Makonda usitishe watu hapa , hii nchi sio ya baba yako au mama yako ,chunga kauli zako

Makonda usitishe watu hapa , hii nchi sio ya baba yako au mama yako ,chunga kauli zako

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
11,301
Reaction score
12,952
Wana Mungu jf ,amani ya Bwana ikawe juu yenu.

Nyie mliopata viti kwa hila , sio mda wa kuleta drama ambazo hazina msingi, bila kujali wewe ni nani utakufa kwa mateso makubwa sana , leo ati mtu yupo pale kwa hila alafu unajitutumua , Taifa lazima lishinde kwa hila za kipuuzi ,tueshimiane , hili Taifa sio la baba yetu au mama zetu ,bali ni la watz wenyewe .

Kuna siku itafika mtajuta, na sio mda.

Kuwa pale sio kwamba upo na akili sana ,tueshimiane .

Unatamka funga watu kama ni kweli kwa miezi sita , wewe umefungwa na nani ?

Tueshimiane,
Viongozi wandamizi wa Taifa hili leo wako wapi ,ipo kesho na huwezi jua nani atakuzika ,dunia duara
 
Wana Mungu jf ,amani ya Bwana ikawe juu yenu.

Nyie mliopata viti kwa hila , sio mda wa kuleta drama ambazo hazina msingi, bila kujali wewe ni nani utakufa kwa mateso makubwa sana , leo ati mtu yupo pale kwa hila alafu unajitutumua , Taifa lazima lishinde kwa hila za kipuuzi ,tueshimiane , hili Taifa sio la baba yetu au mama zetu ,bali ni la watz wenyewe .

Kuna siku itafika mtajuta, na sio mda.

Kuwa pale sio kwamba upo na akili sana ,tueshimiane .

Unatamka funga watu kama ni kweli kwa miezi sita , wewe umefungwa na nani ?

Tueshimiane,
Viongozi wandamizi wa Taifa hili leo wako wapi ,ipo kesho na huwezi jua nani atakuzika ,dunia duara
Huyu chooko atakuja kufa kifo kibaya kama Magu aliyemtengeneza.
 
Wana Mungu jf ,amani ya Bwana ikawe juu yenu.

Nyie mliopata viti kwa hila , sio mda wa kuleta drama ambazo hazina msingi, bila kujali wewe ni nani utakufa kwa mateso makubwa sana , leo ati mtu yupo pale kwa hila alafu unajitutumua , Taifa lazima lishinde kwa hila za kipuuzi ,tueshimiane , hili Taifa sio la baba yetu au mama zetu ,bali ni la watz wenyewe .

Kuna siku itafika mtajuta, na sio mda.

Kuwa pale sio kwamba upo na akili sana ,tueshimiane .

Unatamka funga watu kama ni kweli kwa miezi sita , wewe umefungwa na nani ?

Tueshimiane,
Viongozi wandamizi wa Taifa hili leo wako wapi ,ipo kesho na huwezi jua nani atakuzika ,dunia duara
Kafanyaje wengine hatukusikia.
 
Naona wenye mamlaka ya kugawa laana na vifo kwa watu mpo mnapanua vidole badala ya kupanua akili

Makonda yupo sana tena sana tu

Eti serikali haramu, mlikatazwa kuingia kwenye ushindani?

Tatzo mliwasikiliza makengeza wa kkkt na kitima wa tec na ndo tatzo la kukosa kuwa na political analyst mzuri.

Ukikosea sheria na unatakiwa kufungwa utafungwa kweli na hakuna mtakalofanya hadi akili ziwakae vzr.
 
Naona wenye mamlaka ya kugawa laana na vifo kwa watu mpo mnapanua vidole badala ya kupanua akili

Makonda yupo sana tena sana tu

Eti serikali haramu, mlikatazwa kuingia kwenye ushindani?

Tatzo mliwasikiliza makengeza wa kkkt na kitima wa tec na ndo tatzo la kukosa kuwa na political analyst mzuri.

Ukikosea sheria na unatakiwa kufungwa utafungwa kweli na hakuna mtakalofanya hadi akili ziwakae vzr.
Na sisi wenye upako wa Mungu tunamwombea maisha marefu , ili ajionee nguvu ya Mungu ipo ukubwa kiasi gani, asife mapema, hivi leo tz inaanza kuwa na watu wanaofikiri Taifa hili limeanza leo ? Haiwezekani Bwana na Mungu hawezi ruhusu
 
Wana Mungu jf ,amani ya Bwana ikawe juu yenu.

Nyie mliopata viti kwa hila , sio mda wa kuleta drama ambazo hazina msingi, bila kujali wewe ni nani utakufa kwa mateso makubwa sana , leo ati mtu yupo pale kwa hila alafu unajitutumua , Taifa lazima lishinde kwa hila za kipuuzi ,tueshimiane , hili Taifa sio la baba yetu au mama zetu ,bali ni la watz wenyewe .

Kuna siku itafika mtajuta, na sio mda.

Kuwa pale sio kwamba upo na akili sana ,tueshimiane .

Unatamka funga watu kama ni kweli kwa miezi sita , wewe umefungwa na nani ?

Tueshimiane,
Viongozi wandamizi wa Taifa hili leo wako wapi ,ipo kesho na huwezi jua nani atakuzika ,dunia duara
Ametoa tishio gani na wapi?
 
Naona wenye mamlaka ya kugawa laana na vifo kwa watu mpo mnapanua vidole badala ya kupanua akili

Makonda yupo sana tena sana tu

Eti serikali haramu, mlikatazwa kuingia kwenye ushindani?

Tatzo mliwasikiliza makengeza wa kkkt na kitima wa tec na ndo tatzo la kukosa kuwa na political analyst mzuri.

Ukikosea sheria na unatakiwa kufungwa utafungwa kweli na hakuna mtakalofanya hadi akili ziwakae vzr.
chawa upo kiwango cha sgr
 
Naona wenye mamlaka ya kugawa laana na vifo kwa watu mpo mnapanua vidole badala ya kupanua akili

Makonda yupo sana tena sana tu

Eti serikali haramu, mlikatazwa kuingia kwenye ushindani?

Tatzo mliwasikiliza makengeza wa kkkt na kitima wa tec na ndo tatzo la kukosa kuwa na political analyst mzuri.

Ukikosea sheria na unatakiwa kufungwa utafungwa kweli na hakuna mtakalofanya hadi akili ziwakae vzr.
Fvck u
 
Back
Top Bottom