Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,102
2,717
Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.

We will update this.

Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.

Amekufa kwa ajali ya gari Arusha, mchana huu, kama saa saba hivi.

Alikuwa anaendesha gari, akaligonga lori kwa nyuma.

20231029_225457.jpg


IMG-20231029-WA0004.jpg

20231029_180241.jpg
 
Daudi, mtoto wa pili wa Makongoro Nyerere, RC wa Rukwa amefariki dunia.

We will update this.

Habari zenyewe ni hivi: not for the faint- hearted.
Amekufa kwa ajali ya gari Arusha,mchana huu,kama saa saba hivi.
Alikuwa anaendesha gari,akaligonga lori kwa nyuma.
Pole sana familia, ndugu Jamaa na Marafiki.
Mwenyezi Mungu aiweke Roho ya ndugu Daudi mahali anapostahili.
Amen.
 
Back
Top Bottom