Makonda vs ITV

Makonda vs ITV

Hakuna chombo makini kitaripoti taarifa za kijinga, taarifa ya kichaa aliyeuawa kwa kupigwa risasi ni muhimu kuliko ya Bashite.
 
Nani ka kwambia kuna misuguano?
Lema alipoachiwa kuto kisongo ITV hawakurusha,mbona hamkusema kuna misuguano?

Acheni unafiki
 
Katiba ya "inji" NO ❌
Katiba ya Chama YES ✔
Bunge Live NO ❌
RC Bashite Live YES ✔
CNN, BBC NO ❌
SHILAWADU YES ✔
Kutembelea wafungwa NO ❌
Kuombewa YES ✔
 
hawawezi kufanya upendeleo wanasimamia sheria pia yule mzee mengi ana hofu ya mungu hawezi kudanganya wa Tanzania anaogopa kesho maana haijuwi !!
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Angalia TBC utaziona habari za makonda wako
 
Kila mkuu wa mkoa akifanya anniversary, waziri akifanya, wakuu wa wilaya wakifanya, makatibu wizara wakifanya na raisi akifanya...patatosha kweli.

Kuna mambo ya kusapoti lakini sio 1yr anniversary, huo ni upuuzi wa kiwango cha lami. Hata hao TBC ni viazi tu.
 
Alimtaja Mbowe kwenye list ya wauza unga na kituo ni cha mmachame mwenzie...Ujinga wa hali ya juu alaf wanajinadi kujali maslah ya Taifa
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
siyo lazima itv watoe taarifa yake, na ukizingatia ni shirika binafsi, akitaka tbc wapo kwa ajili yake, na watu wenye akili zetu ivi paul makonda ndo nani?
 
Mbona press conference za watetezi wa wantinge kama kina TUNDU.A LISSU na wengine wa aina hiyo hawajazionyesha mara nyingi tu.
TBC si ipo!sisi hatutaki habari za watu wasiyo wataalam.
 
Hivi Uhuru nao hawakutangaza?

Anzisheni vituo vyenu vya television muwe mnatangaza habari mnazotaka nyinyi.

Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
 
Back
Top Bottom