Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Wewe ushasema Mungu angekuwepo huu ulimwengu usingekuwepo,sasa hata ukithibitishiwa Mungu na huu ulimwengu utauzungumziaje tena?
Unajua kusoma?

Wewe unayetaka kuthibitisha Mungu yupo ndiye una kazi ya kuelezea inakuwaje Mungu yupo, halafu huu ulimwengu nao upo.

Sasa unataka kunipa kazi hiyo mimi?

Wwewe unasema 1 + 1 ni 5.

Mimi nakwambia hiyo hesabu imekosewa, base ten math 1 + 1 = 2.

Wwewe unashikilia 1 + 1 = 5.

Nakwambia thibitisha 1 + 1 = 5, huwezi.

Halafu unaniuliza "wewe ushasema 1 + 1 haiwezi kuwa 5, sasa hata nikikuthibitishia 1 + 1 = 5, hilo jibu utalizungumziaje tena"

Nakwambia thibitisha kwanza, halafu mengine tuongee baada ya kuthibitisha.

Na kuelezea inakuwaje 1 +1 = 5 ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi, mimi sijasema 1 +1 = 5.

Kuelezea inakuwaje Mungu huyo yupo na ulimwengu huu upo ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi.

Thibitisha Mungu yupo.

Usilete mazingaombwe ya kunitaka mimi nithibitishe kitu ambacho sikikubali.
 
Ad hominem fuckery.

Hujasoma Marekani hata kukuelezea habari zangu mzigo.

Acha shobo, sitaki shombo kwenye chombo.

Hujathibitisha Mungu yupo.



Hapo Marekani ni pagumu, 😁😁basi rudi Bongo.

Unadhani wote tuliomo humu ni laymen ???!!, Wadanganye Atheists wenzako !!

Tumekwisha kukuthibitishia Kuwa Mungu yupo ila hutaki kuamini hadi tuthibitishe "in your way". Hatuwezi kumthibitisha Mungu wako asiye na uwezo,nguvu na huruma kwa sababu yule Mungu wetu mwenye uwezo,nguvu na huruma kwa maoni yako finyu unasema hayupo.
 
Acha uongo Shetani hajaumbwa. wakati mtu kwenye familia kazaliwa akiwa mwema huwezi sema familia imemzaa mwizi. swala rahisi tu hapo. usipotoshe

Inategemea reference yako ni nini, reference yangu inaniambia Mungu aliumba kila kila kitu kilichomo duniani na ulimwengu, maana yake mpaka shetani.

wewe sema kama hakuumbwa alitokelezeaje?
 
Unajua kusoma?

Wewe unayetaka kuthibitisha Mungu yupo ndiye una kazi ya kuelezea inakuwaje Mungu yupo, halafu huu ulimwengu nao upo.

Sasa unataka kunipa kazi hiyo mimi?

Wwewe unasema 1 + 1 ni 5.

Mimi nakwambia hiyo hesabu imekosewa, base ten math 1 + 1 = 2.

Wwewe unashikilia 1 + 1 = 5.

Nakwambia thibitisha 1 + 1 = 5, huwezi.

Halafu unaniuliza "wewe ushasema 1 + 1 haiwezi kuwa 5, sasa hata nikikuthibitishia 1 + 1 = 5, hilo jibu utalizungumziaje tena"

Nakwambia thibitisha kwanza, halafu mengine tuongee baada ya kuthibitisha.

Na kuelezea inakuwaje 1 +1 = 5 ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi, mimi sijasema 1 +1 = 5.

Kuelezea inakuwaje Mungu huyo yupo na ulimwengu huu upo ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi.

Thibitisha Mungu yupo.

Usilete mazingaombwe ya kunitaka mimi nithibitishe kitu ambacho sikikubali.
Ni wewe ndiye unayesema huu ulimwengu usingekuwepo kama Mungu angekuwepo,kwa maana huu ulimwengu upo kwa sababu Mungu hayupo.

