango Hiraa akaona yaliyomkuta akarudi nyumbani na khofu kubwa mkewe hadija akampeleka kwa mjomba wake Padri Waraka akampa utume akimuambia wewe utakuwa mtume

Utagundua na utakuja kuona wazi utume wa muhamad umeidhinishwa na mapadri wawili

Na hao ndio waliomfundisha kwakuwa wao walimpa utume


Hahaha nacheka sana hapa lazima utakaa sawa. Hakuna binadamj anaye weza mpa binadamu mwenzake utume.

Na utume una umri wake mzee,soma surat al Muzammil.

Nacheka sana,unasema alimpa utume ? Huu ni uongo wa wazi,yule padri alikuwa na elimu ya Injili na katika injili ametabiriwa Rasul kwa kuyaona huyo padri akampa bishara ya kuwa kwa sifa hizo bila mtume Muhammad ni yule aliyetabiriwa katika Injili.

Katika ule msafara wa biashara na ami yake zilionekana Ishara,hapa ndipo utakapo ona ya kuwa watu wa kitabu wa zama zile walikuwa na elimu sahihi na wanadhibiti maandiko ndio maana walioona Ishara wakamtahadharisha ami yake juu ya mtune Muhammad.

Sasa usichanganye kati ya kutoa utume na kisadikidisha maandiko hivi ni vitu viwili tofauti.

Nipo.....Bado hujaleta hoja za msingi juu ya yale unayo yadai.
 
Hujawahi kuthibitisha Mungu yupo.

Huwezikuthibitisha Mungu yupo.

Hutaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
Wewe tumeshamalizana muda tuu,nakuhusia tu endelea kusoma hoja hizi ili upate faida,ama kuhusu kujadiliana na wewe sioni cha kujadiliana na wewe za zaidi ya kukupa elimu na kukufubdisha tu.

Wewe si ndio ulieshindwa kutoa hitimisho la kimantiki katika ile hoja ? Sasa wewe ni mdogo sana kwangu katika hili labda uwe uminizidi kiumri na mengine ila katika kaa usome hoja.
 
Wewe tumeshamalizana muda tuu,nakuhusia tu endelea kusoma hoja hizi ili upate faida,ama kuhusu kujadiliana na wewe sioni cha kujadiliana na wewe za zaidi ya kukupa elimu na kukufubdisha tu.

Wewe si ndio ulieshindwa kutoa hitimisho la kimantiki katika ile hoja ? Sasa wewe ni mdogo sana kwangu katika hili labda uwe uminizidi kiumri na mengine ila katika kaa usome hoja.
Nakwambia hivii.

Hujawahi kuthibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Hutaweza kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.
 
Nacheka sana aisee,hivi hichi ulichokiandika unafikiri ndio kinavyosomeka ? Hivi tangu lini أ akachukua nafasi ya ع ? haya ni maajabu ya mtu aliyehifadhi Qur'an zamwamwa kama wewe.

Hivi kweli ALAA ni علي acha kuichezea elimu bro.

Sasa wewe utamfundisha nani Qur'an kwa ujinga huu ?

Soma tena usome hasa....

Kiswahili na kiarabu tofauti ninavyoandika na ninavyosoma ni tofauti maana naweza kusoma kwa tahjuud na tarteel kama Abdul baswit

Nimehifadhi yasiin yote wakati wewe hujahifadhi ht juzuu moja
 
Vyote sawa na Hassan bin thabiti anahusika kwa kiasi kikubwa kutunga hiyo quran
Kaka nasema tena sijafunuliwa kuhusu yajayo ila kwa wepesi wa hoja zako naiona mbele yako katika hoja,nilisema hivi ukiendelea kujadiliana na mimi lazima utaumbuka mzee.

Hassani bin Thabiti alikuwa mshairi wa mtume hili halipingiki,je swali unajua alikuwa anatunga nini na wakati gani ?

Mtume alikuwa alikuwa na waandishi wake wa Qur'an halikadhalika wasomaji wake wa mashairi.

Iwapi ardhi na iwapi mbingu mzee ?
 
Back
Top Bottom