Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Makonda apiga simu Clouds Tv 360 kukemea ushoga

Kuna mijitu inatetea huyo punga kuhojiwa na kuzungumzia upuuzi wake hadharani kwa kigezo cha kuonyesha ukweli unaoendelea kwenye jamii yetu, ila ikumbukwe pia upande wa pili unawapa fursa hao mashoga kufanya upuuzi wao hadharani na hii itaambukiza kwa watoto kuona ni kitu cha kawaida hatimaye kushiriki vitendo hivyo... huu udhamini wa watu wa marekani na NGO zinazodhaminiwa na nchi zinazo support ushoga ni janga kubwa, hawa wafanyakazi wa clouds wengi wao ni mapunga so lazima waonyeshe support
 
Zamaradi nae ni mwanahisa,clouds ndo mana hmna,aliyemkemea,kurusha kila kipindi... Madem za ruge bana wanajihisi clouds ni ya baba yao
 
Sio serikali ya JK hii hata kama aliwapigia simu sheria ni kama msumeno,yuko Anna Kilango na Kitwanga???
Kama atathubu kuwawajibisha,amuwajibishe na poul makonda kwa ile simu yake yakijinga aliyoipiga leo asubuh kutetea kipindi cha ushoga.
 
Hiyo clouds si inasemekana baadhi ya watangazaji wake nao ni magasho, kwahiyo labda jana ndio ilikua anniversary yao.
 
Matatizo mengi katika jamii yatatuliwa kwa kutumia akili na msaada wa Mungu.. wala sio mihemko.. adhabu kali au kupiga simu kwenye Radio na TV na kukemea...

Haya tunayoyafanya wenzetu wameshayafanya tena in more harsher way.. lakini hawakufanikiwa.. the rest ni story.. mnajua kinachoendelea huko kwa waliotupita kimaendeleo kuhusu suala la ushoga..

So kabla hujacomment.. jiulize unatumia akili?? Maana kama hivi vitendo vinaendelea huku tunavikemea ina maana wanaovifanya wametuzidi akili.
 
Baada ya saa 3 ucku, watoto wanaonaje TV? Only in Tanzania

Na mimi nashangaa kipindi baada ya muda huo ni wazazi wa watoto kujitakia.

Watuache tujifunze ya duniani.

Muda waliorusha kipindi ni sawa kabisa.
 
naomba uongozi wa jamii forums uifute hii thread haraka maana nayo imesapoti ushoga.Kitendo cha kuposti neno "ushoga" kwenye jukwaa hili ni tayari ushasapoti hilo neno liwepo maskioni kwa watu. na kwenye simu za watu.Kama wameweza kufuta neno "J.E.S.CA" basi na neno hilo walifute haraka!
 
NIlishangaa sana JANA; na ukweli ningeshangaa zaidi kama jambo hili lisingekemewa hata na kiongozi 1. Hongera Paul Makonda, hongera mkuu wa mkoa wa Dar. Nimefarijika sasa!
Najiuliza, kijana mwenyewe kwanza kavaa nguo imechoka kabisa, yaani anaonekana ni mtu wa shida shida tu; na kama aliitwa kuhojiwa live interview bila shaka alijiandaa kuvaa vizuri, I assume lile ndio vazi lake bora. Masikini kijana wa watu, nilifikiria sana jana usiku kwa kweli, sijui hata nilikua nahamisha hamisha channel ili iweje.
 
Mkuu we umeliona hilo tu?
Mbona huelezi alivyoeleza alipojifunzia ushoga?
Hujapata namna nzuri ya kumkinga mwanao?
Labda nibadili lugha utaelewa,psychologically, behaviour is highly motivated by positive rewards.The main discussion after that program is not what the lesson learned,rather is how our children going to capitalise it.I have zero tolerance to such a behaviour...thus, I don't want to see someone coming up with the special program...full of positive rewards to gay.STOP SPEAKING ON PRINCIPLES AND ACTING ON INTERESTS.
 
Nchi hii waseng..... Wameongezeka % kubwaaa
Sana,especially hawa waseng.. baridi
Magomeni Kuna mtaa unaitwa kwa idrissa wakati fulani mtaa ulikuwa Na mashogaa Kama
10 hvi wanaishi mtaa mmoja shui kwa sasa
Ovaaa
 
Makonda anataka kuwalea hawa Clouds, angelipeleka hili swala moja kwa moja TCRA ili hawa wanaochezea maadili ya mtanzania wapate stahiki yao. Ushoga sio kilema, ni hulka na tabia mbaya. Omar Mateen aliwakomesha mashoga wa marekani kwa tabia zao zisizompendeza Mungu
 
Demokrasia na uhuru wa kujieleza. Hii imevuka mipaka.
CLOUDS WAFINGIWE TU
 
Haya Jamaa Kwa Clouds kwa ujumla hawako innovative kabisa kwani kuonyesha kipindi kama hicho ni kuishiwa ubunifu kwa kweli na kuna vitu vingi sana vya kuonyesha , na vya kuifushisha jamiii. kwa mfano hata kuwa na topic ya why move from 3g to 4g unaita watallamu mbali mbli wanachambua mambo na jamii inaelimika. kingingine ni kwamba tcra wawafungie kwa muda ili waijutie adhabu mambo ya ushoga is not our culture na hasa kwa wenzetu wa imani ya kiislam sasa hivi ni mfungo wa mwezi wa ramadhani.. . vipindi vyao vingi vinapwaya sana lazima waajiri watu wenye utaalamu wa kutosha.
Inawezekana ukichunguza sana utakuta na wao kuna wanaojihusisha na biashara hiyo na ndio maana wameona ni kitu cha kawaida
 
Nchi hii waseng..... Wameongezeka % kubwaaa
Sana,especially hawa waseng.. baridi
Magomeni Kuna mtaa unaitwa kwa idrissa wakati fulani mtaa ulikuwa Na mashogaa Kama
10 hvi wanaishi mtaa mmoja shui kwa sasa
Ovaaa
Aiseee?
 
Back
Top Bottom