FortJeasus
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 604
- 405
ITV wanaonyesha umakini.Kwa umakini ule,hawawezi kuvumilia upuuzi kama tulivyo wengi.
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
TBC1 ilovyokua walivyoonesha katika habari ya SAA 2:00 wewe ulikua wapi?Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Sikuwahi kumuunga mkono bwana yule lakini kwa msisitizo wa kipaumbele chake kweli aliona mbali.Ni ujinga kujigeuza tume ya Utumishi wa umma ili ukague vyeti vya Mkuu wa Mkoa, si muhoji kwanza vyeti vya Mbowe?
Ndio walianzisha TV BAADA ya CTN DTV NA ITVKwahiyoo tbc ni changa ?duh..............haya mkuu
TBC waliionyesha?Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Kwani Makonda ni mchaga?ITV hawaonyeshagi habari za vilaza waliofoji Vyeti. nndio maana inaitwa super brand. Bashite weka vyeti
Ukiwa unafikiria ukabila kichwani mwako, automatically wewe ni mkabila.Toa ukabila hapa.Kwani Makonda ni mchaga?
Ile ni chaga tv. Ukiwa mchaga hasa unatoka kwenye kile chama chao utapewa kipaumbele
Hakuona umuhimu wakeNaona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Ndio....! wewe ni miongoni mwao!inamaana coloudis ni vilaza? na je wale wanoapiga cm kusema nawapata live ni vllaza noa?
Hahahaha kwahiyo hilo ni tatizo mkuu?!!Hawajui watumie jina lipi,kati ya Makonda au Bashite.