Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kwa kuchunga adabu za kielimu hili suala la 1=2. Kiukweli haliwezekani kwa makubaliano ya wana hesabu hali kadhalika katika uhalisia pia haliwezekani.

Katika hili bro Kiranga uko sahihi.

Kwa hili nakiri wazi kabisa nimekosea.

Nipo......
Hahahahahaha,

Umekosea wapi?

Umejuaje kwamba umekosea?

Gadeeemu, unataka kunigawanyia kwa zero hapa?

Yani hapa ungekuwa unajibizana na kichwa tepetepe.mtu angeshakukubalia, au angekupinga bila ya kujua kosa liko wapi.

Tatizo lako hesabu unazotaka kunilisha tango la pori leo mimi nimezifanya nikiwa na miaka 14.Form one Tambaza.

Huku nikimsoma Isaac Asimov, Arthur C Clarke, Robert A Heinlein, H.G Wells and the like.

Ushawahi hata kuyasikia majina hayo?

Leo unataka kunilisha matango pori kwa hesabu nilizozifanya at 14?

Unaelewa kwamba contradiction inayokataza 1=2 ndiyo hiyo hiyo inayokataza kuwepo kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Unaelewa Mungu huyo ni singularity sawa sawa na singularity ya division by zero?
 
Hahahahahaha,

Umekosea wapi?

Umejuaje kwamba umekosea?

Gadeeemu, unataka kunigawanyia kwa zero hapa?

Yani hapa ungekuwa unajibizana na kichw atepetepe.

Ttaizo hesabu unazotaka kunilisha tango la pori leo mimi nimezifanya nikiwa na miaka 14.

Huku nikimsoma Isaac Asimov, Aarthur C Clarke, Robert A Heinlein, H.G Wells and the like.

Ushawahi hata kuyasikia majina hayo?

Leo unataka kunilisha matango pori kwa hesabu nilizozifanya at 14?

Unaelewa kwamba contradiction inayokataza 1=2 ndiyo hiyo hiyo inayokataza kuwepo kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Unaelewa Mungu huyo ni singularity sawa sawa na singularity ya division by zero?
Unaweza kuthibitisha uyasemayo?
 
Hahahahahaha,

Umekosea wapi?

Umejuaje kwamba umekosea?

Gadeeemu, unataka kunigawanyia kwa zero hapa?

Yani hapa ungekuwa unajibizana na kichwa tepetepe.mtu angeshakukubalia, au angekupinga bila ya kujua kosa liko wapi.

Tatizo lako hesabu unazotaka kunilisha tango la pori leo mimi nimezifanya nikiwa na miaka 14.Form one Tambaza.

Huku nikimsoma Isaac Asimov, Arthur C Clarke, Robert A Heinlein, H.G Wells and the like.

Ushawahi hata kuyasikia majina hayo?

Leo unataka kunilisha matango pori kwa hesabu nilizozifanya at 14?

Unaelewa kwamba contradiction inayokataza 1=2 ndiyo hiyo hiyo inayokataza kuwepo kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Unaelewa Mungu huyo ni singularity sawa sawa na singularity ya division by zero?
Hakuna contradictions inayofanya huyo Mungu asiwepo,wewe unabambikiza tu mambo.
 
Hoja ya msingi sio kuweza kuthibitisha au kutoweza hoja ya msingi ni uzushi wako wa kudai Mungu hayupo kutokana na contradiction,hilo ndio nalipinga.
Unakimbia kuthibitisha.

Kwa sababu huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu Mungu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Hoja ya msingi sio kuweza kuthibitisha au kutoweza hoja ya msingi ni uzushi wako wa kudai Mungu hayupo kutokana na contradiction,hilo ndio nalipinga.
Uzushi huondolewa kwa kutoa taarifa sahihi. Thibitisha kuwa Mungu yupo.
 
Hahahahahaha,

Umekosea wapi?

Umejuaje kwamba umekosea?

Gadeeemu, unataka kunigawanyia kwa zero hapa?

