Hiyo ni mengi tvNaona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda (Daudi Albert Bashite) kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda (Daudi Albert Bashite) kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Hakawii kutishia kuwafuza ITV mkoani kwakeHawajui watumie jina lipi,kati ya Makonda au Bashite.
Awafukuze ITV Dar? Yeye ndiyo anatakiwa arudi Kolomije.Hakawii kutishia kuwafuza ITV mkoani kwake
Mkoa wake huu MkuuAwafukuze ITV Dar? Yeye ndiyo anatakiwa arudi Kolomije.
Just use your common sense! Chombo cha maana kitarusha huo ujinga?Naona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda (Daudi Albert Bashite) kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
Hao wanajitambua sio kama wale wanaotufungulia dunia kwa kuhoji mashogaNaona ITV hawarushi kabisa habari za RC Paul Makonda (Daudi Albert Bashite) kwa muda mrefu sasa.
Hata Anniversary ya Mwaka mmoja ya RC leo hawakuwa live na zaidi ya hapo kwenye taarifa yao ya Habari ya saa 2 usiku hivi sasa hii habari haipo kwenye list ya habari zitakazosomwa.
Mwenye kujua atujuze source ya msigano huu tafadhali.
kweli aisee..hata ile ya lema juzi kati hawakuonesha..mpaka vilaza flan hivi vikaanza kulalamika..ITV hawaonyeshagi habari za vilaza waliofoji Vyeti. nndio maana inaitwa super brand. Bashite weka vyeti