Sasa ukithibitishiwa Mungu kuwepo kwake,ni wewe ndiye unatakiwa utoe maelezo kwa sababu ulishasema hilo jambo haliwezekani kwamba hivyo viwili haviwezi kuwepo vyote kwa pamoja.

Hauwezi kusema nithibitishe kwanza halafu ndiyo tuongee,kwa sababu kitendo cha kuthibitisha tu kinafanya maelezo yako kuwa ya uongo kwamba huu ulimwengu upo kwa sababu Mungu hayupo.
 
Inategemea reference yako ni nini, reference yangu inaniambia Mungu aliumba kila kila kitu kilichomo duniani na ulimwengu, maana yake mpaka shetani.

wewe sema kama hakuumbwa alitokelezeaje?
Duh! basi hata hii Jf nayo atakuwa aliumba yeye Mungu?
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ugomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwanini kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwanini anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATED THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!

===================
watu ka ninyi ndo mnatuleteaga majanga hapa nchini, uchumi wananchi wanalia, kutekanatekana,kuana na kutishana tishana
 
Wewe kwanza jibu shutuma za kudanganya umma wa JF, kwamba "ulizawadiwa" alama kubwa ya A+, na profesa wako wa falsafa wakati ukiwa masomoni huko Marekani, ulisema ulikonga moyo wa huyo profesa pale ulipomshushia "nondo" za kupinga UWEPO WA MUNGU, na akakuzawadia hiyo alama NJE YA CHUMBA cha mtihani (akakuambia usifanye mtihani wa falsafa) kwa sababu hoja zako za kuthibitisha kutokuwepo kwa mungu zipo juu ya uwezo wao (beyond their understanding).

Kiranga, hiyo ilikuwa ni kauli yako (ninayoweza kukumbuka) na humu ndani imo.

Kwa sababu hii nayo ilikuwa ni moja ya utetezi wako kupinga Uwepo wa Mungu, ndiyo maana ninaishikilia kwamba uitolee maelezo (ifafanue) kwani imekaa vibaya sana, na kama uliteleza basi siyo dhambi kujikosoa kwani hakuna binadamu mkamilifu.

Vinginevyo hii inakuweka katika mazingira ya watu kukutambua hulqa zako yaani inatupasa kuchunguza kwa makini kila andiko lako kwa sababu "you are unreliable and untrustworthy"-- humu jf, kuna takriban watu wa aina mbalimbali zaidi ya 400,000.unatakiwa kuchunga kila unachoandika ukizingatia kuwa uwepo wa Mungu unagusa sensibilities za watu wengi mno ukilinganisha na Atheists ambao mpo wachache.
Nacheka sana bro. Hapo bila shaka walikutana MAPIPA na MIFUNIKO,unadhani nani angemfunua mwenzake.

Hapo walikutana wajinga tupu,unafikiri kuna nini zaidi ya kujazana ujinga.

Kama hoja zenyewe ndio hizo anazozileta humu basi,daah hakuna wajinga duniani kuliko watu hawa.

Hasomi mtu falsafa isipokuwa atafisidika kwa akili yake. Laiti wangekuwa wasomaji na watafiti wapembuzi ningewapa vitabu vya tangu na tangu wakasome na wangefaidika sana,tatizo marejeo yao ni google.

Mtu kama Kiranga kwangu mimi sisi wa kujadiliana nae,ni kumfundisha tu.

Asante sana kwa hili............
 
Nacheka sana bro. Hapo bila shaka walikutana MAPIPA na MIFUNIKO,unadhani nani angemfunua mwenzake.

Hapo walikutana wajinga tupu,unafikiri kuna nini zaidi ya kujazana ujinga.

Kama hoja zenyewe ndio hizo anazozileta humu basi,daah hakuna wajinga duniani kuliko watu hawa.

Hasomi mtu falsafa isipokuwa atafisidika kwa akili yake. Laiti wangekuwa wasomaji na watafiti wapembuzi ningewapa vitabu vya tangu na tangu wakasome na wangefaidika sana,tatizo marejeo yao ni google.