Yani hapa ungekuwa unajibizana na kichwa tepetepe.mtu angeshakukubalia, au angekupinga bila ya kujua kosa liko wapi.

Tatizo lako hesabu unazotaka kunilisha tango la pori leo mimi nimezifanya nikiwa na miaka 14.Form one Tambaza.

Huku nikimsoma Isaac Asimov, Arthur C Clarke, Robert A Heinlein, H.G Wells and the like.

Ushawahi hata kuyasikia majina hayo?

Leo unataka kunilisha matango pori kwa hesabu nilizozifanya at 14?

Unaelewa kwamba contradiction inayokataza 1=2 ndiyo hiyo hiyo inayokataza kuwepo kwa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote?

Unaelewa Mungu huyo ni singularity sawa sawa na singularity ya division by zero?
Huku kwa uwepo wa Mola nilishamalizana na wewe bro,siwezi kujadiliana tena na wewe. Huna hoja ya kusimamisha juu ya hilo.

Nipo............
 
Huku kwa uwepo wa Mola nilishamalizana na wewe bro,siwezi kujadiliana tena na wewe. Huna hoja ya kusimamisha juu ya hilo.

Nipo............
Unalazimisha division by zero mpaka huko.

The same thing, same contradiction as your 1=2 math.
 
Uzushi huondolewa kwa kutoa taarifa sahihi. Thibitisha kuwa Mungu yupo.
Kama kuondoa taarifa za uzushi kuna hitajika uthibitisho inamaana wanaopinga kuwepo Mungu wanahitajika kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu ili kuondoa uzushi wa wanaodai kuna Mungu?
 
Nikisema wewe hanithi unakuwa hanithi kweli?
Siwezi kuwa hanithi kwa sababu tu wewe umesema mimi hanithi.

Nami nijibu mbona huu ulimwengu tunaoambiwa umeumbwa na Mungu upo halafu yeye muumbaji Mungu wewe unasema hayupo? Yupi anasema kweli kati ya wewe unayesema hayupo au wanaosema yupo?
 
Siwezi kuwa hanithi kwa sababu tu wewe umesema mimi hanithi.

Nami nijibu mbona huu ulimwengu tunaoambiwa umeumbwa na Mungu upo halafu yeye muumbaji Mungu wewe unasema hayupo? Yupi anasema kweli kati ya wewe unayesema hayupo au wanaosema yupo?
Umesema vyema.

Huwezi kuwa hanithi kwa sababu tu mimi nimesema wewe hanithi.

Kwa sababu, maneno tu ya mtu kusema, bila uthibitisho, hayafanyi hicho kinachosemwa kiwe kweli.

Kuna yanayopindishwa kwa uongo wa makusudi, yanayopindishwa kwa ujinga na kadhalika.

Kwa hivyo hivyo, kuambiwa ulimwengu huu umeumbwa na Mungu hakufanyi Mungu awepo.

Na vile vile, kuambiwa tu Mungu hayupo, hakufanyi Mungu asiwepo.

Sasa tutajuaje kama Mungu yupo au hayupo?

Kwa uchunguzi, kwa uthibitisho.

Kanuni moja ya kujua ukweli au uongo wa kitu, ni kuangalia contradiction. Kitu kikiwa na contradiction kina mushkeli.

Jana Zurri kaleta hesabu hapa. Ile hesabu kama mtu unaiangalia macho juu juu, hujui hesabu, unaona Zurri ka prove 1= 2.

But 1=2 contradicts the number line. Hapo unaona contradiction, unaona hii proof imekosewa sehemu.

Bahati nzuri ile hesabu naijua, niliifanya tangu nina miaka 14. Nikaikumbuka, ina tatizo, kuna sehemu aligawanya kwa 0, kitu ambacho katika hesabu hakiruhusiwi.

Nikamueleza, mwenyewe akakubali kakosea.

Contradiction imeonesha habari ni uongo, tumetafuta kosa, tumelipata.

