Chief Mhehe
New Member
- Mar 29, 2016
- 2
- 1
Anaanza na hao baadae TCRA watafuataMmmh.. Kwanini asipige TCRA
Anaanza na hao baadae TCRA watafuataMmmh.. Kwanini asipige TCRA
haya sasa...doohHuyu ndiyo makonda anayekemea ushoga au mwingine?
Maisha bila unafki hayaendi kweliView attachment 361133
uliangalia hicho kipindi????Nimesikitishwa sana na kipindi cha Take one kilichoiendeshwa na Zamaradi Mtetema katika Clouds TV pale walipomwalika shoga na kufanya naye mahojiano baddae kikirusha hewani. KIBAYA ZAIDI shoga huyo hakujutia kitendo hicho huku akijisifia kwa mambo anayofanya.
Ushoga kweli Upo ila kitendo cha kuwapa airtime ni kudhihirisha kuwa ni kitendo cha kawaida hata watoto watu watajua ni jambo la kawaida. Ikumbukwe kuwa sio Mara ya kwanza clouds kufanya kitendo hiki, kipindi cha power break fast walishafanya kosa kama Hilo ila inaonekana hawajajirekebisha.
Kwa mwenendo huu tukisema Cloud FM & TV ni channel ya kupromote ushoga na tabia chafu tutakusa tumekossa?
Je ni hatua gani pendekezwa zichukuliwe dhidi ya Clouds media na watendaji wake?
Kifungiwe kwa sababu hii hapa chini
Binafsi sikukiangalia..lakini pamoja na hayo sio maadili kumhoji mtu wa namna hiyo kwa sababu tasfiri yake inaenda kinyume na huenda ndio lengo lao hasauliangalia hicho kipindi????
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamaradi. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha ya shoga almaarufu KANGE.
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga simu moja kwa moja (live) kwenye kipindi cha Clouds 360 kinachomhoji mtayarishaji wa kipindi kilichorushwa jana cha Take one Zamaradi. Kipindi hicho kilimuonyesha maisha ya shoga almaarufu KANGE.
Mahojiano yaliyokemewa na Makonda haya
sura imemkomaa balaaHahahaaaaaa yan ameniacha hoi anavyosema anataka kuzaaa. Makubwa.
Unaweza ukaambiwa kitu mbele ya watu ukakikataa na kufoka kweli kweli..Kupitia hicho kipindi ndio nimejua kuwa serekari inasapot ushoga.
Kwani huyo shoga anasema wana enjoz pale muhimbili inawa vitendea kazi vya ushoga kama mafuta ya kulainisha, detto ya kusafisha kondom na misaada mengine.
Miaka kama 6/7 hivi katika kipindi cha "NJIA PANDA na DK. SEBA NDEGE KAMA SIKUKOSEA" waliwahi kuwa hoji MASHOGA. mbona hatukuona utaratibu kama huu..!! Dunia imebadilika sasa, ukisema unaficha unajidanganya. Jamii inazidi TEKETEA kwa ulimbukeni wa kuendekeza kuiga maisha ya MAGHARIBI na tunasahau MAJUKUMU yetu katika FAMILIA zetu. KIkubwa watu wapewe semina za malezi ya watoto. Haya maisha ya kuzaa alafu watoto unawaacha kwa BIBI akusaidie kuleo yakome SASA. Baba na MAMA ni wakati wa kujiuliza "kwa issue ya jana TCRA inabidi iwachukulie hatua clouds kwani kurusha live ishu kama ile inachochea jamii kujihusisha na ushoga kwani kama uliangalia utaona kuwa yule shoga alikuwa hajutii ni kama anajiadvertise hiyo inaweza wamotivate wengi waje kwenye tv's kujitangaza maisha yao ya ushoga