Mtu kama Kiranga kwangu mimi sisi wa kujadiliana nae,ni kumfundisha tu.

Asante sana kwa hili............
Wewe huelewi kwamba kufundisha haswa kunaendana na kujadiliana.

Juha.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Hutaweza kuthibitisha Mungu yupo

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
 
Wewe huelewi kwamba kufundisha haswa kunaendana na kujadiliana.

Juha.

Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezi kuthibitisha kwamba Mungu yupo.

Hutaweza kuthibitisha Mungu yupo

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha kwamba Mungu yupo.
Wewe mimi nimeamua kukifundisha sasa.

Kufundisha si kujadiliana. Katika kufundisha kuna adabu za mwanafunzi kwa mwalimu wake,adabu za usomaji wa kitabu,adabu wa kuamiliana na kitabu,adabu za mwanafunzi kwa mwanafunzi mwenzake na adabu za mwalimu kwa mwanafunzi wake.

Katika kufundisha mwalimu ndio anakuwa anawasilisha somo husika huku mwanafunzi akimsikiliza mwalimu,na hapa huwa kuna ufafanuzo kidogo.

Baada ya somo kuisha huwa kuna mawili aidha mwalimu aruhusu maswali au asiruhusu maswali. Endapo akiruhusu maswali,basi kuba adabi za kuuliza maswali,ukiwa darasani hurusiwi kuuliza swali ambalo halina faida kwako wala kwa wenzako.

Narudi kuendelea kukupa faida........

Ila ule mjadala wa uwepo wa Mola mlezi nilishaufunga kwako wewe. Labda uje na hoja nyingine.
 
Unajua kusoma?

Wewe unayetaka kuthibitisha Mungu yupo ndiye una kazi ya kuelezea inakuwaje Mungu yupo, halafu huu ulimwengu nao upo.

Sasa unataka kunipa kazi hiyo mimi?

Wwewe unasema 1 + 1 ni 5.

Mimi nakwambia hiyo hesabu imekosewa, base ten math 1 + 1 = 2.

Wwewe unashikilia 1 + 1 = 5.

Nakwambia thibitisha 1 + 1 = 5, huwezi.

Halafu unaniuliza "wewe ushasema 1 + 1 haiwezi kuwa 5, sasa hata nikikuthibitishia 1 + 1 = 5, hilo jibu utalizungumziaje tena"

Nakwambia thibitisha kwanza, halafu mengine tuongee baada ya kuthibitisha.

Na kuelezea inakuwaje 1 +1 = 5 ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi, mimi sijasema 1 +1 = 5.

Kuelezea inakuwaje Mungu huyo yupo na ulimwengu huu upo ni sehemu ya uthibitisho wako, usinipe kazi hiyo mimi.

Thibitisha Mungu yupo.

Usilete mazingaombwe ya kunitaka mimi nithibitishe kitu ambacho sikikubali.

Nacheka sana,sisi ndio maana huwa tuna waona nyinyi wajinga msio jielewa.

Tukiwa ambia hesabu ni mambo ya kufikirika na makubaliano ya wana mahesabu ambayo kiuhalisia hayawezi kufanya lolote,msidhani kwamba sisi hesabu hatuzijui.

Nilikuonyesha ujinga wako katika somo la mantiki,na ninataka nikuonyeshe ujinga wako katika somo la hesabu.

Pili,niliwahi kukuelezea kuwa huna ujuzi wa kutoa mifano kwa uwiano sawia. Sasa ni ajabu kutoa mfano wa kimahesabu kwa suala ambalo liko wazi na lisilohusiana na mambo ya kimahesabu.

Nimerudi hapa kwa sababu umeleta hoja ya kimahesabu,sasa nataka kukuonyesha ya kuwa hesabu tunazijua sana.

Ulipo muuliza huyo bro hapo juu kuhusu 1+1=5. Hesabu hii kimahesabu ina wezekana bro.

