Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Inategemea reference yako ni nini, reference yangu inaniambia Mungu aliumba kila kila kitu kilichomo duniani na ulimwengu, maana yake mpaka shetani.

wewe sema kama hakuumbwa alitokelezeaje?

Mhhh! sijui kipi huelewi mkuu.
Shetani ni title aliyoipata yule malaika baada ya kuasi na title nyingine nying.
Malaika aliumba malaika na walikuwa wema na kumtii Mungu ila alipoasi akabeba hyo jina unasema.
Mtu haitwi mwizi mpaka pale ambapo amefanya vitu vitakavyompelekea mtu huyo kuitwa hivyo.
Kwa sababu una free will na unaamua kufanya mambo mabaya si kwamba Mungu kaumba Mwizi. hiyo ni matndo yko mabaya.

Nahisi hakuna haja ya kuwaita waliosoma theology kwenye kitu rahisi kama hiki. hebu kaa tulia then fikiria upya.
 
Mhhh! sijui kipi huelewi mkuu.
Shetani ni title aliyoipata yule malaika baada ya kuasi na title nyingine nying.
Malaika aliumba malaika na walikuwa wema na kumtii Mungu ila alipoasi akabeba hyo jina unasema.
Mtu haitwi mwizi mpaka pale ambapo amefanya vitu vitakavyompelekea mtu huyo kuitwa hivyo.
Kwa sababu una free will na unaamua kufanya mambo mabaya si kwamba Mungu kaumba Mwizi. hiyo ni matndo yko mabaya.

Nahisi hakuna haja ya kuwaita waliosoma theology kwenye kitu rahisi kama hiki. hebu kaa tulia then fikiria upya.

Unaongea maneno mengi yasiyo na hoja mkuu.

Iko hivi, Mungu aliumba Malaika, mmoja wa malaika hao aliitwa lucifer, lucifer alihasi maelekezo ya Mungu na tokea hapo (??) akaanza kuitwa shetani.

Hapo kuna tatizo gani kusema Mungu alimuumba shetani?

Au Lucifer sio Shetani?

Tusichanganye "Shetani" jina na "Shetani" tabia.
 
Mashekh wangu mpo wapi, toeni yaliyondani ya Qur'an labda itafaa kuziokoa nafsi hizi. Naona inatajwa Bible tu wakati nijuavyo Mimi Quran inamajibu muafaka. Nb mi ni mamuma tu nasikilizaga mawaidha hvyo sitokua marejeo timilifu
 
Islam ni dini ya ujanja ujanja Quran nzima no kopi from bible huna cha kujivuna na waliompa utume Muhammad ni mapadri

Nini ya kafiri?

Isijekuwa wewe pia kafiri ila hujijui



Ni sawa ulivyosema kwamba "Qur'an no kopi from bible"

Utume alipewa na Mungu ila "mapadri" walimkubali kwa sababu kipindi hicho wakristo na mayahudi ndio walikuwa watu walioshika dini yaani "Ahlul kitaabu" lakini waarabu walikuwa ni washenzi kupita maelezo.

Astro nomaa kaa chini ufundishwe dini na sio kupinga tu.
 
Nacheka sana. Bro haya mambo tumeyafanya kitambo ndio maana nakwambia.

Hayo niliyokuelezea hapo naweza kuyafanya mzee. Halafu usiwe unaniwekea tamko "logic" kwenye mazungumzo yaani nazidi kukuona mjinga sana.

Kwa ufupi naweza ku prove 1=2 hali kadhalika 0=1.

0= 1 hii inawezekena kwa mtindo wa series kwa kuinyumbua na kuipata hiyo moja nikitokea upande wa kushoto kama marejeo yangu.

Halikadhalika hiyo 1=2 inawezekena kwa kuanzia na ku let a=b au variable zozote. Kisha na introduce concept ya difference of two square kadhia inakuwa imeisha.

Sasa uwe unaleta hoja kwazo umezifanyia utafiti hapo kabla.

Nipo.......
Huja prove 1=2.

Na huwezi ku prove.

Kama ambavyo huwezi ku prove Mungu yupo.
 
"Pengine" ...Hii ni namna ya kujitetea na kutokubali kutereza.
Nakuahidi ukinipa udhibitisho usio na shaka ya matumizi ya neno hilo katika sentensi yako bila kuihusisha na masuala ya kiroho,ntajitoa Jf.Kubali tu,wakati mwengine tunafanya mambo kwakujichanganya..Ni jamiu Intelligence,pata funzo juu ya hilo..
Hata kama anaimani au hana apewe majibu yatayosaidia kujua ss sote, na kama ni fumbo basi napo aelezwe kidini na Si kutishwa, imani ya MTU hukua kupitia maswali na majibu Mwenyezi Mungu Katoa vitabu tena kwa matoleo tofauti toka kwa manabii tofauti ambapo bila hvyo vitabu muuliza swali asingepata cha kuuliza.. asingemjua shetani wala habari za enzi za nuhu. Hatakama amekosea basis mjibuni kwa usahihi tena kwa busara.atayejibu kwa hekima za kuhifadhi utukufu was mungu naamini anafungu jema mbele ya muumba wetu kuliko atukanaye na kitisha
 
