Hawajui watumie jina lipi,kati ya Makonda au Bashite.
Wachaga wote wako against na Makonda.Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Kama unataka habari za Bashite, angalia mawingu!
Itv siyo ya vilaza na ya wenye vyeti feki!...
Kwani lazima uangalie itv...??






Kabisa yaani...Mkuu I TV kwa sasa ndiyo tv yetu kitaifa
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Teh teh teh teh mbavu zanguuuu!Hawajui watumie jina lipi,kati ya Makonda au Bashite.