Kama ninaweza ku prove 1=2 na 0=1, iweje nishindwe ku prove 1+1=5 ?

Sasa huoni kwamba unawachoresha wana mahesabu ?

Ona hapa chini :

1+1+0=5

Kama 1=2 na 0=1,bila shaka ;

2+2+1=5

Sasa hapo nini cha ajabu ?

Muache ujinga bro...........
 
Nacheka sana,sisi ndio maana huwa tuna waona nyinyi wajinga msio jielewa.

Tukiwa ambia hesabu ni mambo ya kufikirika na makubaliano ya wana mahesabu ambayo kiuhalisia hayawezi kufanya lolote,msidhani kwamba sisi hesabu hatuzijui.

Nilikuonyesha ujinga wako katika somo la mantiki,na ninataka nikuonyeshe ujinga wako katika somo la hesabu.

Pili,niliwahi kukuelezea kuwa huna ujuzi wa kutoa mifano kwa uwiano sawia. Sasa ni ajabu kutoa mfano wa kimahesabu kwa suala ambalo liko wazi na lisilohusiana na mambo ya kimahesabu.

Nimerudi hapa kwa sababu umeleta hoja ya kimahesabu,sasa nataka kukuonyesha ya kuwa hesabu tunazijua sana.

Ulipo muuliza huyo bro hapo juu kuhusu 1+1=5. Hesabu hii kimahesabu ina wezekana bro.

Kama ninaweza ku prove 1=2 na 0=1, iweje nishindwe ku prove 1+1=5 ?

Sasa huoni kwamba unawachoresha wana mahesabu ?

Ona hapa chini :

1+1+0=5

Kama 1=2 na 0=1,bila shaka ;

2+2+1=5

Sasa hapo nini cha ajabu ?

Muache ujinga bro...........
Logical non sequitur.

Ume force 1=2 bila proof.

Unaweza ku prove 1 = 2 ?

Unataka JF nzima ikuone unalazimisha 1 = 2 ?

Ukilazimisha 1 = 2 sikushangai.

Hiyo ni contradiction.

Wewe hata Mungu unayemuamini ninwa contradiction.

Unaabudu contradiction.

Siwezi kushangaa ukilqzimisha 1 = 2.

A= B.

In fact, anything = anything.

Anything = everything.

Sasa andika kwa kuchanganya herufi tuone kama tutaelewana hapa.

Unaelewa ukisema 1 = 2 unakubali Mungu hayupo?
 
Kwa kuwa unapenda kunukuu aya za Qur'an basi Allah alijua na hakukosea pale aliposema:-
ربما يود الذين كفرا لو كانوا مسلمين

Rrubamaa yawaddu KAFARUU lau kaanuu muslimiin.


Yaani;- Huenda ikawa Makafiri wanatamani wangekuwa WAISLAMU. (15:2)

Asro nomaa kama unatamani kuwa Muislamu unakaribishwa tu.

Kuhusu Mungu kakutana wapi na Mtume Muhammad (saw), ni kwamba nyie "Atheists" akili zenu siku zote zinawaza "physical visualizing" tu mkipelekwa kwenye "spiritual visualizing" mnachanganyikiwa kabisa, nyinyi mlitaka Mungu akutane na Nabii wake kama jinsi nyinyi mnavyokutana na waganga wenu wa kishirikina?!!😁😁. Au mlitaka Mungu awe na ofisi fulani kama zile za vyama vya siasa??😁😁, akili zenu ndogo kweli 😁😁.

Mungu huwasiliana na Manabii wake kupitia malaika mkuu Jibril (Gabriel).


Islam ni dini ya ujanja ujanja Quran nzima no kopi from bible huna cha kujivuna na waliompa utume Muhammad ni mapadri

Nini ya kafiri?

