Makonda vs ITV

Makonda vs ITV

Kuna mda mtu usipo waza vizuri unaweza omba muda wa taarifa ya habari uwe masaa 24 ili habari zote zisomwe .

Juzi mlikuja hapa mkilaumu ITV hawakusoma taarifa ya Lema kule Arusha, Leo umekuja unashangilia hawakusoma maazimisho ya Makonda.
Unafiki na roho mbaya vinaweza kukufanya upunguze uwezo wakufukiri kila kukicha.

Acheni kulalamikia Media .. Zinahaki ya kuchagua nini cha kutangaza ili zijitoe kwenye Milengo ya kisiasa na kijamii na hatimae zitengeneze faida.
Mleta mada mjinga sana. Sijui kwa nini nimechangia huu uzi
Kikubwa tunaipongeza ITV kutoitangaza habari za makonda maana wangekosa wateja
 
Makonda hana elimu,habari zake zinawezaje kurushwa na television ya taifa?(ITV)
ITV ndiyo TV pendwa Tanzania lazima warushe habari makini.Sasa huyu Bashite anasema wakazi wa Dar waanze kutumia kadi kwenye manunuzi;huu sio uziro wake unasababisha kusema hayo.Sasa habari za kibashite kama hizi za kusikilizwa na mamilioni ya watanzania wanaoangalia ITV?
Hivi huyu Bashite anajua maisha yetu ya tandale kwa tumbo,mburahati,manzese,kigogo,buguruni,vingunguti kuwa tunaweza kweli kununua bidhaa kwa kadi? Wakati kutumia manunuz ya mpesa tu kwetu ni hadithi.
Bashite ni wa kupuuzwa alafu Sijui kwa nini hadi leo rais hamuondoi pale au kwavile ni wa kanda ya ziwa?
Hajitambui tu
 
Makonda hana elimu,habari zake zinawezaje kurushwa na television ya taifa?(ITV)
ITV ndiyo TV pendwa Tanzania lazima warushe habari makini.Sasa huyu Bashite anasema wakazi wa Dar waanze kutumia kadi kwenye manunuzi;huu sio uziro wake unasababisha kusema hayo.Sasa habari za kibashite kama hizi za kusikilizwa na mamilioni ya watanzania wanaoangalia ITV?
Hivi huyu Bashite anajua maisha yetu ya tandale kwa tumbo,mburahati,manzese,kigogo,buguruni,vingunguti kuwa tunaweza kweli kununua bidhaa kwa kadi? Wakati kutumia manunuz ya mpesa tu kwetu ni hadithi.
Bashite ni wa kupuuzwa alafu Sijui kwa nini hadi leo rais hamuondoi pale au kwavile ni wa kanda ya ziwa?
Ana mamlaka gani kunichagulia jinsi ya kufanya manunuzi yangu kwa visenti vayangu nilivyolipwa baada ya kubeba zege?anaumwa huyo siyo bure yaani hata simu sina leo anilazimishe kujiunga na mitandao?
 
Wameona hana umuhimu na habari zake hazina umuhimu mana sio mtu muhimu ni mtu FEKI mpenda SIFA anayelindwa kwa gharama yoyote aendelee kukalia kiti cha ukuu wa mkoa, na ilihali amefoji vyeti lakini watumishi wengine wanafukuzwa na wengine kufungwa jela miaka 20 kwa kughushi vyeti ama shahada
 
Huyo ni wa akina Barbie Kaba na Hassan Mzirahi nao nahisi hawana vyeti.....kwa kifupi hana mvuto katika jamii ya watanzania!!!!
Anayembeba Bashite amfungulie channel yake wawe wanaangaliana wote .....WATANZANIA "BIG NO"kwa kibaka wa vyeti a.k.a Bashite......Kwani ITV ni mahali pa kulia lia?
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
ITV hawarushagi habari zisizokuwa na uhakika.
Kama vipi aende TBC na Clouds
 
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda kwa muda mrefu sasa.

Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.

Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Ile sio habari ni uzwazwa tu, utoto na ulimbukeni wa madaraka
 
Kwani habari ya makonda kutokuwa na vyeti waliirusha kama no kwa nini ulalamike kwa hili na sio kwa wote
 
Kutimiza mwaka mmoja nayo ni habari ya kutuambia? ITV songa mbele.
 
Back
Top Bottom