Makonda vs ITV

Makonda vs ITV

ITV wako sawa.. Bashite anatakiwa awe keko na sio kwenye runinga.. Yani tukae sebuleni kwetu tukiangalia fa fa fa fa kweli? Ndio maana siwezi kosa taarifa ya ITV
 
Issue iko hivi makonda angeweka mambo yake hadharan tuhuma zinazomkabili ingekuwa wazi kuliko saiv imekuwa kam kiki hivi na mzajamzaha watu wapo njia panda san ndyo maan vyombo vingne vya habar wanapuuzia
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Wachaga wote wako against na Makonda.
 
Wakuu wa mikoa mingine sherehe zao za kutimiza mwaka mmoja mbona hazisikiki wamekosa mafungu ya kufanyia sherehe?
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.

 
Media sio za mchezo zikiamua kukupotezea unasahaulika fasta, leo kuna mtu anaishia kupost habari zake kwenye viblog uchwara tu.
 
Back
Top Bottom