Hata kama anaimani au hana apewe majibu yatayosaidia kujua ss sote, na kama ni fumbo basi napo aelezwe kidini na Si kutishwa, imani ya MTU hukua kupitia maswali na majibu Mwenyezi Mungu Katoa vitabu tena kwa matoleo tofauti toka kwa manabii tofauti ambapo bila hvyo vitabu muuliza swali asingepata cha kuuliza.. asingemjua shetani wala habari za enzi za nuhu. Hatakama amekosea basis mjibuni kwa usahihi tena kwa busara.atayejibu kwa hekima za kuhifadhi utukufu was mungu naamini anafungu jema mbele ya muumba wetu kuliko atukanaye na kitisha
Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote yupo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Na kama mtu anabisha, athibitishe huyo Mungu yupo.
 
Wewe umesema kwamba " Kwa sababu Mungu huyo hayupo", ndo nakuuliza aliyepo ni yupi?
Aliyepo kwa definition gani?

Kusema uwepo au kutokuwepo Mungu bila definitiin ni jambo lisilo na maana.

Ndiyo maana hata mimi niliposema Mungu hayupo nilim def8ne.

Members wa Wu-Tang Ckan wanaitana "Gods". Kwa definitiin yao wao ni miungu.

Kwa definition yao hao siwezi kukataa kwamba wapo.

Wanatoa albums za muziki nasikiliza.

Sasa unapouliza aliyepo ni yupi, kwa definition gani?

Kuna Pantheists wanaam8ni kila kitu ni Mungu.

Kwao wao wewe, mimi, jiwe, wote ni miungu. Ndiyo maana tumekuwepo.

Kwao hao, kwa definition yao, kuwepo ni uungu.

Sasa hao siwezi kubishana nao Mungu hayupo.

Sasa, unapoukiza aliyepo ni yupi, kwa ntazamo na definition gani?
 
Aliyepo kwa definition gani?

Kusema uwepo au kutokuwepo Mungu bila definitiin ni jambo lisilo na maana.

Ndiyo maana hata mimi niliposema Mungu hayupo nilim def8ne.

Members wa Wu-Tang Ckan wanaitana "Gods". Kwa definitiin yao wao ni miungu.

Kwa definition yao hao siwezi kukataa kwamba wapo.

Wanatoa albums za muziki nasikiliza.

Sasa unapouliza aliyepo ni yupi, kwa definition gani?

Kuna Pantheists wanaam8ni kila kitu ni Mungu.

Kwao wao wewe, mimi, jiwe, wote ni miungu. Ndiyo maana tumekuwepo.

Kwao hao, kwa definition yao, kuwepo ni uungu.

Sasa hao siwezi kubishana nao Mungu hayupo.

Sasa, unapoukiza aliyepo ni yupi, kwa ntazamo na definition gani?

Okay, kama unakubali Mungu "Jiwe" yupo, nikikuambia kwamba Mungu "Jiwe" ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, madai yako yatakoma?
 
Okay, kama unakubali Mungu "Jiwe" yupo, nikikuambia kwamba Mungu "Jiwe" ni mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, madai yako yatakoma?
Itabidi unioneshe jiwe lipi - hata Magogoni kuna Jiwe- linajua vipi na tuthibitishe kwa majaribio.

Utaweza kunionesha hivyo?
 
Hakuna anayeweza kuthibitisha Mungu mjuzibwa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote yupo.

Kwa sababu Mungu huyo hayupo.