Contradiction hiyo hiyo iliyo katika habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya inaonesha Mungu huyo na ulimwengu huu, viwili hivi, haviwezi kutokea pamoja. Lazima kimoja kikiwapo, kingine kisiwepo (mutual exclusivity).

Tunaona ulimwengu huu upo.

Hilo linaonesha Mungu huyo hayupo.
 
Umesema vyema.

Huwezi kuwa hanithi kwa sababu tu mimi nimesema wewe hanithi.

Kwa sababu, maneno tu ya mtu kusema, bila uthibitisho, hayafanyi hicho kinachosemwa kiwe kweli.

Kuna yanayopindishwa kwa uongo wa makusudi, yanayopindishwa kwa ujinga na kadhalika.

Kwa hivyo hivyo, kuambiwa ulimwengu huu umeumbwa na Mungu hakufanyi Mungu awepo.

Na vile vile, kuambiwa tu Mungu hayupo, hakufanyi Mungu asiwepo.

Sasa tutajuaje kama Mungu yupo au hayupo?

Kwa uchunguzi, kwa uthibitisho.

Kanuni moja ya kujua ukweli au uongo wa kitu, ni kuangalia contradiction. Kitu kikiwa na contradiction kina mushkeli.

Jana Zurri kaleta hesabu hapa. Ile hesabu kama mtu unaiangalia macho juu juu, hujui hesabu, unaona Zurri ka prove 1= 2.

But 1=2 contradicts the number line. Hapo unaona contradiction, unaona hii proof imekosewa sehemu.

Bahati nzuri ile hesabu naijua, niliifanya tangu nina miaka 14. Nikaikumbuka, ina tatizo, kuna sehemu aligawanya kwa 0, kitu ambacho katika hesabu hakiruhusiwi.

Nikamueleza, mwenyewe akakubali kakosea.

Contradiction imeonesha habari ni uongo, tumetafuta kosa, tumelipata.

Contradiction hiyo hiyo iliyo katika habari ya Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu huu wenye kuweza kuwa na mabaya inaonesha Mungu huyo na ulimwengu huu, viwili hivi, haviwezi kutokea pamoja. Lazima kimoja kikiwapo, kingine kisiwepo (mutual exclusivity).

Tunaona ulimwengu huu upo.

Hilo linaonesha Mungu huyo hayupo.
Kwahiyo kwa mfano mimi Tz mbongo nikitoa maelezo yenye kujicontradict kunihusu mimi,hali hiyo inafanya mimi Tz mbongo nisiwepo? Au hali hiyo inaonesha kuna mushekel kwenye maelezo yangu?
 
Kwahiyo kwa mfano mimi Tz mbongo nikitoa maelezo yenye kujicontradict kunihusu mimi,hali hiyo inafanya mimi Tz mbongo nisiwepo? Au hali hiyo inaonesha kuna mushekel kwenye maelezo yangu?
Hapana.

Ukisema neno lenye contradiction, mathalani "Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya yupo" au "kuna pemnetatu ambayo pia ni duara hapo hapo katika Euclidean planes" kauli hizo zina mushklei na hivyo unavyovisema havipo.

Kwa sababu vina contradiction.

Hakuna pembetatu duara. Kwa sababu hiyo ni contradiction.

Hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya yawepo, kwa sababu hiyo ni contradiction vile vile
 
Hapana.

Ukisema neno lenye contradiction, mathalani "Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya yupo" au "kuna pemnetatu ambayo pia ni duara hapo hapo katika Euclidean planes" kauli hizo zina mushklei na hivyo unavyovisema havipo.

Kwa sababu vina contradiction.

Hakuna pembetatu duara. Kwa sababu hiyo ni contradiction.

Hakuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu huu unaoruhusu mabaya yawepo, kwa sababu hiyo ni contradiction vile vile
Kwanini hapana ?Eleza kwanini nikitoa maelezo yenye kujicontradict kuhusu mimi haifanyi mie Tz mbongo kutokuwepo.
 
Back
Top Bottom