Isijekuwa wewe pia kafiri ila hujijui
 
Naona somo umeanza kulielewa sasa. Huku unapotak kupaingia najua huwezi kutoka nikitaka kujadiliana na wewe kuhusu mambo ikhtilaafat za wanazuoni.

Mimi mwenyewe ni Shafii kwa madhehebu ya kifikihi.

Hata mimi nashukuru unaanza kuelewa

Hili swali unalikwepa nini maana ya shairi?
 
Nachotaka mimi useme haki sio unapayuka.

Naona unataka turudi nisipopataka,sababbi wewe unajinadi ya kuwa unaujua Uislamu hali ya kuwa ukweli ulivyo ni kinyume chake.

Ina maana hujui hata nini maana ya Utume mpaka useme mapadri walimpa utume ?

Ujinga mzigo sana. Soma,nasema tena soma.

Nipo.....


Umesoma historia ya Muhammad?
 
Logical non sequitur.

Ume force 1=2 bila proof.

Unaweza ku prove 1 = 2 ?

Unataka JF nzima ikuone unalazimisha 1 = 2 ?
Nacheka sana. Bro haya mambo tumeyafanya kitambo ndio maana nakwambia.

Hayo niliyokuelezea hapo naweza kuyafanya mzee. Halafu usiwe unaniwekea tamko "logic" kwenye mazungumzo yaani nazidi kukuona mjinga sana.

Kwa ufupi naweza ku prove 1=2 hali kadhalika 0=1.

0= 1 hii inawezekena kwa mtindo wa series kwa kuinyumbua na kuipata hiyo moja nikitokea upande wa kushoto kama marejeo yangu.

Halikadhalika hiyo 1=2 inawezekena kwa kuanzia na ku let a=b au variable zozote. Kisha na introduce concept ya difference of two square kadhia inakuwa imeisha.

Sasa uwe unaleta hoja kwazo umezifanyia utafiti hapo kabla.

Nipo.......
 
Hata mimi nashukuru unaanza kuelewa

Hili swali unalikwepa nini maana ya shairi?
Kaka hili swali silikwepi,na hapa nakufundisha ujue adabu za kijadiliana na adabi za kielimu. Miongoni mwa adabu za elimu ni haramu kuongea jambo ambalo huna elimu nalo.

Kama wewe uliituhumu Qur'an ni mashairi,halafu unashindwa kuthibitisha ishairi wake uko wapi ? Huku ni kuikosea adabu elimu. Wewe ulitakiwa ulitakiwa uanze kwanza kuulizia ushairi nini na tungo gani inaweza kuitwa shairi,ila huku kukurupuka na kujidai wahuaji ndiko kuba wagharimu.

Bro sikufichi,mimi namshukuru Mola wangu nimelelewa katika adabu na misingi ya kielimu,ndio maana huwa najitahidi sana nisikurupuke na kama ikitokea nimekurupuka na nikakosea juu ya jambo fulani huwa sichelewi kukubali kosa na kukiri hilo kisha naendelea maisha kama kawaida. Nilishakataa kujipa mizigo isiyo na haja.
 
Logical non sequitur.

Ume force 1=2 bila proof.

Unaweza ku prove 1 = 2 ?

Unataka JF nzima ikuone unalazimisha 1 = 2 ?

Umilazimisha 1 = 2 sikushangai.

Hiyo ni contradiction.

Wewe hata Mungu unayemuamini ninwa contradiction.

Unaabudu contradiction.

Siwezi kushangaa ukilqzimisha 1 = 2.

A= B.

In fact, anything = anything.

Anything = everything.

Sasa andika kwa kuchanganya herufi tuone kama tutaelewana hapa.

Unaelewa ukisema 1 = 2 unakubali Mungu hayupo?
Ila bro unachekesha sana,hesabu unazozitegemea wewe zinakubali hilo.

Na nina lifanya hilo bila kukiuka kanuni yoyote ya hesabu,na nimeshakuonyesha hilo.

Leta hoja nyingine nikupe faida.......

Nipo....
 
Back
Top Bottom