Na kama mtu anabisha, athibitishe huyo Mungu yupo.
Mi naamini yupo Allah, ushahidi ni kuwepo kwangu Mimi na ww na binadamu wengine mimea wanyama milima na bahari nk, naamini kuna aliyeumba hvi vitu ukiangalia namna vinavyofitiana na kutegemeana."usione vyaelea ujue vimeumbw" yeye ndie wakuamua atutumiaje iwe tunaridhika au hapana, hatasheria ya nchi Si wote wazipenda MF mwizi hapendi sheria inayokataza kuiba, mzinzi hapendi sheria inayozuia kutembea na wanafunzi. chukulia bila kuwepo kwa hizi kanuni za kiungu au za nchi tungeishije? Yaani kubaka, kuiba ruksa ni nguvu zako tu kama wanyama, binadamu tumepewa taratibu na Mungu sababu ya utashi mkubwa tulopewa tofauti na viumbe wengine, yeye anajua ni kwani mengine katufunulia na mengine hapana, tens kafunua kwa awamu yaani torati, zaburi, injiri na qurani, mtoa mada ni mwanazuoni anayefikilisha akili na kutafuta majibu ya maswali magumu, je kama ungeweza soma Qur'an ya waislamu, sikiliza mawaidha ya mashekhe YouTube naamini utaweza pata majibu kwa lengo la kujifunza na sikwambii kwa lengo la kusilimu as elimu haina mipaka. Ujue maksai nae hujiuliza sana kwanini mwanadamu anamulimisha sana mashambani na huona kama anateswa bila sababu, kwako mtoa maada!!! Kama aliweza kumuumba shetani, akaangamiza watu wa nuhu nk Hakika anauwezo%. Ni bora kutafta maarifa kwa juhudi zaidi ili upate kumwamini maana kufa ni lazima hata uishi miaka mingi, kwa mambo makubwa aliyoyafanya ikiwa ni pamoja na uliyoyaorodhesha kama makosa bila shaka unaamini ukuu na uweza wake hvyo hekima na uchaguzi wa maneno umzungumziapo yatupasa tuishike. Lengo la kuubwa sisi ni tupate kumuabudu yeye, ng'ombe uliyemfuga lengo akupe maziwa wewe hatakama hajui maziwa yanakusaidia nn we. Naamini Mungu anamengi tusiyoyajua ndio ametutaka tumuamini kwa nafsi zetu maana mengi hatuyajui,
 
Itabidi unioneshe jiwe lipi - hata Magogoni kuna Jiwe- linajua vipi na tuthibitishe kwa majaribio.

Utaweza kunionesha hivyo?

Wewe umesema hapo juu kwamba hauwezi bishana na wale wanaoamini kwamba "Jiwe" ni Mungu juu ya uwepo wa Mungu wao.
naamini wakati unaamua kuachana kubishana juu ya uwepo wa Mungu Jiwe utakuwa umeishajiridhisha ni jiwe lipi, hiyo sio issue ya mimi kuthibitisha, ni wewe uliyeamini hivyo.

unless useme umeishathibitisha kwamba Mungu jiwe sio lenye sifa hizo japo ni Mungu, sababu hata mimi ntafurahi ukinithibitishia mambo hayo.
 
Huja prove 1=2.

Na huwezi ku prove.

Kama ambavyo huwezi ku prove Mungu yupo.
Nacheka sana. Unataka na hii iwe mada sio ?
Screenshot_20181011-123809.jpeg
 
Mi naamini yupo Allah, ushahidi ni kuwepo kwangu Mimi na ww na binadamu wengine mimea wanyama milima na bahari nk, naamini kuna aliyeumba hvi vitu ukiangalia namna vinavyofitiana na kutegemeana."usione vyaelea ujue vimeumbw" yeye ndie wakuamua atutumiaje iwe tunaridhika au hapana, hatasheria ya nchi Si wote wazipenda MF mwizi hapendi sheria inayokataza kuiba, mzinzi hapendi sheria inayozuia kutembea na wanafunzi. chukulia bila kuwepo kwa hizi kanuni za kiungu au za nchi tungeishije? Yaani kubaka, kuiba ruksa ni nguvu zako tu kama wanyama, binadamu tumepewa taratibu na Mungu sababu ya utashi mkubwa tulopewa tofauti na viumbe wengine, yeye anajua ni kwani mengine katufunulia na mengine hapana, tens kafunua kwa awamu yaani torati, zaburi, injiri na qurani, mtoa mada ni mwanazuoni anayefikilisha akili na kutafuta majibu ya maswali magumu, je kama ungeweza soma Qur'an ya waislamu, sikiliza mawaidha ya mashekhe YouTube naamini utaweza pata majibu kwa lengo la kujifunza na sikwambii kwa lengo la kusilimu as elimu haina mipaka. Ujue maksai nae hujiuliza sana kwanini mwanadamu anamulimisha sana mashambani na huona kama anateswa bila sababu, kwako mtoa maada!!! Kama aliweza kumuumba shetani, akaangamiza watu wa nuhu nk Hakika anauwezo%. Ni bora kutafta maarifa kwa juhudi zaidi ili upate kumwamini maana kufa ni lazima hata uishi miaka mingi, kwa mambo makubwa aliyoyafanya ikiwa ni pamoja na uliyoyaorodhesha kama makosa bila shaka unaamini ukuu na uweza wake hvyo hekima na uchaguzi wa maneno umzungumziapo yatupasa tuishike. Lengo la kuubwa sisi ni tupate kumuabudu yeye, ng'ombe uliyemfuga lengo akupe maziwa wewe hatakama hajui maziwa yanakusaidia nn we. Naamini Mungu anamengi tusiyoyajua ndio ametutaka tumuamini kwa nafsi zetu maana mengi hatuyajui,
Logical non sequitur.

Dunia ingekuwa imeumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, usingekunya wewe.

Kunya ni ushahidi Mungu hayupo.

Aangekuwepo asingekujaza mavi tumboni.
 
Back
Top Bottom